Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amefungua pazia la kampeni za chama hicho kwenye Viwanja vya Jangwani katika tukio lililohudhuriwa na maelfu ya wananchi, huku akieleza mambo 25...
1 Reactions
938 Replies
80K Views
Wakuu bado nipo hapa Dodoma kwa takriban wiki sasa. Lengo ni kuwajuza kinachojiri katika mchakato wa CCM wa kumchagua mgombea wake wa Urais. Jana lile Jasusi na Kachero Mstaafu wa Idara Ya...
5 Reactions
101 Replies
23K Views
Nimeanza kuunganisha dots na kwa mbaali naiona picha kuwa kitendo cha Jasusi mkuu mstaafu wa nchi yetu kujiunga na kambi ya Lowasa kilikua ni cha kimkakati zaidi. Kwa wanaomfajamu Apson na...
21 Reactions
145 Replies
28K Views
Wadau amani iwe kwenu. Taarifa nilizopata hivi punde kutoka kwa mdau wangu zinasema kuwa Apson Mwang'onda, Mwenyekiti wa Wezesha Lowasa Aende Ikulu ameanza vikao vya kuwashawishi baadhi ya...
7 Reactions
205 Replies
27K Views
Ahadi za JK kwenye kampeni za kusakaurais 2010 ============================ 1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa-Nzega, Tabora 2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Jonson Mwambo NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wangu kwamba sitaonekana tena katika safu hii kuanzia toleo lijalo hadi mwanzoni mwa Desemba mwaka huu. Sababu yenyewe ni kwamba narejea...
4 Reactions
60 Replies
8K Views
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti...
0 Reactions
44 Replies
11K Views
Kipigo nilichokipata tangu Kikwete aingie madarakani na 'declare' siku ya leo kama sikukuu kwangu, nasherehekea kwa sababu zifuatazo, - Naachana na rais ambaye hakuwa serious kulingana na umuhimu...
14 Reactions
142 Replies
17K Views
Ili kuleta maendeleo na amani lazima kuwepo na umoja,na ili kuleta maendeleo lazma awepo mtu mchapakazi,mwadilifu na asiyekuwa mwoga. ili kuleta umoja na amani lazma awepo mtu asiyefungamana na...
5 Reactions
699 Replies
46K Views
1 Dk Charles Tizeba- Buchosa CCM 2 Nimrod Mkono- Butiama CCM 3 Omar Badwel- Chilonwa CCM 4 Kanyasu John- Geita Mjini CCM 5 Pudensiana Kikwembe- Kavuu CCM 6 Sixtus Mapunda- Mbinga Mjini CCM 7...
0 Reactions
29 Replies
22K Views
Wanajamvi habari zenu,Mungu awe nanyi. Naomba mwenye majibu anisaidie tafadhari,hivi kwa hapa jijini DSM mgawanyo wa madiwani upoje? Ningependa kujua hivi kuna jumla ya madiwani wangapi? Je...
0 Reactions
44 Replies
12K Views
Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu! Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza. Lowassa wa zamani alikuwa...
6 Reactions
86 Replies
12K Views
Kwa mujibu wa Gazeti la Mwananchi, UKAWA wana mpango wa kuweka Mgombea Urais 2015 - Aidha, wana mpango wa kusimamisha mgombea ubunge mmoja katika majimbo - Mbowe, Mbatia na Lipumba wazungumza na...
13 Reactions
976 Replies
108K Views
More defections in CCM as country asks:- Where is the Chief of Defence Forces? The answer to the question ‘who next?' that has been lingering on for some time, was partly answered by yet...
8 Reactions
31 Replies
6K Views
mgombea urais wa ccm magufuli mara nyingi amekuwa akiongea maneno ambayo mm naona kama anaipinga au kuishutumu serikali ya awamu ya 4 pale anaposema: >nashangaa kuona akina mama wajawazito...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika kuelekea kinyanganyiro cha URAIS 2015, AFISA wa usalama wa siku nyingi Mhe Membe inasemekana amekasirishwa sana na habari za kusemekana kwamba familia ya Rais Kikwete haina mpango naye tena...
1 Reactions
97 Replies
16K Views
"Watanzania Wanataka Mabadiliko Wasipoyapata Wasipoyaona Ndan Ya Ccm Watayatafuta Nje Ya Ccm, Hivo Tuchagulien Rais Atakayekidhi Matakwa Ya Watanzania, Kwa Mujibu Wa Katiba Rais Anaweza Kutoka...
7 Reactions
45 Replies
6K Views
Niliwahi andika hapa kwamba CCM ni Chama Cha Mapinduzi (ila si mageuzi ya usitawi)....Na Hii inatokana na ukweli kwamba CCM ni kinaenzi revolution overthrowing) na si revolution (abrupt and...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa mwenendo wa kisiasa nchini mtakubaliana nami kuwa uchaguzi mkuu 2015 ni mwisho wa wabunge waliozoea kuchaguliwa kwa mkumbo wa bendera ya ccm. Nasema hivi kwa kuwa chama changu kimepoteza na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni wazi ndani ya JF kulikuwa na battle kubwa ya kushawishi umma nani ni nani kati ya Rais mteule Magufuli na mshindwa Lowassa. Team Magufuli kwa kifupi iliwakilishwa na mimi mwenyewe...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Back
Top Bottom