Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Comments za Mjengwa hizi hapa IRINGA MJINI IMEPOROMOKEA CHADEMA! Taarifa hizi ni za kuthibitisha. Mch. Peter Msigwa ( CHADEMA) ameibuka mshindi akimwacha...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kulikoni huko Bariadi magharibi? Updates please.... Bariadi mashariki ni Cheyo country hiyo....haiendi kokote zaidi ya UDP.....
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Despite CCM touting a five million strong membership electoral ironclad, the untold truth was most of those CCM zealots had either unofficially decamped to the opposition or were too disgruntled...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani naomba mnijuze kuhusu Jimbo la Singida Kusini kule kwa mwaharakati wa Haki za Binadamu na Masuala ya Mazingira!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Monday, 01 November 2010 11:44 Kwirinus Mapunda, Tunduma MTU mmoja anayesadikiwa kuwa ni Mwanachama wa Chama cha CUF Mussa Bakari (27) amefariki gafla usiku wa kuamkia Novemba 1 mwaka huu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuanzia kigoma kaskazini sasa ni Kisalu, kibondo na kigoma mjini yaenda mikononi mwa the so called upinzani (wanaharakati wa maendeleo)
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nashangaa sana...yaan sielewi kabisaaaaaaa!! khaaa...sijui kama wewe umegundua hili...kila nnapokutana na mtu nnaejua kabisa huyu ni ccm damu...nikimuuliza vipi matokeo..utasikia aaah..mi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna yoyote mwenye data za matokeo huko Karatu? Au bado wanaendelea kuhesabu???:thinking:
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Matoke rasmi ni kwamba CCM wameshinda madiwani wengi bukoba mjini (KATA 10) na hivyo kuunda baraza la kata wakati CUF na CHADEMA wamepata kata 2 kila mmoja. Matokeo ya ubunge mpaka saa nane...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chama cha CUF kinaongoza Lindi mjini mgombea wa CUF ni melemavu wa ngozi na wa CCM ni Abdulazizi amabaye ni mkuu wa mkoa wa Lindi pia, matokeo ya udiwani CUF kata 5 CCM kata 8, bado kata 5
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mwenendo wa matanganzo mpaka sasa Chadema imeshika halmashauri za hii mikoa Musoma,Kigoma,Mwanza,Arusha,Iringa.Hapo sijazumgumzia wilaya
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tume ya taifa ya uchakuzi kule Singida mjini yametangwa punde... MOHAMED GULAM DEWJI 21,169 Mgombea ubunge wa CHADEMA 3457 Yaani yaelekea mikoa yenye maedneleo duni inakumbatia CCM ( Temeke...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Napata habari hapa kutoka ndani ya chumba cha kujumlishia matoke CHADEMA imeshinda na sugu ndiye mbunge wa Mbeya Mjini.
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Jamani hata nkipata Umbea kuhusu mwenendo wa kule Same Mashariki nitafurahi sana. Anybody wth a clue?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Oct 31, 12:21 PM EDT Tanzanian president fights for second term By SUKHDEV CHHATBAR Associated Press AP Photo/Khalfan Said...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Monday, 01 November 2010 11:30 0diggsdigg Burhani Yakub, Tanga MSIMAMIZI wa uchaguzi wa jimbo la Korogwe mjini Christina Midello amemtangaza Yussuph Abdallah Nassir wa CCM kuwa mbunge...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna mwenye update za Monduli??
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kweli ule usemi sauti ya watu ni sauti ya Mungu unaanza kushika hatamu jinsi muda unavyo zidi kuyoyoma... Chadema yapeta Kasulu kiti cha ubunge.... ngojea nicheki yanayojiri Kibondo.
0 Reactions
31 Replies
9K Views
Yule mnajimu aliyetishia nchi nzima kwamba uchaguzi utaahirishwa na kwamba kuna mgombea atakufa anahitaji kukamatwa mara moja kwa tuhuma za uchochezi na kutishia watu. Alichokifanya ni mauaji ya...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Dar-ubungo wabebwa kwenye magari ya takataka wasimamizi wa uchanguzi posho hazijatoka wasimamizi wa jimbo la ubungo walalamika kwenye ITV hawajalipwa posho mtafaruku mkubwa walibebwa kwenye Gari...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom