Nahitaji kujua kuhusiana na nini kinahitajika haswa katika swala la msuli coz huwa naskia tetesi za welcom paper ambalo watu huishia kupata negative, 4, 0.5,0. please naomba msaada wa nini nifanye...
Nina mdogo wangu anemaliza kidato cha nne 2013 na matokeo amepata Div III ya 29
Civ-D, Hist-D, Geog-D , chem-D , Bios-D , Math-C, Kisw-B+, Eng-B & Phy-E
Chaguo ni kwenda chuo cha serikali either...
Mkuu wa shule ya sekondari Igoma iliyoko jijini Mwanza bwana Bregrey j. Nyakyuma amesemekana kuongoza shule kwa kuwagawanya makundi walimu wake huku akionesha udhaifu mkubwa kwa upande wa walimu...
Wana jamvi, ninamatumaini yangu kuwa ni wazima. Mimi nimemaliza diploma ya computer engineering nikabahatika kupata ila ya mkataba katika kampuni moja lakini pia mwaka jana niliomba chuo...
Habari zenu wana JF. samahani naomba kuuliza eti kuna uwezekano wa kupata kazi ukiwa na diploma ya Taxation na ni field zipi waweza fanya kazi kwa course hiyo..
jaman wana jf,naomben msaada wenu mm nimehitimu kidato cha nne na nimepata dv iii 29 lakin comb yangu n CBG but alama za ufaulu m chemistry C,biologyB na geography D.je?nitachaguliwa kuendelea na...
Nimepata habari za kuaminika toka kwa DEO mmoja mkoani RUVUMA kwamba Walimu wapya wote waliokosa Mshahara mwezi Aprili, watapewa Dabo mwezi huu yaani Mshahara wa mwezi Aprili na Mei. Vipi walimu...
HESHIMA MBELE KWENU HONGERENI KWA WALE MLIOFANYA VIZURI KWENYE HAYA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA NA DIPLOMA NA WENGINE POLENI ... NAIKUMBUKA ILE FURAHA NILIKUWANAYO SIKU KAMA YA LEO KWANZA...
Habari zenu wakuu.
Zikiwa zimesalia takribani wiki mbili hivi watu kumalizia test two zao ili wapate course work nakuingia UE, inayoanza mnamo tar 23 JUNE - 4 JULY ,kipindi hiki huwa nikigumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.