Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nimechaguliwa miono high school PCB tafadhal mnijuze kuhusu miono sec kwa ujumla mnao ijua academically-nk
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Nimechaguliwa shule ya same boys high school comb ya PCM......Naomba anayeifahamu mazingira yake anijuze tafadhali
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Habari Wakuu! Naomba kwa anayejua juu ya hii kozi huwa inatolewa kwa degree kwa vyuo gani vingine hapa nchini mbali na Mzumbe university, Pia kazi zake ni zipi baada ya mwamafunzi kumaliza...
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Kwanza naanza kwa kuwtakia hali pia kwa ushirikiano wen mzur wana JF.mimi nlkuwa napenda kufaha vitabu vpi vinahitajika vya HGE na mwandishi wa icho kitabu na edition mwaka msaada kwa anaye...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu nipo kwny hali mbaya mno yan ndo nakuja kujua juz mwisho wa kupeleka application form ni 20 june hlf shule walim hawapo(shule imefungwa) nimeongea na academic master kanizingua sasa cjui...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu kwa wanao jua Hivi kuna uwezekano w komba kubadilisha shule uliyo chaguliwa?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani Anaejua Selection Za Kidato Cha Tano Zitatoka Lini Aniambi Maana Nimesubiri Mpaka Basi.
0 Reactions
21 Replies
16K Views
Hellow tax Gurus, I have just read the withholding tax publication from the TRA website and could not figure out whether withholding tax could be deducted from security sevices. Do we have to...
0 Reactions
1 Replies
877 Views
STUDY IN UK,CANADA, USA, FRANCE, CHINA,INDIA OR GERMAN Up to 100% Scholarship Offered to Qualified Tanzanian Students For Admission and Application Procedures, Call Anada Overseas Education on...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mpaka leo sielewi hii wizara inatutafuta nini au hii wizara haipo kwa ajili ya elimu mpaka leo post hamna autuandanamane
2 Reactions
24 Replies
17K Views
wanafunzi wapatao 68000 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano, habari imetolewa na waziri wa elimu kwa vyombo vya habari,na waziri katangaza wanafunzi kuripoti shuleni kuanzia tarehe 10 july...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
NAFASI ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO ZATANGAZWA MUDA HUU--16800 WAKOSA SHULE.SOMA - - - - -Nafasi za kujiunga na kidato cha nne mwaka 2014- kwa wanafunzi waliomaliza mwaka jana zimetangazwa rasmi...
2 Reactions
24 Replies
6K Views
Aiseee ! Wacha nifurahi mwalimu miye! Kwa walosoma uzi wangu wa kuchoka mwili na roho watakuwa wanaelewa nini kinachoendelea hapa!........ ndo hivyo tena nshahama huko porini nipo kituo...
12 Reactions
176 Replies
11K Views
Ndugu yng anataka aende pale dit kwa private sponsorship kamaliza form 4 2013 na ana div 2,ss mi nimemshaur akachukue civil eng ambayo naamini ipo bomba sana kuliko koz zote pale dit lkn yy...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Yaani mwalimu mzima anashindwa kabisa kutamka neno, "approved" na kutamka "apploved" hivi kweli cheti ni cha kwake kweli huyu!
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari watanzania wenzangu! Tafadhasri changamkieni fursa hii hapa ya scholarship katika chuo bora kabisa barani afrika (and the world at large). For more infos please visit this link: Alexandria...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma ilitakiwa waanze mitihani yao ya kumalza semister ya pili, walimu wamegoma kutoa mitihani wakidai semister ya kwanza hawakulpwa hela za kusimamia na kusahisha.
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Ndg Wana Jf Naomben Kujua Muda Wa Mwisho Wa Kwenda Vyuo Vya Vya Ualimu Ni Lini Na Kwa Utaratibu Up?
0 Reactions
2 Replies
690 Views
jaman naomba kujulishwa shule ya bei nzur kwa A'leval boarding siyo day shukran nawakilisha
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habar Wana Jamvi Kwa wanaoimba mkopo Mara ya pili loan board ni kiasi gan wanalipa ? Kwa yule alyekosa last year n anaomba tena je analipa kias gan? Ahsante.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom