Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Huyu jamaa kapitishwa na ccm bila kuwa na makundi. Huyu jamaa yuko serious na anamaanisha ndio maana makapi wanahaha huku na huko kuhakikisha hapiti. lakini ni mpango wa Mungu ndio unaotaka...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
SIKU TANO ZA KAMPENI: YAFUATAYO YANAONESHA DHAHIRI KUWA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA NA MAMLAKA ZA SERIKALI ZINASHIRIKIANA NA CCM KUJARIBU KUHARIBU UCHAGUZI HUU; Na. Julius Mtatiro. 1...
43 Reactions
142 Replies
15K Views
Kwako Julius S. Mtatiro kwani zamani nilikuwaje? Zamani nilisema wezi na majizi wanaoutaka Urais kupitia CCM wakatwe, na nikaendelea kusema wasingekatwa ningepiga kampeni CCM isichaguliwe...
15 Reactions
131 Replies
17K Views
Hili jembe lililokua linachipukia limepotea ghafla kama ilivyokua kwa majembe mengine ya kaliba yake kupitia bendera ileile...........kulikoni?
0 Reactions
77 Replies
11K Views
Akichangia hoja Fulani professor huyu aliwahi kusema CCM itatawala weweee, kuanguka ni labda baada ya miaka 50,na hii ilikuwa kauri yake katika bunge lililopita, nakumbuka nilimwonya kwa kauri...
9 Reactions
53 Replies
11K Views
Habari wakuu, Leo ni muendelezo wa kampeni, mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi ndugu Magufuli leo yupo uwanja wa Samora mjini Iringa. Tuwe pamoja kujuzana yanayojiri kutoka Iringa. ======...
4 Reactions
442 Replies
52K Views
Viongozi wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wakisikiliza hoja za wabunge wa vyama hivyo walioalikwa katika kikao cha Viongozi Wakuu (Summit) kinachokutana leo...
15 Reactions
65 Replies
13K Views
Leo ni August 1,2015 Wanachama wa chama cha Mapinduzi (CCM) nchi nzima wanakusanyika katika maeneo ya matawi yao kuchagua mgombea mmoja atakayeshindana na wagombea wengine kutoka vyama tofauti na...
21 Reactions
2K Replies
426K Views
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa marudio visiwani Zanzibar, kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari ya kushiriki uchaguzi huo au kutoshiriki, as if kushiriki...
15 Reactions
222 Replies
34K Views
Wanabodi, Kwa jinsi nilivyoshuhudia igizo la uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kupitia ITV, igizo la uchaguzi huu, limekidhi vigezo vyote vya uchaguzi huru na wa haki, hivyo ulikuwa ni uchaguzi...
4 Reactions
85 Replies
12K Views
AGOSTI 22, mwaka 1904, katika kijiji cha Xiexing Guang'an Jimbo la Sichuani nchini China, katika ukoo wa Hakka Han, mke wa pili kati ya wake wanne wa mzee Deng Wenming, siku hiyo alibarikiwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wanajamvi nauliza maswali matatu maana najua ntapata majibu sahihi toka kwa wanajamvi mahiri 1, Hivi mgombea urais anaweza kufikishwa mahakaman wakati wa kampen kwa kosa la ufisadi wa muda...
5 Reactions
29 Replies
4K Views
Samson Mwigamba HABARI za siku nyingi wapenzi wasomaji wa safu hii. Wengi mmekuwa mkinipigia simu na kunitumia ujumbe mfupi wa simu mkiuliza kwa nini nimetoweka hewani. Kama mnavyojua baada...
18 Reactions
33 Replies
3K Views
Kuna majanga ya aina nyingi ambayo kimsingi binadamu anakutana nayo.Kuna majanga ya asili na majanga yanayotokana na kazi za binadamu.Lakini majanga ya asili ni rahisi sana kuepukika,kwani ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni takribani wiki mbili sasa mchakato WA kumpata mgombea ndani ya Chama tawala umemalizika.Katika michakato yote ambayo chama hiki imefanya,Ni wazi kuwa mchakato huu ulikuwa na changamoto kubwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nimefatilia kwa umakini, nikagundua kuna maripota wanastahili heshima kwenye kazi zao. Hawababaishi, wanaripoti habari na matukio ya kampeni kama yanavyotokea bila upendeleo au kuzidisha chumvi...
3 Reactions
64 Replies
7K Views
Aman Iwe Kwenu Wakuu,kwa Mtazamo Wangu Nashauri Chadema Wamwachie Easter Bulaya Jimbo La Bunda Kwani Amekubalika Na Hata Hivyo Naamin Watachuana Vizuri Na Wassira.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mkuu Mbowe huna sababu ya kususia matokeo ya uchaguzi, kulikuwa na kila sababu kwa nyinyi kushindwa na miongoni mwa sababu kuu ni hizi hapa:- 1.Taswira ya team ya kampeni (team ya kanda vs taifa...
2 Reactions
27 Replies
7K Views
Lowassa akiwa Mkoani Njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani CCM watayatafuta nje ya CCM". Chanzo: Itv Habari My take:Kwa kauli hii ni...
4 Reactions
743 Replies
79K Views
Inakera sana kusikia wapinzani wakibeza na kupotosha historia yetu kama taifa kuwa kwa takribani nusu karne sasa Tanzania haijafanya lolote chini ya chama tawala,CCM. Huu ni upotoshaji mkubwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom