Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Fundraising Message for Construction of Skills Development Centre for Disadvantaged Youths Dear Esteemed Friend, Today is unique for Tanzania Agricultural Modernization Association...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
WanaJF naombeni mnijulishe kwa undani kuhusiana na COICT-UDSM -Admission requirements(Diploma in Comp.Sc kwa aliehitimu kidato cha IV) -Life at the college -Syllabuses esp. In CS -Teaching and...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hi! Wanajamii naomba mnisaidie chuo ambacho kinatoa distance learning kwa level ya diploma kwa hapa nchini kwa masomo ya engineering. Masomo hayo yaweni diploma ya Electrical Engineering...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wa Elimu salamu, Napenda kuuliza kama na kijana afaulu form 4 labda division two na staki aende advance school kuna uwezekano wa kuunga diploma bila certificate ??
0 Reactions
28 Replies
11K Views
Leo, tarehe 14 mwezi wa tatu ni siku ya Pi (3.14159265359). Je, wewe umeisherehekeaje siku ya Pi? Mimi ndo nimetoka Mathnasium sasa hivi ambako bi mdogo alikuwa na activities kibao za hisabati...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani mwenye kitabu cha Bible Knowledge kidato cha kwanza mpaka cha nne naomba anisaidie namna ya kukipata. Nipo Kahama.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Je, ni kweli necta form six ni March sio May tena?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta mtaalamu wa kuandika Academic Proposal ya kurasa 30 katika masuala ya elimu. (Iwe na background, literature review na methodology). Materials yote ninayo na utafanya kazi ukishirikiana na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi ni mwanachuo wa sheria mwaka wa tatu na wa mwisho nimekuja kwenu kuomba ushauri juu ya options ya insuarance law na human rights ipi niisome najua wazi kuwa nikifika law school human rights...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wanakijiji,Naombeni msaada kujua utaratibu wa kujiunga na S econdari ya St.Mary Goreti ndugu yangu amemaliza form four anatafuta shule nzuri ya kuendelea A level.Akhasanteni nawasilisha.
0 Reactions
25 Replies
21K Views
natafuta mtaalamu wa kuandika academic proposal ya kurasa 30 katika masuala ya elimu. (iwe na background, literature review na methodology). Materials yote ninayo na atafanya kazi bega kwa bega...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Nimekuwa msomaji mzuri wa riwaya, tamthilia, mashairi na kazi nyingi za fasihi kwa kipindi kirefu sasa (sikumbuki siku sahihi niliyoanza). Nimekuwa nikifurahi zaidi kusoma...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za shughuli wadau nilitaka nifahamishwe juu ya hili : nasikia ili kuhairisha masomo chuoni kama umeshasoma lazima uandike barua chuoni sasa ni utaratibu gani stahiiki unafuatagwa chuoni...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
yani waalimu walio kazin wenye cheti na anaitaji kwenda kuchukua stashahada, diploma, afanyaje? maana naskia vyeti vimefutwa na vyuo vilivyokua vinatoa vyeti sasa vinatoa astashahada, kwa mwenye...
1 Reactions
22 Replies
11K Views
Miaka kumi iliyopita umri wa Salum ulikuwa 1/5 ya umri wa baba yake wakati huo. Miaka mitano ijayo umri wa Salumu utakuwa 1/2 ya umri wa baba yake wakati huo. Tafuta umri wa Salumu wa sasa...
2 Reactions
40 Replies
11K Views
Wana jamvi naomben msaada wa kujua organisations mbalimbali znazojihusisha na,mambo ya tafit au utoaji wa elimu juu ya elimu maalum (SPECIAL NEEDS EDUCATION). Nahitaji ambazo zinadeal na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HATUA ZA KUPATA UDHAMINI UGHAIBUNI (3) Ada ya Maombi ya Udahili - Application Fee NA: ERNEST BONIFACE MAKULILO (MAKULILO, JR.) CALIFORNIA, USA Leo hii katika hatua za kupata udhamini...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
habari? Kwa wale wanachuo wa vyuo vya ualimu vip kuhusu tetesi za kwenda B.T.P(Field)?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
kwa mwenye uhitaji wa mwalimu wa physics na mathematics,kwa dar es salaam.tuwasiliane PM
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Ni vyuo gani vinavyofundisha jonalism{uandishi na utangazaji wa habari}na ada zao inakuaje???
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom