Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wanajamvi habarini! Nimelazimika kuuleta uzi huu hasa baada ya kuona blah blah za kisiasa zinavyozidi kuendelea hapa nchini ikiwemo upinzani kuusema vibaya utawala na jingine upinzani kuusema...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
East Africa Television (EATV) Mgombea mwenza Urais wa CCM Bi. Samia Suluhu ameahidi shilingi milioni 150 kila kata jijini Dar es salaam, kwa ajili ya kuwezesha wajasiriamali ili kukuza biashara...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Miaka kumi ya Ubunge wa Lembeli hakuna alichokifanya jimboni kwake....Kwasababu Lembeli hakufanya chochote tofauti na kufanya majungu,lembeli amekutana na wakati mgumu sana kwani ukimuuliza...
1 Reactions
63 Replies
10K Views
Dr. John Pombe Magufuli ametangazwa rasmi kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya 5 baada ya kuongoza kwa kupata kura 58.46%. Lubuva: Kwa kuwa mheshimiwa Dr. Magufuli, John...
0 Reactions
700 Replies
73K Views
Mimi nimeguswa sana na ushindi wa Magufuli sana sana, Kwanza ili serikal yake isikwame naomba tu azingatie haya, 1.ateue waziri mkuu hasiyekuwa na Makuu hasiyejulikana kabisa, ambaye...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimeipata Sehem Kuwa Mengi Kazomewa Kwa Upendeleo Katika Habari, Kuna Mtoa Habari Mmoja Kazomewa Kutokana Na Ubaguz Wake Katika Kulipot, Sasa Alivojitokeza Mengi Kazomewa Zaidi, Unahsi Ni Kweli?
1 Reactions
65 Replies
14K Views
Asante Mh kwa kuwa Rais, kazi zinaonekana kwa macho.....kwa sasa nakukubali sana.
3 Reactions
63 Replies
11K Views
Ni ujinga na wehu kuamini candidate wa CCM John Pombe Magufuli anaweza kushinda uchaguzi mkuu Octoba. Nasema haya ukizingatia Magufuli huyu huyu jimboni kwake Chato pamoja na kuwa mzaliwa na...
5 Reactions
40 Replies
6K Views
Na Charles William Dr. Asha-Rose Mtengeti Migiro ni moja kati ya majina ya watanzania wachache wenye rekodi za kushika nafasi kubwa na za heshima kubwa duniani, akiwa amewahi kuteuliwa kushika...
3 Reactions
39 Replies
12K Views
NB: Video Inafuata Operesheni Zinduka imeanza kama nilivyoahidi (jana haikuwezekana kwa sababu moja tu ya heshima ya Mch. Mtikila na haihusiani na mipango ya watu wengine). Nitajitahidi kuwa na...
20 Reactions
283 Replies
21K Views
Kama umewahi kutoa mzigo pale bandarini utakuwa ume ona bank moja iitwayo M bank ambayo hukusanya mabilioni ya fedha za walipa kodi. Hiyo bank haina kazi nyingine bali kukusanya kodi.Kwa nini ipo...
7 Reactions
46 Replies
7K Views
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema Chadema siyo mali yake wala mali ya mtu yeyote bali ni mali ya wanachama. Kutokana na hali hiyo, amesema kama...
16 Reactions
109 Replies
15K Views
Edward Lowassa anajiunga na CHADEMA na atakuwa mgombea urais wa CHADEMA na wa UKAWA. Lowassa is perhaps the most controversial and divisive political figure in the country right now. Na amekuwa...
15 Reactions
209 Replies
30K Views
Mimi sijamuelewa Mhe. Magufuli leo akiwa uwanja wa ndege kupokea mwili wa aliyekuwa waziri wa Viwanda na biashara amesema: - Kabla waziri Kigoda hajapelekwa ICU nje ya nchi niliongea nae...
11 Reactions
120 Replies
19K Views
Hakuna Mjadala tena Maccm yamepoteana kabsa hawaelewi pakuingilia wala pakutokea kwasasa kwan maccm yamekataliwa kila mahali c vijjn wala town, walichobakiwa nacho ni ile asili yao ya kukataa...
5 Reactions
22 Replies
4K Views
Kwa maoni yangu Seif Sharrif Hammad ni Mwanasiasa aliyeiva kisiasa haswa kwa upande wa Upinzani apewe nafasi na UKAWA kugombea uraisi wa Tanzania.Sababu pia anakubalika pande zote za...
3 Reactions
41 Replies
4K Views
Katika kile kinachoelezwa ni kujipanga kwa vyama vikuu vya upinzani nchini kuelekea uchaguzi mkuu 2020. Kumekuwepo na mazungumzo ya Ndugu Zitto Kabwe Kurejea Chadema na Maalim Seif Shariff Hamad...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
CHADEMA (UKAWA) wakitaka CCM wachanganyikiwe mwaka huu, na kubadilisha mchezo mzima wa kunyang'anyana kiti cha urais, Oktoba, 2015, wamchague Tundu Antiphas Lissu kupeperusha bendera ya...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Kumeendelea kujitokeza taarifa mbalimbali katika mitandao ya kijamii kuhusu Mh. Lowassa kuhamia chama cha Chadema. Taarifa hiyo imeeleza kuwa Mh. Lowassa amekabidhiwa kadi ya Chadema, ameshiriki...
2 Reactions
127 Replies
20K Views
Gazeti la Raia Mwema leo lina Makala nzuri sana ya kudadisi matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu. Mbowe ali "m-procure" Lowassa dakika za mwisho kabisa katika kumpata mgombea wa urais baada ya...
4 Reactions
31 Replies
5K Views
Back
Top Bottom