JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hellow wana-chitchat,kama una rafiki humu, adui, mpenzi, mume, mke, ndugu, ex, mzazi...dedicate wimbo kwake. Me naanza na wana chitchat wote, nadedicate inde moni ya bongo man!
3 Reactions
142 Replies
10K Views
Stupid Answers for Stupid Questions: 1. Someone calls you at 2 am in the night and ask you "are you sleeping?" Ans: no, I’m picking beans. 2. You're making out with a girl then you start pulling...
1 Reactions
2 Replies
979 Views
Baada ya harusi wakiingia chumbani itakuwa hivi: Mwita Maranya: "we mwaJ vua nikurare" akishavua Mwita Maranya: "weka mguu pande" mwaJ anaweka shughuli inaanza,vikinoga bi harusi...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Foleni ya kufa mtu kila afande ninaye kutana naye kanuna, kila mtu anakimbia Obama akute kashafika kibarua. majanga..mbona majanga?. mia
2 Reactions
21 Replies
3K Views
0 Reactions
0 Replies
588 Views
ShaHawa nazo ni Mbegu japokuwa hazitumi kwenye kilimO.. :) :D
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Hata Taa nayo ina Washwa ila huwezi kuikunaA..!! Hahaha :) :D
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Kama ndio "wake zetu" wa humu Chit Chat wangekuwa kama huyu dada, kila siku tungekuwa tunashinda hospitali kuuguza majeraha na zaidi mochwari kungezidiwa........
5 Reactions
87 Replies
5K Views
Natamani hawa ma-almaarufu wa jf mmu wa-date ,Moneystuna aje na ma-iphone 5 yake,i-pad na i-pod..unyunyu wa kilo 2, na designer suit yake ya singo batan, huku Lara 1 akizishusha lite beer zake...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Jamani majangaaaa, yamenikuta mie binti Kizuka Shoga kaniletea janga mchana kweupe peee -Eti ku Do ni Do mie, mimba apate yeye -Mnazi nipande mie, nazi aangue yeye -Urojo nipike mie, kufaidi...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Eti Obama atafika kwao saa ngapi?
1 Reactions
4 Replies
853 Views
hatimaye Dar inarudi katika asili yake, Obama akirud ghafla atahis amepelekwa sehem nyingine, hatoamini huo uchafu, folen, wamachinga, harufu, umeme umekatika, maji hamna, mgomo wa waalim na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo majira ya saa nne asbh {4} Barabara za magogoni kupitia ocean road,ally hasan mwinyi,driven in mpk ambasador of united states of duniani na kawawa mpk Tandale kupitia shekilango road na...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Bw:Barack Bin Hussein OBama pamoja na mama watoto wako,njooni Lindi nimeandaa ming'oko na Chikandanga,mje nyumbani ukitoka kukagua mitambo ya mjukuu wa Rishmond "VV"
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Baadhi ya wa mama wamepata vitenge,machinga wamevunjiwa vibanda vyao,baadhi ya maofisa wamepata chochote katika tenda mBalimbali. Mimi niliacha kwenda mjini,ni metii amri ya waziri membe. "VV"
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello guys, this is an introductory note from Mrs Bishanga. I love you all is all i can say for now. Collaboratively will make CCs a better place for everyone. Just take me as I am. Thanks.
5 Reactions
190 Replies
8K Views
Sisemi mengi fungua attacment ujionee mwenyewe.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Paloma amepata msiba wa mama yake mkubwa.. Amefariki ghafla leo alfajir kwa high BPi.. Mazishi ni kesho Lushoto.. Mungu ailaze roho ya marehem peponi.. Pole sana Paloma..
1 Reactions
116 Replies
5K Views
Rudi nyumbani mama watoto, wewe ni mke wangu. Toka uondoke nyumba naiona kubwa. Wewe ni pumzi zangu, wewe ni sehemu ya maisha yangu. Nini na kipi kilichokubadili ghafla? Kuchelewa kurudi...
2 Reactions
79 Replies
10K Views
Utafanyaje endapo ukiona maisha yote uliyoishi kumbe ni "NDOTO" unaamka unakuta bado upo darasa la kwanza.
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Back
Top Bottom