Wadau hii me naona inanichosha.Wazazi tunatumia hela nyingi kusomesha watoto tution na gharama kibao za vitabu na vifaa vingine,bado ukija nyumbani ukifanya homework na mtoto ni madudu...
Nimepata mtu wa kunirudisha chuo tena baada ya mwaka jana kuishia diploma one kwasababu za kiuchumi kwani nilifiwa na baba sasa insu iko hivi huyu mtu anaetaka kunirudisha chuo kanipa option mbili...
Kuna huu utaratibu uliozoeleka kwamba watoto wanaofaulu vizuri mitihani yao ya kuhitimu darasa la saba na kidato cha nne huchaguliwa kujiunga katika shule zinazoitwa Shule za Watoto Wenye Vipaji...
Vijana wa Kamishina wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova kwa kushirikiana na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers wamefanikiwa kulifumua danguro linalodaiwa...
naona baada ya njaa ya muda mrefu na baada ya malalamiko ya muda mrefu sasa kilio kimesikiwa na mtonyo ushatupiwa ndani ya account za CRDB......mtumie kwa umakini na wengine baada ya wiki tatu ela...
Kama ni mwalimu wa sekondari, masomo ya maths, physics, chemistry, geography na biology na una muda kuanzia Jumatatu hii kwa week 2 basi niPM.
Kuna mtoto wa form two anayehitaji intensive crash...
Habari.
Naombe ushauri , ni chuo gani hapa D'salaam kinafundisha usimamizi wa fedha.
Mfano banking,accountant,nk.Vyuo vimekuwa vingi sana na ni vichache tu
ndio zinafanya vizuri katika ufundishaji...
kwa muda mrefu watanzania tumekuwa tukijitahidi sana kuiga utamaduni kutoka nchi za maghalibi kwa lengo la kujiletea maendeleo lakini tunaiga vitu vingi vya kutufilisi mpaka nch na...
Habari wana Jukwaa La Elimu,..
Nina mdogo wangu anataka kujiunga na kozi za afya kupitia wizara ya afya,.
Mwaka huu utaratibu wa kujiunga umebadilika, maombi yanatumwa Nacte kwa kujaza fomu...
TAASISI ya Sayansi ya Afya ya Chuo Kikuu cha Eckernforde Tanga, inatuhumiwa kuwatapeli wanachuo zaidi ya 115 iliyowadahili na kukaa chuoni hapo miezi sita kisha kuwafukuza kwa madai kuwa hawana...
Habari zenu wakuu,nina mdogo wangu amemaliza fomu 6 mwaka huu,nilikuwa ninahitaji kujua namna ya kutuma maombi
ya mkopo maana naona karibia kila mwaka taratibu zinabadilika nimepitia website ya...
jamani mi nawaomba yoyote mwenye taarifa anipe halafu naomba ushauri mi matokeo yangu ya diploma yanatoka mwezi wa nane je ninaweza nikawahi kuomba nafasi ?
Takribani wanafunzi zaidi ya Elfu 23,000 waliochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu mwaka huu wamekosa mikopo kwaajili ya kuwawezesha kusoma Elimu ya juu. Hawa ni watanzania na wengi wao ni masikini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.