Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

KATA YA KINYEREZI: Kata ya Kinyerezi vituo vya shule ya msingi Kinyerezi na Ofisa Mtendaji matokeo ni kama ifuatavyo Kikwete (363), Dk. Slaa (348), Profesa Lipumba (56). Kwa upande wa Ubunge...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
WERA WERAAAAAAAAAAAA! Ngoma inogile, hapa nimetoka kumfukuza mtu bungeni na pia kumvukuza mtu kazi kama vile alivotishia kunifukuza kazi kama. Inatia raha saaaaaaaaana hasa kuona hapa Gonja...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
HAYA WANA JAMII FORUM KWA WALE KAMA MIMI TULIOMBALI NA BONGO LAND NA TUNATAKA KUPATA HABARI ZA UCHAGUZI NDANI YA BONGO HEBU JIHABARISHE KUPITIA BBC SWAHILI(WWW.USTREAM.COM) NI KUANZIA TAREHE...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
MASWA MAGHARIBI: Matokeo ya awali kutoka jimbo la Maswa Magharibi yanaonyesha Simon Kisena wa CCM alikuwa anachuana vikali na John Shibuda wa CHADEMA. Katika Kata ya Malampaka kituo cha Masanga...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mapambazuko yamefika Ya siku tulongojea Wananchi wameamka Hofu kuindolea Mioyo itashtuka Kwa yale yatatokea Tanzania itashinda, Tanzania Itashinda!! Ndoto tuloiotea Sasa yaanza timia Furaha...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Mgambo wagoma kupiga kura Handeni Send to a friend Monday, 01 November 2010 06:18 0diggsdigg Mwandishi Wetu Handeni WANAMGAMBO zaidi ya 100 wa Jimbo la...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanabodi, Sasa hivi nimepigiwa simu na rafiki yangu yuko kwenye Kitengo Cha Inteligensia cha CCM, amesema CCM imeshashinda kwa Over and Obove 80%. JK ataapishwa Ijumaa Saa 4 Asubuhi Uwanja wa...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Atoweka na daftari la wapigakura Send to a friend Sunday, 31 October 2010 19:21 0diggsdigg Zephania Ubwani, Arusha MSIMAMIZI Mwandamizi wa kituo cha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Urais ccm 376 chadema 341 cuf 13 ubunge ccm 396 chadema 322 cuf 10 udiwani ccm 315 chadema 474 cuf 0
0 Reactions
18 Replies
4K Views
CUF wameshinda majimbo yote ya Ubunge na Uwakilishi Pemba. Pia wamepata kura nyingi za urais wa Zanzibar!
0 Reactions
25 Replies
5K Views
kuna mda nilkuwa nikipita mitaa ya stendi nikasikia kelele kama mtu analazmishwa kufanya kitu flani hiv.., sema nikaamua kuachana navyo wala ckutilia maanan hata kidogo..., ilipofika jion...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
MATOKEO ya awali ya kura za urais, ubunge na udiwani yaliyoanza kutolewa jana kwenye vituo mbalimbali nchini, yameonyesha kuwa nyota ya mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika kufunga kampeni kulikuwepo na mambo yaliyonenwa kwa jazba. 1. Wapinzani ni Kokoto. 2. Nawaalaani viongozi wa dini wala siwakemei. Hizi ni kauli zilizotolewa na Rais wa awamu ya tatu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani maeneo hayo mambo yakoje kwa chadema
0 Reactions
10 Replies
3K Views
  • Closed
Habari zilizothibitishwa ni kwamba katika manaspaa ya Moshi CHADEMA wamefanikiwa kutwaa vitii 18 vya udiwani dhidi ya viti 3 vya CCM. Hivyo kuwapa nafasi kuunda halmashauri ya manispaa. katika...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Daniel Mjema, Hai MGOMBEA Ubunge Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro, kwa tiketi ya Chadema, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho, anatuhumiwa kumpiga vibao viwili mwangalizi wa ndani...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Hali inaendaje Temeke jamani, tupeni habari hizo!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wametangaza katika taarifa Yao ya habari saa 12 asubuhi. Wanadai sababu za ushindi wake ni mafanokio yake katika kukuza uchumi. Hii inaashiria nchi zinazotunyonya kupitia kinachodaiwa uwekezaji...
0 Reactions
92 Replies
8K Views
Ndugu zangu wana JF, Nimewasiliana na jamaa zangu mashabiki wa chama twawala kujua wanajisikiaje baada ya kuanza kupata matokeo ya awali. mmoja ameniambia kwamba kwa mara ya kwanza mwaka huu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom