Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

VODACOM (M_PESA Service) Nahoji Kati yenu Vodacom na Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu(HESLB) nani Tapeli? Maana kuna matatizo ambayo yaliyokuwa yakileta sintofahamu kwa waombaji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani wadau wa jf vocha za tcu kwa ajili ya kujiunga vyuo vikuu zinapatika benki gani mwaka huu 2014.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani nimepangiwa kalangalala f5 iliyopo Geita,sasa cjajua hii shule mazingira yke,hasa upande wa malazi(hostel)! Nimepangiwa ktk mchepuo wa HGL,kwa anayeifahamu vizuri anieleze japo kwa kifupi...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Jamani naita elbariki Simon mpanda nimemaliza Kikuyu Sekondari Dodoma 2013 naombeni mnitazamie post yangu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani kwa university inayoanza kuna ruksa ya kua na serikali ya wanafunzi iliyochaguliwa na wanafunzi kwa mwaka Wa kwanza
0 Reactions
3 Replies
1K Views
SERIKALI itaajiri walimu wengine wapya wapatao 2,219, kufundisha katika shule za msingi na sekondari nchini. Walimu hao ni mbali na wengine wapya 33,894, ambao wameajiriwa hadi kufikia Mei 30...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Naombeni mnisaidie uratibu wa kufuata wa kuhama shule. nimechaguliwa kwenda songea lakini kiaya ni uwezo wa,wazazi sintoweza kupamudu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza kitabu cha Chemistry. CHEMISTRY INTERNATIONAL BACCALAURATE. By John Green & Sandru Damji Mawasiliano 0768594367, 0716488632 husseinmushi8@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Wanafunzi wengi walopata alama za juu hasa madaraja ya kwanza wanalalama kuhusu posti zakujiunga nakidato cha tano
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau wa elimu, kuna wazo linanijia... Pamoja na kujengwa shule nyingi za sekondari Tanzania, bado idadi ya wanafunzi wanaomaliza darasa la saba/kidato cha nne na kukosa nafasi ya kidato cha...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kinachowatofautisha wanafunzi wa UDSM na watoto wa CHEKECHEA ni sare tu wanazovaa watoto wa chekechea.
0 Reactions
54 Replies
7K Views
Wanajmvi ! Msaada wako hapo ! Hatua zipi zakufuata ili Kubadilishiwa shule ! PCB ------------ update ------------ NIMEPATA TAARIFA KWAMBA NI COMBINATION MPYA ! KTK SHULE HIYO !
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Leo ni siku ya furaha kwangu na kwa wanasua wote kumpata kiongozi tunayemwamin,mtunayempenda ,tuliyempa dhamana ya kuwa rais katika chuo chetu. Kumbuka sera zako ahadi ulizo wahaidi wanasua...
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Nashangaa waziri amezishupalia shule za binafisi, zenu zimewashinda sasa mnataka kuziharibu za binafsi, thhis will not be accepted. Mmepanua milingoti ya goli, magoli yameingia mengi mmeshindwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama mnavyojua jamaani mwezi huu ni mishemishe za kuomba nafac kusoma elimu ya juu pamoja na mkopo!naombeni mnijuze kozi zenye "loan priority" pale NIT!
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana Jf...Baada ya kampeni za urais zilizodum kwa takribani wiki moja, leo ndo siku ya upigaji kura. Ni faraja kubwa kwa wanaharakat wenzang hapa chuon kwan kuna misururu mirefu ya wapiga kura...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naombeni kuuliza shule nzuri ya private ya comb ya CBG pamoja na ada yake na mawasiliano MSÀADA TAFADHALI
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Wadau nimepata shida kuchambua mchango wa wasanii wa bongofleva katika maendeleo ya ushairi wa kiswahili, Katika nyanja za kimaudhui, na hata fani yake. Je umeongeza mambo mapya katika ushairi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TCU
Jaman eti saiv hakuna kuchek"eligibility"kama ilivyokuwa last year?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau naomba mnisaidie shule nzur YA private ya advance ktk mikoa ya ruvuma,njombe na iringa..ktk kombe la (HGE) nataka nimpeleke mdogo wangu..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom