Jamani samahani kwa hili,ni mdogo wangu anaulizia kuhusu majina ya watakaochaguliwa ualimu 2014/2015 yatatangazwa lini?
Kwa anaejua,#nakuomba unijulishe,
http://www.moe.go.tz
Msaada wadau mwenye taarifa ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kwenda kufanya MATRICULATION chuo cha madini Dodoma, naomba anijuze maana walisema wanatoa mtandaoni tarehe 30/5/2014 lakini mpaka...
Habari Wana Jamii Forums,..
Kuna hili suala la rushwa ya ngono ambalo limekithiri vyuoni.
Baadhi ya wahadhiri wa vyuo vikuu wanalazimisha mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi wao, inapotokea...
Dear friends and fellow members. I just got this article from the African Executive newspaper. Someone called Ojjo is not happy with the Ugandan grading system as it produces people who are 51%...
Wakuu mwaka huu kuna malalamiko mengi sana kutoka kwa wanafunzi wa elimu ya juu kwamba pesa za kujikimu(boom) limechelewa sana kiasi cha kusababisha baadhi ya vyuo kusogeza mbele kalenda ya...
Habari za leo?
Nomba msaada wenu wa mawasiliano ya simu au email ya Mkuu wa shule ya Lyamungo Moshi.Pia naomba direction ya namna ya kufika shuleni hapo.
Nasubiria majibu yenu.
Asanteni sana..!!
nipo moshi mjini vipi wenzangu ni mwalimu yupi unayemkumbuka shuleni sana enzi ukiwa sekondari? Na alifanya nini? Mimi pale anna mkapa namkumbuka nkya yaani...........simalizii.vipi rau,mji...
Nipo Moshi mjini vipi wenzangu ni mwalimu yupi unayemkumbuka shuleni sana enzi ukiwa sekondari? Na alifanya nini? Mimi pale Anna Mkapa Sekondari namkumbuka Nkya yaani...........simalizii.vipi...
Wanajamvi ngoja ni share na nyie kidgo..kuna chuo cha urubani ambacho kipo Airport pale, Kinaitwa Tanzania Pilot Trainging centre, nikaona nitembee nijue gharama zake na nk-- basic course wenyewe...
Kiongozi wa kanisa katoliki nchini amesema elimu isiwe bidha. Aliyasema hayp wakati akizindua mpango wa kuanzisha chuo kikuu cha Marian.
Source ITV habari saa mbili usiku leo.
Wakatoliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.