Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

if any one aspiring or is studyng basic or advanced maths oc book keeping/accountancy in moshi please contact me as early as possible.
0 Reactions
2 Replies
812 Views
Do you have relatives who wish to have Advanced Maths lessons at home? OR Have you ever wished to have Advanced Maths lessons at home? For Maths lessons at home contact us through...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba msaada wjf.Mimi niliwahi kuwa mwalimu kwa muda wa miaka 18 nilipotoka serikalini na kujiunga na private sec schools.Umri wangu wa kustaafu umefika je naweza naweza kupata mafao yangu kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wahadhiri katika chuo kikuu cha Dodoma wagoma kutoa na kusimamia mitihani wakishinikiza kulipwa pesa zao wanazo kidai chuo,na hivo kusababisha kutofanyika kabisa kwa mitihani katika college ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Waku labda mi cijaelewa masharti ya bodi ya mikopo elimu ya juu 2014/2015 kuna kipengele kinasema aplicants must be completed diploma more than three year ago wana maana gan? Je watu wenye sifa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama kuna kituo chochote wanachofundisha french kwa wasiojua kabisa jamani kwa hapa mwanza naomba anielekeze au ka inawezekana anipe na mawasiliano ya hiyo insititution
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina shahada ya Elimu masomo ya kiswahili na Historia.Natafuta shule ya.kufundisha hasa maeneo ya Moshi na viunga vyake. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JIPATIE DVD ZA KUJIFUNZIA KIINGEREZA ENGLISH DVD part 1 of 5 CONTENTS: 1.Greetings 2.More Greetings 3.Greetings Throughout the Day 4.Useful Expressions 6.Introducing Yourself 7.The...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naitaji kubadilishana kituo cha kazi nipo mwanza-ukerewe elimu sekondari napendelea DSM PWANI MOROGORO NA TANGA 0719388025
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau mm nataka kujua maana naona bajeti imesomwa ila cjajickia km kuna ongezeko au upunguzwaji wa kodi katika mishahara yetu km kuna mdau anajua bhasi anifahamishe
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NIMEIKUTA MAHALI SIJUI NANI KATUNGA HII! WATOTO WA KISHUA SECONDARY SCHOOLS.L.P 7677, MASAKI.MTIHANI WA KUMALIZA MUHULA. MAELEKEZO . i. Jibu maswali yote. ii. Kila swali linabeba maksi kumi...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuna fununu kwamba waalimu wa COLLEGE YA HUMANITIES AND SOCIAL SCIENCES wamepanga kugomea kusimamia mitihani yetu tunayoanza kesho kutokana na malimbikizo ya miaka mingi ya malipo yao...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Shikamooni wakubwa. naomba msaada wenu nimechaguliwa kua mwenyekiti kwenye group yetu ambayo malengo tuipeleke mpaka ije kua taasisi najaribu kukataa kwamba sisitahiri kutokana na elimu yangu...
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Shikamooni wakubwa, naomba msaada wenu nimechaguliwa kua mwenyekiti kwenye group yetu ambayo malengo tulipeleke mpaka lije kua taasisi. Najaribu kukataa kwamba sisitahiri kutokana na elimu yangu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Since so then in 1960s our education has remained worthless and nothing. Wazee wanaisifia elimu ya enzi zao kuwa ilikuwa bora zaidi lakini mimi nasema hapana maana haikufanikiwa kabisa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wanafunzi wa kidato cha nne 2013 wanaosubiri kupangiwa nafasi za kujiunga na kidato cha tano ni kwamba post zitatangazwa rasmi tarehe 30 june, yaani mwezi huu kwa hyo kaeni mkao wa kula.
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Wana jf tumechoka kuzunguka nyumban vp n lin hii wizra itatupangia shule?
0 Reactions
50 Replies
23K Views
nimepata wazo kua sasa ni wakati wa kuwakumbuka wadogo zetu na watoto wetu wa sekondari hasa katika upande huu wa elimu.elimu yetu imekua mbovu na hasa wakati huu wa kampeni ya BRN.wazaz wamekua...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Je, walimu wa shule ya msingi anaweza kusoma chuo kikuu bila kufanya mtihani wa kidato cha sita?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu nimesoma Kenya chuo mwaka wa kwanza sahivi nataka kuhahamia Tz nmeomba credit transfer UDSM wameniambia siqualify sababu nmesoma system ya Kenya, naweza kujoin chuo gan kingine hapa bongo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom