Nitajie movie ambayo ulivyo angalia ulicheka kinouma mimi ni ile movie ya hangover wale washikaji walo lewa wakaiba tiger wa mike tyson wakifikiri ni mbwa na pia akajing'oa jino
Tabia ya kupiga chabo watu wakiwa faragha 6/6 itakufanya uwe chongo. Ulivyo nipiga chabo niko na sweetlady nilidhani umeecha sasa ona umepiga chabo kwa Paw na Kig'ast. Be careful brother
Hai familia yote ya jf cc
Leo tena nimeingia kwa fumbo lisiloweza kubashirika kiurahisi labda uwe na macho ya rohoni
utaweza tambua mada hii inazungumzia nini hapa na utaelewa Lady ametaka...
Naombeni msaada namna ya kuwaelekeza ndugu zangu sehemu ninayoenda kufikia Japan. Angalieni baadhi ya picha na Jina lenyewe. (Moderators tutaomba uvumilivu kidogo)
BRAIN TEASER:
I am an 8 letter word. I am kept a secret by everyone. My 234 letters spell an animal. My 45678 is a weapon. My 128 is used for writing an exam & 1234 is ussually an...
watu wote tunaishi kwa budget, ila kuna wengine ni zaidi ya hapo;
Mkinga mmoja alitumbukia kwenye kisima chenye kina kirefu, akapiga kelele mkewe akaja kumuokoa ...
NYOKA ALIYEZUA GUMZO KWENYE MITANDAO YA KIJAMII
<tbody>
Muunganiko wa picha za anayedaiwa kuwa nyoka mkubwa aliyeuawa Misri
</tbody>
MTU asiyejulikana amezua mjadala mkubwa kwenye mitandao...
Bf wangu amekuwa na tabia ya kukaa kimya znaweza pita hata cku mbili, akija kuku2mia sms kama anam2mia dada yake vile, je kuna jipya hapa nalingoja?
Ushauri jamani naombeni co vjembe...
"Harry alipochoka kufanya kazi zake akazima taa, akambusu mkewe, akalala na
usingizi mzito ukampitia. Mara akamwona mwanamme amesimama kitandani.
"Toka hapa nani wewe unakuja kitandani...
JF naomba kuwatangazia kuna Easter Ngorongoro tour inakuja na maandali yanaendelea kama ifuatavyo!
Nautaratibu wa Camping site huko hivi!
Kila tent litakuwa na uwezo wa ku accommodate watu...
Kwa wale watu wa maji ya dhahabu tukutane pale HISAJE kuanzia jioni tule burudani na DJ Seydou.Ukimuona mujamaa anayecheza kila muziki ujue ndio mimi!!! Kuna bia ya bure kwa kila mwana JF pro...
Mu hali gani wapendwa wana ChitChat....
Napenda kuchukua fursa hii kutoa shukrani zangu kwa Mwenyezi Mungu kwa kunilinda mpaka sasa, ilikuwa siku kama ya leo majira kama haya nilipojiunga rasmi...
Salaam,
Najua wote tunavyo (katika kumbukumbu) visa na vituko mbalimbali ambavyo wadogo zetu, watoto wa ndugu na marafiki na watoto zetu wameshawahi kuvifanya linapokuja suala la chakula...
Madadiito na mashostito tupeane ratiba.
Mi nikitoka ofisini Brake ya kwanza home napiga maji nakua soap soap.
Naanzia Uhuru garden kwa kupata samaki foil. na Tusker lite moja au Mbili.
Baada ya...
Watu hawa uanza kwa sweet,dear,bb/mm fulani,juma/jamila,wewe,makelele,na majina mengineyo unayoyajua wewe na kama utabahatika kusoma jina mojawapo wakati simu inahita utashangaa, sasa nauliza...
Habari wapendwa ,
hebu nshaurini nataka nielekee lunch maana utaratibu wangu wa kila ciku umenishinda.
Kutokana na ugumu wa maisha hua nna kawaida ya kula milo miwili kwa cku, chai saa nne na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.