Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ivi statistically, mgombea urais lazima awashinde wenzie kwa percentage ngapi? Nikiangalia statistically, kama results zina 95% confidence interval...ina maana kuwa lazima ashinde by more than 5%...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
nawasalimuni; imebidi niache ubishi nijiunge; matokeo haya hayafai kusubiri.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Asanteni wana ruvuma kwa ukombozi, huku mbeya sugu kapeta
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Yafuatayo ni matokeo ya kura YA Urais iliyopigwa katika Campus ya SUA (Main) kwa vyama viwili muhimu GUEST WING A CHADEMA= 44 CCM = 44 GUESTWING B CHADEMA = 64 CCM = 56...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Yaani chaguzi za Africa siku zote zinavurugwa kwa mtazamo huu kutola kwa watawala na tume za uchaguzi! "People have spoken so what???????????"
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Majimbo mengi yenye upinzani makali kati ya chadema na CCM wapiga kura wake walio jitokeza ni wachache kuringanisha na waliojiandikisha, mfano wamejiandikisha 400 wanaopiga kura 100, na asilimia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
By. M. M. Mwanakijiji If there is anything that CCM has done pretty well during the campaign is the CCM old trick that has served them very well in the past. Instilling fear in the people to the...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani habari yoyote toka nzega vp?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Masanduku ya Kura yakamatwa Sunday, 31 October 2010 14:04 Mwananchi Israel Mgussi na Geroda Mabumo ,Dodoma HALI ya uchaguzi mkuu jimbo la Dodoma mjini imetia dosari baada ya kukamatwa kwa...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Nimeongea na jamaa yangu toka tarime ambaye ni polisi wa jeshi la Jk anasema chadema wameanza kushangilia ushindi imebidi kupiga mabomu kidogo ili kutawanya watu,bado matokeo kamili hayajatangazwa...
0 Reactions
63 Replies
10K Views
Kuna maeneo mengi mpaka sasa NEC hawajatangaza matokeo kwa visingizio chungu nzima mara miundo mbinu,mara mawakala hawataki ku-sign n.k. baada ya masaa 15 tangu uchaguzi kumalizika. Hii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kutoka Rukwa, vijana wamekataa kwenda kulala wanasubiri matokeo ya uchaguzi. Wenyewe wanasema "hakuna kulala, mpaka kieleweke"..
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ili kuonyesha kuwa maji yamewafikia shingoni Mkapa jana ameingia kwenye fani ya wanabongofleva na kuanza kushuka mashairi,Mkapa aliyeonekana kuwa na hasira na kuongea pumba nyingi na uongo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
yah, dk chache zijazo itajulikana wazi, jimbo na idadi ya kura nilizoshinda, nina imani kubwa kuwa suti zangu zote mbili zitafanya kazi iliyokusudiwa. hadi sasa naongoza ktk kata 12 kati ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Pamoja na kuahidi kuweka kambi moshi mjini, mpaka CHADEMA ing'oke, Anne Kirango Malecela amethibitisha kushindwa kwake!!. Kichwa kilichovimba kimepwaya ghafla.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Majira..................Chadema na CCM ni balaa hapatoshi.......utabiri wa Sheikh Yahya wakwama............. Habari Leo.........CCM, Chadema waumana Bara...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Inaniuma sana kubandika hii habari... kwenye jimbo la kilosa CCM wameshinda viti 11 vya udiwana, 3 wapepita bila kupingwa na kimoja kachukua mtu wa CUF.... Kwenye ubunge CCM wamepata kura nyingi...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Kwa kweli adui, UJINGA bado unatukaba koo na hivyo ukombozi wetu bado ni mbali; Nasikitika sana watanzania kuonesha kwa vitendo kukubaliana na kauli zifuatazo: Wanaopata mimba na ukimwi ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom