Wadau naomba mnijuze maana halisi ya BRN.
Maana naona kama linatumiwa na watu ndivyo sivyo. Badala ya kuwa in positive way sasa linatumika in Negative way.
Hebu tujuzane wakuu nawasilisha...
kwa taarifa yenu leo nilikua makao makuu TCU wakatuambia kigezo walicho tumia kuchukua wanafunzi wa MD ni lazima uwe na cutting point min ya 10.5 kwa masomo yote matatu (principle sub.)
Nawaonea...
Kama yupo anayefahamu mambo yatakuwaje...itasomwa kwa mfumo gani au ni uleule wa stashahada za kawaida. Nauliza maana hii ni ya maika mitatu(3) na ada pia imepandishwa mpaka laki 6 kwa mwaka maana...
Habari zenu wana JF najua humu ndani tumetofautiana sana kwa kila kitu...kama utakubali kuwa hata vidole vya mkononi mwako haviko sawa basi ndivyo hivyo tulivyo tofautiana humu ndani..kuna walio...
Wadau me nimechaguliwa bachelor of pharmacy KIU, ila naipenda sana medicine je kama nitachukua degree ya phamacy baaday naruhusiw kuja kusoma masters ya medicine ?
Jamani hivi ili mtu aliyehitmu diploma ya engineering apate mkopo HESLB anatakiwa o -level awe alipata ngapi? kuna mtu nimeskia anasma mpaka awe na c 4
Nimeona maelezo kwamba zinapatikana kwenye website za United Republic Of Tanzania - Ministry of Education and Vocational Training, The National Council for Technical Education na PMORALG | Prime...
Wadau, nimefanya 'desk research' na sijaingia kwa kina but kwa analysis niliyofanya nimebaini hii siri ya shule au vyuo kufaulisha/ kufelisha.
Shule zilizoitwa kwa majina ya watu ambao walikuwa na...
Habar wana jamvi. Ni kwel system ya TCU inaweza kukuchagulia kozi ambayo hata hujaiomba kwa wale walioandikiwa PROCESSED SUCCESSFUL. YOU HAVE BEEN SELECTED?
Habarin wanaJF.
Mwenzenu nimechaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu(diploma) katika chuo cha Mpwapwa lakini kutokana na kupanda kwa ada naona kama ndoto ya kusoma inapotea kutokana na hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.