Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

jamani mwenye update za kule kwa Lowass naomba atupatie wadau, Mungu amesikia kilio cha watanzania kwa kweli
0 Reactions
0 Replies
998 Views
Wadau, Mpaka sasa CUF wameshachukua majimbo mawili ya Unguja ambayo ni Mji Mkongwa na Mwanakwerekwe. Kumbuka Unguja ndiyo kambi ya CCM. CCM hawategemei kuchukua jimbo lolote lile kule Pemba...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari zilizotufikia muda wanachama na wapenzi wa CUF wamejazana kwenye ofisi za ZEC mwenye taarifa kamili watupe
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau... Nimejiuliza sana kuhusu hiki chama chenye miaka kede wa kede na mfumo unaoongoza nchi tangu izaliwe Nikawaza sana kama CCM inayumbishwa na vyama vya kifamilia (allegedly), na vya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimesikitishwa sana na baadhi ya watanzania wenzangu haswa wa vijijini, yani wanafanya uchaguzi kama mechi ya simba na yanga, hatukomoani hapa, tunasimama juu ya haki kwa kila mtanzania na si sisi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
Kwa taarifa nyepesi toka mwanza nyamagana- masha wa ccm yuko hoi bin taabani mbele ya mgombea wa chadema kwa mbali sana. Karibu sehemu zote za udiwani chadema washachukuwa ushindi tayari. Pia...
0 Reactions
121 Replies
20K Views
Jamani eh, tuhabarishane. Nimepishana na msafara wa FFU wakiwa 'kamili'. Askari, gari la maji ya upupu, binduki. Walioko kwa Mnyika au kwa Mdee watujuze zaidi.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakazi wengi na has vijana, wamejaa sana halmashauri ya jiji la Mwanza kusubiri matokeo na matoke hayo kulingana na STAR TV kwa nafasi ya udiwani viti vingi vimechukuliwa na chadema kwa majimbo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nilikuwa naitegemea hii link Matokeo kwa minutes to minutes updates za matokeo TZ lakini sasa iko idle. Vipi nini kinaendelea au kuna sehemu nyingine mbadala? Nilipitiwa na usingizi ndio nimeamka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunavyoongea sasahivi Mh Zitto Kabwe ameshinda jimbo la Kigoma Kaskazini. Akiwa anahojiwa na Bongo Radio sasahivi amethibitisha kuwa CHADEMA kwa upande wa ubunge inaoongoza kati 9 kati ya 11 hadi...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Mbeya mjini kalobe sec 1 Dr=109 Jk=97 ubunge sugu=119 ccm=80 kalobe sec 2 Dr=107 Jk=76 kalobe sec 5 Dr=93 Jk=85 ubunge sugu=112 ccm=67
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Star Tv imeripoti ya kuwa msimamizi wa uchaguzi katangaza rasmi ya kuwa Jk kura 24, 000 na Dr. Slaa kura 6,000.........................
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TBC1 imenukuu gazeti la Mwananchi likitangaza kifo cha ubunge wa mawaziri MASHA, MRAMBA, BATILDA, MKUCHIKA Kaa chonjo
0 Reactions
21 Replies
4K Views
source star tv: ubunge:matokeo rasmi ni 21335 -chadema 14072-ccm udiwani kata8-chadema,ccm wamepata 3 na cuf 2. ....great!great! yametangazwa na msimamizi wa jimbo.
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Wana Jamii, Leo hii nimesikiliza majibu ya mkuu wa Tume ya uchaguzi juu ya malalamiko ya vyama vya upinzani specifically CHADEMA, kwamba usalama wa Taifa pamoja na tume wanacheza na daftari la...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
waliojiandikisha 500 waliopiga kura 100 ndo matokeo yake
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Unajua nilikuwa naspare mda mdogo sana kusikiliza vipindi vya ubunge tena hasa ikitokea kama coincidence. Izi tetesi za wabunge wapya tena akina Lissu,Sugu,Msigwa etc unaweza ongezea Inanitia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ambazo nimezipata kutoka musoma ni kuwa Nyerere wa CHADEMA Musoma anaongoza katika kata 14, tena kwa mbali kabisa. Chanzo kinaaminika kabisa. Wananchi wako barabarani kuhakikisha usindi...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Matokeo rasmi mpaka sasa Chadema inaongoza kata 10 kati ya kata 19. Tayari barabara kadhaa zimefungwa kutokana na watu kujaa wakishangilia. Mgombea ubunge wa Chadema Lema yupo katika kituo cha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kutoka Bkb Mjini,bwana Kagasheki amemshinda kwa taabu,mbunge wa Chadema,Wilfred Lwakatare.Lwakatare usikate tamaa,Mungu akupe nguvu.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom