Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mwigulu lazima aachie ubunge Iramba 2020 Kazi yake ni kumpinga Rais tu, majizi yote ndio yanampinga Rais wetu mpendwa, hata hili ni jizi , tunataka mbunge ambaye anaelewa kazi ya mbunge ni nini...
7 Reactions
60 Replies
7K Views
"Vitambulisho vya Ujasiriamali vina faida, unaweza hata kukopa kwenye Mabenki kwa kutumia vitambulisho hivi, maeneo kama Kigamboni wameweza kupangiwa kukopeshwa, vinatumika hadi kwenye Bima za...
8 Reactions
131 Replies
12K Views
Mgombea Urais kupitia CCM Dkt John Magufuli amesema, watu wanazusha kwamba Machinga wanalazimishwa kuwa na vitambulisho, sio kweli. Vitambulisho sio lazima. ''Vitambulisho havilazimishwi ni...
7 Reactions
223 Replies
28K Views
Wanabodi, Mtu, Taasisi au Chombo chochote kikifanya jambo jema, jambo zuri la kustahili pongezi, mimi huwa napongeza, hivyo hili ni bandiko la pongezi kwa Clouds Media kupitia kipindi chake cha...
8 Reactions
48 Replies
9K Views
Kabla ya hata uchaguzi na harakati zake kuanza, mwenyekiti wa Vijana wa CCM, Kheri James amekuwa akitoa matamshi hatarishi yenye viashiria vyote vya ugomvi. Ajabu ni kuwa hata sasa wakati wa...
32 Reactions
130 Replies
15K Views
Hivi kuna mtu mwenye akili kamili anaweza kumuamini huyu mtu tena? Askofu Gwajima wakati akiwa anawadokeza waumini wa kanisa lake kuwa amefanikiwa kununua treni kwa Cash
64 Reactions
159 Replies
28K Views
Kwa vile ndugu Mtumishi umeamua mwenyewe kugombea Ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
38 Reactions
214 Replies
20K Views
Heshima sana wanajamvi, Askofu Mkuu sana Dkt. Gwajima kaja na style ya aina yake katika kuomba kura jimbo la Kawe. Mosi Dr Gwajima kaja na ahadi ya kutuletea maboat ya uvuvi vijana wa Kawe...
12 Reactions
78 Replies
10K Views
UJUMBE WA MUNGU KWA LISU NA MAGUFULI Na, Robert Heriel ZINGATIA; Maneno yaliyowekolezwa (Bolded word) Ama kwa hakika hakuna kazi ngumu kwa binadamu kama kusema ukweli na kutenda kwa haki. Haya...
9 Reactions
16 Replies
2K Views
Nukuu "penda kazi usipende ofisi". Ukiamua kuwa mwanasiasa na ukafahamu majukumu yako kwa jamii basi hautababaishwa na madhira utakayokutana nayo wakati wa safari. Hakuna kitu rahisi hapa...
2 Reactions
110 Replies
10K Views
Habari wana JF Ukijifunza kwa nadharia tu, mara nyingi watu walio wengi huwa ni vigumu kupata ufahamu mpaka wafanye vitendo (practical). Mwaka 2015 vyama upinzani viliwaeleza namna wananchi...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Ndugu zangu, Nikiwa katikati ya shughuli zangu nimesikia kituko toka kwa Lissu na wafuasi wa CHADEMA eti..''pamoja na maendeleo aliyoleta mjerumani alikataliwa na waafrika sababu hakutenda haki''...
16 Reactions
76 Replies
5K Views
Ninataka kumpigia kura mheshimiwa Rias wetu. Lakini, nahitaji majibu ya kina kwa haya maswali yangu; 1. Miili ya ndugu zetu iliyokuwa ikiokotwa ufukweni mwa bahari. Ili jambo ni jipya...
1 Reactions
2 Replies
733 Views
Mgombea wetu wa Chama chetu aliwahi kusema kuwa hana Mgombea na wala hajawahi kutuma mtu agombee, video hii hapa Leo kabadilika anasema kwakuwa Mwigulu na Kitila wote ni Wadogo zake basi ameona...
22 Reactions
81 Replies
10K Views
Hata angekuwa anagombea Yesu, Mtume Mohammed au Ibrahim, bado watu wangejitokeza kuwapinga kwa Hoja mbadala, Hivi Leo hii sababu gani yaweza kumfanya mtanzania anayetaka uongozi apite bila...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Tanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua. Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua. Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua. Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya...
2 Reactions
99 Replies
12K Views
Leo akiwa huko Muheza ‘kwenye kampeni zake za urais’, Tundu Lissu kazungumzia tena suala la Corona. Japo kalizungumzia kidogo tu, lakini kaligusia kwa kumkosoa tena Rais Magufuli na jinsi...
21 Reactions
116 Replies
8K Views
Mh Rais, pole kwa mihangaiko ya kupiga kampeni ila nina neno moja juu yako usiku Waleo nalo ni siri japo sio Siri baada yakuandika hapa. Hali inayoendelea hata tukiwa wanafiki na kuwa tumekunywa...
132 Reactions
234 Replies
22K Views
Tuna chini ya siku 150 kuelekea uchaguzi mkuu. Huu utakuwa uchaguzi mkuu tofauti kabisa na chaguzi nyingine zote zilizopita Hakuna amsha amsha hakuna shamra shamra Hakuna kimbiza kimbiza...
18 Reactions
57 Replies
5K Views
Habar za muda huu ndugu wanabodi Sote tunafahamu ya kwamba mwaka huu (2020) patakuwepo na uchaguzi hot. Habari kutoka kwenye vyanzo vya ndani zinadai kuwa CCM wamejipanga kukihujumu Chama Cha...
38 Reactions
85 Replies
9K Views
Back
Top Bottom