Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Daktari wa falsafa John Pombe Magufuli Mnyatuzu halisi kutoka Biharamuro Geita Kaskazini mwa Tanzania ni mmoja ya wasomi wa chache wenye kutokeza mbele ya uso wa binadamu kwa kigere na tashwishwi...
15 Reactions
178 Replies
28K Views
Karatu. Mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema akipata ridhaa ya wananchi kuwa rais wa Tanzania, atamteua mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kuwa Waziri wa Ujenzi. Mgombea...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
MAFANIKIO KATIKA SEKTA YA UJENZI: UWEZO NA KASI YA MAGUFULI KULETA MABADILIKO YA KWELI Ni vigumu sana kuzungumzia sekta ya ujenzi na mafanikio yaliyofikiwa na wizara ya ujenzi katika kipindi cha...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Mgombea Urais anayeungwa mkono na vyama vinne vinavyounda UKAWA amesema, kila Mtanzania anatakiwa aneemeke na rasilimali zake zilizomo nchini sio wageni. Pia akaongeza akipata ridhaa kuwa Rais...
5 Reactions
123 Replies
13K Views
Leo katika Hali isiyo ya kawaida wachungaji wavamia Eneo la Area D ambapo ni Makazi ya viongozi mbali mbali wakimsaka Edward Lowassa. viongozi hao wa dini walikuwa na shauku kubwa na nyuso za...
3 Reactions
280 Replies
47K Views
Mwaka 2010 hoja ya udini na ufisadi zilitawala katika kampeni na kupelekea kosakosa ya Chadema kuingia magogoni. Tunapoelekea oktoba 2015 tunaona hoja ya UFISADI ikiibuka tena kama dhambi ya...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward N. Lowassa alitoa hotuba wiki chache zilizopita wakati anatangaza nia ya kutaka kuwa mgombea wa Urais kupitia tiketi ya...
15 Reactions
31 Replies
6K Views
Mgombea Urais kupitia Mwamvuli wa CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa, leo atakuwa Wilayani Chato mkoani Geita, mahali alipozaliwa Magufuli. Walioko huko wanasema mji unazizima kwa ujio wa gwiji wa...
20 Reactions
807 Replies
103K Views
Mchakato wa kutafuta mgombea urais kwa tiketi ya CCM umeshakamilika, na mgombea aliyepatikana ni John Pombe Magufuli. Pamoja na hayo, ukweli unabakia kwamba katika mchakato wa kutafuta wadhamini...
7 Reactions
51 Replies
8K Views
Ndugu Wananchi, Mimi kama mdau wa siasa na mzalendo kwa nchi yangu naomba nitoe ushauri ufuatao kwa UKAWA pamoja na Lowassa. Najua kuna watu inaweza ikawa ngumu sana kuelewa point yangu, lakini...
10 Reactions
293 Replies
31K Views
TAARIFA YA UMOJA WA VIJANA WA CCM ( UVCCM) MAKAO MAKUU DAR ES SAALAM KWA VYOMBO VYA HABARI JUMAPILI 30 AUGUST 2015. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Agosti 29 kimezindua kampeni...
4 Reactions
174 Replies
17K Views
Habari Zenu Watanzania, Mimi Nina Sababu Kusema Huyu Jamaa Hafai Na Kifuatia Yafuatayo 1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC 2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi 3. Tuhuma...
5 Reactions
102 Replies
13K Views
Mtatiro: Mjue John Magufuli Nani ni Nani Uraisi: Historia yake John Pombe Joseph Magufuli alizaliwa tarehe 29 Oktoba 1959 huko wilayani Chato Mkoani Kagera (hivi sasa Chato ni wilaya ya mkoa...
4 Reactions
10 Replies
5K Views
Friday, August 21, 2015 Juma Mwapachu I believe earnestly that Tanzania is on a certain and definitive pathway towards a turning and tipping point in its history. It is a momentous stage where...
54 Reactions
260 Replies
45K Views
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Fredrick Mwakalebela mwishoni mwa wiki iliyopita alichukua fomu ya kuwania ridhaa ya ubunge wa Jimbo la Iringa mjini na kuwatahadharisha...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Mwanasiasa Edward Ngoyai Lowassa ambaye yupo katika sintofamamu na chama chake CCM atazungumza na waandishi wa habari leo au kesho nyumbani kwake Masaki jijini Dar es salaam iwapo atawahi kumaliza...
3 Reactions
314 Replies
46K Views
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli, amesema mafisadi hawawezi kumpigia kura katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwa wanamwogopa. Dkt. Magufuli aliyasema hayo jana kwenye...
4 Reactions
43 Replies
6K Views
Nukuu muhimu 1- "Nilikuwa ni mjumbe pekee niliyepigwa vita na makundi yote. Mabilioni ya pesa yalichangwa na kuagiza wajumbe wasimchague Membe. Mlishuhudia jinsi kina (jina tunalihifadhi...
3 Reactions
94 Replies
14K Views
Nachelea kusema Bernard Membe ndiye alikuwa chaguo sahihi kuletewa watanzania, Kikwete aliona mbali, watanzania tulizoea na bado tumezoea kujifunza gradually, slow but sure..pole pole ndio mwendo...
8 Reactions
50 Replies
5K Views
= = = = = Mwanza. Katika kile kinachoonekana ni mbio za urais 2015, makada wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameunganisha nguvu tayari kwa kinyang’anyiro hicho. Waziri wa...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Back
Top Bottom