Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Oy oy..mwenzenu nilimpatia rafiki yangu my index no ya 4m4 and my username, akanichekia post ya tcu,kwelii wametemaaa yaani post yangu kaiona ,nikamuuliza je na bodi kweny coz yangu umewaona...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kinaitwa chuo kikuu ardhi na sio chuo cha ardhi...kipo adjacent na mliman(udsm) from ubungo njoo darjan kama unaelekea mwenge kuna kituo cha daladala panda gari za chuo then shuka ardhi..or...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
kupi panafaa jamani? Msichoke tuelekezeni tu hapa na maana kwamba bora ukae hostel au ukapange kitaa? Kwa nini? Wakuu Mimi sina experience ya maisha ya boarding shuleni or campus chuoni! Wenye...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Thanks god, nimepata chuo! Kam ni miongo mwa waliopangiwa sebastian kolowa, sio mbaya ku share idea hapa
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahtaji kujuzwa detail zozote kuhusu hicho chuo.
0 Reactions
8 Replies
7K Views
hivi wanamaana gani kutema watu wengi kiasi kile jameni watu 12889 ni wengi sana aise ...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naombeni mniambie kwa wazoefu maana tulifanya application tuka ambiwa umwkuwa selected lakini leo selection zimetoka jina sioni so huwa unakuaje kwa wazoefu yanaendelea kutoka o ??? Ndo hatuja...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
mwenye ufahamu kuhusu mechanical engineering aniambie wadau mana ndo nmechaguliwa hyo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wale waliochagliwa mweka colloge tutafutane kwa 0756458115
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeingia kwenye kibox cha application nikakutana kumeandikwa " (CAS) YOU ARE NOT YET APPLIED" but kwenye my profile kila kitu kipo sawa mpaka wameniandikia pale chini kwenye View my selection...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
post za second round lini jamani????
0 Reactions
0 Replies
551 Views
Watu wengi hawapendi kazi ya ualimu mimi binafi huwa sioni ubaya wa kazi hii labda wadau mnaionaje kazi ya ualimu na ubaya wake ni upi?
0 Reactions
32 Replies
7K Views
hello jf members nimechagua hii programme ya bachelor of education in psychology sasa mi hata siielewi na hii ni baada ya kuambiwa na Tcu nifanye uchaguzi upya. Nikishamaliza chuo naweza fanya...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Jamani naomba mnijuze ili niweze kumsaidia dogo wangu. Hivi kwenye hii second round application wale wa kwanza kuomba ndo wanakua considered kwenye course fulani kwa sababu sikuna kuwa na...
0 Reactions
76 Replies
10K Views
kwa anaefahamu kozi ya irigation katika ngazi ya diploma.hapa namaanisha kuhusu ugumu wa kozi na kuhusu upatikanaji wa ajira.kwa anaefahamu msaada.
0 Reactions
2 Replies
930 Views
wana jamvi..habari zenuu, naomba mnijuze ..je ikatokea ukachelewa kuripoti chuo ulicho pangiwa mathalani .Udsm au Udom, yapi madhara yatakayo kupata? ahsanteni na karibuni mchangie .
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Hbr naomba kuuliza kuhusu selection za chuo kama zimeshatoka?
0 Reactions
1 Replies
952 Views
plz kwa anaeifahamu vzuri hii course anifafanulie
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Jamani wanaJF mwenye taarifa naomba anisaidie kama selection za kusomea ualimu katika chuo kikuu DODOMA kama zimeishatoka kwa kidato cha nne.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Ndugu, mimi nilimaliza form four 2011, nikapata division iv ya 26, matokeo ni kama ifuatavyo: Physics "C ", Chemistry "C ", Biology "C, "B/ maths "D ", English "F ", Geography "D " na Civics "D...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom