Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani mbona nilifanya second application lakini leo hiii nalogin na kukutana na habari ya kwambba nifanye tena application? Na zaidi vyuo vingine havipo? Nifanyeje? Msaada
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani msaada tafadhali kwa anayeelewa, mdogo wangu jina lilirudi afanye application mara ya pili, amefanya hivyo kama siku tatu zimepita leo profile yake inaonyesha iko processed na wanamwambia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bilashaka mkovemawa pendwa wote humu ndani. Naomba kuwasilisha hoja...... Ukweli ni kwamba vijana wengi wenye ndoto za mafanikio hasa kwa wale walioko mashuleni ambao uwaza mafanikoa yao...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
je kozi ya science of land management and valuation kutoka ardhi iko poa?.. msaada tu ndugu zangu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa taarifa zilizorasmi tcu watatoa majibu tarehe 22 sept, sasa na vyuo vingi eg.makumira wanaripoti tarehe 29 sept shida inakuja nikwenye kujiandaa naomba kuuliza ada za usajili kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
National Council for Technical Education (NACTE) INTERIM REPORT ON FIRST BATCH SELECTION 13th September, 2014 The first selection of candidates into Bachelor Degree programs has been conducted...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Ni kweli wale ambao wana apply chuo mara ya pili asilimia 90 huwa wanakosa mkopo au ni tetesi za kkutiana tumbo joto???
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu wenye ufahamu na Hii Program, naombeni msaada wenu kuhusu hii program, TCU wamenipeleka kuisoma, na uchumi wetu hauko vizuri kiujumla, nifanye nini juu ya hii program coz ni Non Priority...
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Jaman siwez kufungua accnt yangu kwahiyo hata sielew alafu wanavyo nambia matokeo ya nacte trh 22 nachanganyikiwa kabisa .. kwasababu chuo ninachotaman wanipeleke wanafungua trh 13 october kitu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wajumbe habarini za weekend, kwa yeyote mwenye fununu za wale tuliomba nafasi za kujiunga University kwa sifa ya Diploma kupitia NACTE. Je ni lini wanatujibu coz wenzetu wa form six...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wakuu, leo nimeingia kwenye profile yangu ya TCU nikakuta selection program eti haipo na nikienda kwenye view my selection status inadai eti sijafanya application na wameniletea link ya second...
1 Reactions
263 Replies
74K Views
Helooooow! Sijui nikiite kitabu ama nikiite kifaa? Lakini vile kilivyo tu ndipo hunihangaisha kichwa, kimejazwa makundi ya namba mbalimbali zinazotumika kwenye mahesabu shuleni, makundi hayo ni...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
sisi wa second round mpaka lin jamani maana nikienda kwenye profile yangu nakuta bado you have successful selected lakini bado iko processed nisaidieni tatzo nini labda
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu mimi ni kijana nimeapply tcu na mambo yanaelekea kuwa fresh ila kimjinimjini nimeotea mbishe ambayo inatarajia kuanza mwezi october ina mkataba wa mwaka mmoja...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Jeshi la kujenga taifa nchini (JKT) limetangaza majina ya waliohitimu mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti mwaka 2014 wanaotakiwa kujiunga na mafunzo ya jeshi hilo. Kwa taarifa zaidi, pamoja na kuona...
0 Reactions
12 Replies
39K Views
Najaribu kufungua kila link ninayo tumiwa kuangalia selektion ya chuo naambiwa PAGE NOT FOUND aaaargh boring
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Rehma na amani ziwe nanyi. ndugu zangu naombeni dodoso kuhusiana na kozi ya geography and environmental studies. Unaweza kufanya kazi wapi. soko lake la ajira. uzuri wake na mapungufu yake...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu?! Wakuu nahitaji kusoma kozi ya Administrative Law, chuo kilicho karibu yangu ni Open University tu; -Je hiki chuo huwa kinatoa hizi kozi?! -Na inasomwa kwa muda gani?! -Ada yake...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, kwa mawazo yangu ajira za ualimu baada ya miaka3 itakua shida kupatikana, Nazungumza haya kwakua mpaka sasa vyuo vinavyotoa bachelor za education ni vingi xana ukiacha public...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Nahitaji material za sheria kama huna nielekeze zipi nizamuhimu nikanunue! Asante Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom