Kulitokea malumbano humu jamvini kwetu kwa watu ambao hawakuchaguliwa mwanzo na waliochaguliwa huku wengi wao kudai kwamba serikali isitishe kuchukua waliopata division four, naona sasa...
mimi nipo jkt,ya tcu yakanikuta natakiwa kuomba chuo kwa mara nyingine bt huku 2metingwa na kaz nyng ikanibd m2 aniombee stefano moshi universty It lakn m ckupenDa kuxoma IT,Hvyo nimeomba kuhamia...
Habar zenu wanna jamvi.
Naomben mnisaidie namba za cm za Hawa viongoz Wa TCU nipo mbali siwezi kufika ofsini kwao Nina shida kwel.
Ni vizuri ukiniandikia na jina lake ili kupunguza usumbufu...
Wanajamvi kuna yeyote mwenye habari kuhusu hii foundation ya karimjee Jivanjee foundation inayotoa scholarships kwa undergraduate na post graduate students
Naomba tu mwenye taarifa juu ya watu...
Ndugu wanaJF,
Natumaini title hiyo hapo juu sio ngeni kwa wanafunz wanaoendelea na masomo yao ya elimu juu but kama huna taarifa basi iko hivii...
TCU wameamua kuanzisha Quality Assurance Fee...
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali (IGP), Ernest Mangu
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali (IGP), Ernest Mangu, ameonya kuwa watu wote watakaobainika kughushi vyeti...
Daah, ndugu wanaJF hawa jamaa sasa wamekuwa kiini cha kuharibika kwa ndoto za wanafunz weng hasa hasa watoto wa mama n'tilie pamoja na Wakulima maana sasa watoto weng wamekuwa wakilazmika kujaza...
Habaari zenu wana jf nilihitimu kidato cha nne 2012 na kupata daraja la nne ya pointi 27 ambapo mwaka 2013 nilituma maombi ya ualimu lakini sikuchaguliwa mwaka huu pia nilituma lakini mambo ni...
Jamani wana jf naomba kuuliza,kuna diploma ya ualimu inatolewa pale TEKU mbeya ,yaani mtu ukiwa na certificate tu ya ualimu wa daraja la IIIA unapokelewa kuanza diploma bila hata kuwa na cheti cha...
Habari zenu wanajamvi, mimi nimehitimu BCom Education mwaka huu ila ndoto yangu ni kuja kupata CPA, advance nimesoma ECA.
Je! naweza kuanza na stage ipi ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.