JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
haloooo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Inashangaza kwa kweli kwa nchi kubwa kama Tanzania inayo sifika kwa amani utulivu na upendo na vitu vingine vingi ila kwenye usafitu ndo tumefeli,eti jiji kuu kama dar halifanyiwi usafi wa uhakika...
0 Reactions
1 Replies
818 Views
Mfano umetoka kuoga kwenye vyoo vyetu vya uswahilini ambavyo viko mbali na chumba akatokea mtoto au chizi akakupora taulo ilihali ndani huna kitu kabisaaaaa.......je utafanyaje? Hint: Utakimbia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tabia za Watanga Leo nachukua Tanga, kama fumbo jamiini, Kuwaeleza Watanga, TABIA zao nchinini, Tanga watu wa kuringa, hasa kwa kujua dini, Ukitaka uishi nao, jifunye wewe mjinga. Tanga...
3 Reactions
25 Replies
50K Views
Hata uwe msafi vipi huwezi kusafisha bahari ikichafuka ongeza yakoooo
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Hallo wanaJF! Wapi alipo kyanaKyoMuhaya plz mwambieni nimemmiss sana! nakumbuka kwa namna moja ama nyingine alipatwa na mkono wa Mungu and God do no mistake, He take He give when He see a need to...
1 Reactions
3 Replies
975 Views
1.kung"olewa jino kwa uzi 2.ubwabwa kupikwa j.pili tu 3.kidonda kuwekwa unga wa dawa wa rangi mbili 4.ukumbi wa sherehe kupambwa kwa toilet paper 5.kunyolewa kwa mkasi 6.kufunga pesa kwenye...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani mm natamani sana nioe mchaga ila yale meno yaliyoathiriwa na yenye rangi, siyapendi hata kidogo hivyo nauliza kuna dawa ya kuondoa rangi hiyo ya meno! na rangi ile ya kahawia inasababishwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Laptop inauzwa HP hdd 250 ram 4....laki 3 nego... 0716233732...
0 Reactions
0 Replies
613 Views
am waiting for you. Sweetylove i love u so much. I love ur cash a lot!!!!
2 Reactions
150 Replies
7K Views
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Name msosi chakula juma ondoka nenda
0 Reactions
9 Replies
872 Views
naitaji msichana mmoja wa kuspend nae nimeuza nyumba ya mil 21 umri sio ishu ila awe mzuri na msichana wa kileo mimi sijavuka 30 wala sijapungua 25
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Leo ndo mara ya kwanza kupost ndani ya jf lkn muda mfupi tu baada ya kupost kifurushi kikaniishia,hivyo ikanibidi nikate internet na kwenda kununua vocha sasa nimerudi kwenye post yng nimekuta...
0 Reactions
48 Replies
3K Views
Condom nao ni Mpira japokuwa hauonyeshwi SuperSport :D :)
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kutokana na malalamiko mengi leo pale kanisani, nimelazimika kutoa ushahidi wa talaka 3 nilizompa mtajwa hapo juu. Ndoa yangu na Lady doctor ni Jumamosi ijayo imeahirishwa kama uchaguzi wa...
4 Reactions
159 Replies
7K Views
Watu wazima tuwe na mipaka ya kula vitu visivyo lazima:- Baba baada ya kumaliza kuchinja Mbuzi akaenda kuchoma pumbu za mbuzi jikoni.Mara Mbwa akachukua pumbu. Watoto kwa sauti kubwa: Baba, Mbwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Taja jina moja tu ili mwisho wa siku tuige mfano wake kwa mada nzuri za kuelimisha na kunurudisha mimi naanza na bwa 'nchuchu (according to me)
1 Reactions
51 Replies
6K Views
Habari wana cc, Naomba tuanze weekend kwa kukumbuka zamani kidogo 1. Hallo Helena Lile Beberu Bora Chinja Na Ondoa Figo Nene, Nani Mgogo Aliyesimama Pale Serengeti Club Arudi Kwao Canada 2...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom