Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Degree ya kwanza nina lowersecond GPA ya 3.4Honours.Nimeamua kuchkua postgraduate dip kwa lengo lakutoka na first class nakuchkua M.A,Je. nitafanikiwa
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Hongereni wadogo zangu kwa kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano maana huo ndio mwanzo wa mafanikio. Ushauri wangu kwenu, daraja mnaloingia sasa ndipo unapoweza kutengeneza au kuharibu maisha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ngependa kuwajua wale tulochaguliw machame dz e'a
0 Reactions
1 Replies
862 Views
Mwenye kulifahamu hili anisaidie,natanguliza shukurani.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
nilipita mchana mkowa wa TABORA wilaya ya IGUNGA . kuna tatizo la mgomo wa walimu . walimu wanadai mishahara ya miezi miwili . cha kushangaza ni kwamba halmashauri ya IGUNGA inasema itawalipa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani naomba msaada kati ya hz comb mbili ipi ni nzuri
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Jaman wanaosoma au waliosoma kigurunyembe tuambiane
0 Reactions
0 Replies
996 Views
Nauliza kama kuna mwenye majina ya waliochaguliwa vyuo vya ufundi hasa vya ualimu na vingine kama vipo na majina kama yapo kama vipi myaandike hapa hapa.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
jamani tujuzane hii xul iko vp kitaaluma na mambo mengine
0 Reactions
2 Replies
3K Views
ngependa tujuane apa
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Je wana jukwaa kuna mtu ana details za munanila high school
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Wakuu, nina mdogo wangu yeye kachaguliwa ATC (Electrical Engineering) anataka kubadilisha ili apelekwe DIT (Electrical Engineering). Sasa, swali langu ni kwamba, mwenye kujua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Poleni na majukum ya kila siku? Ndugu zangu nina shida na mtu mwenye mawasiliano na mwalimu mkuu au mwalimu yeyote anayefundisha Nyakato High School(Bukoba) , msaada wenu ni muhim sana na...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Habari wana JF, naomba msaada nifanyaje, dogo alichagua comb ya cbg ila shule aliyo pangiwa ndo wana anza mwaka huu kuchukua kombi hiyo. Dogo hataki shule hiyo anaka aende Loleza, dogo ni...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nasikitishwa sana kwa ubaguzi walotufanyia baraza la elimu kwa sisitulomaliza shule za kata. Nimebutua fresh o level nikiwa na mategemeo ya kuchaguliwa dit lakini sijachaguliwa na badala yake...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Sidhani kama ni kawaida kwa vyuo vingne kukataa matokeo ya mwalimu fulani kuwa eti wanafunzi wamefaulu sana na arudie upya kusahihisha wakitaka wanafunzi wafeli ili uongozi upate pesa za...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu naombeni msaada kwa yule anayefahamu kuusu selection za kwenda vyuoni kwa wahitimu wa kidato cha 4 mwaka huu kuna baadhi ya vijana hawajapata post za kwenda kidato cha 5 sasa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Karibuni!! Central Line Research Associates (CELIRA) Announces A Dissertation/Research Project Report Writing Training Workshop 2014 Target Audience: Postgraduate students in...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kuna rafiki yangu kasoma sheria anataka asome masters ya education kuna kaka kaniambia eti anaweza kupewa postgraduate diploma in education na masters at the same time is it possible friends?
0 Reactions
0 Replies
895 Views
Leo wakati natoka kazini,kuna jamaa yangu kaniambia tupitie stationery kununua KITE(kishada)eti mtoto wake ameagizwa shule mzazi amnunulie kesho aende nacho,nikashangaa sana sababu hyo ni kazi ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom