Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

FUONI Waliojiandikisha 10884 Waliopiga kura 9367 %86.1 Kura halali 9201 %98.2 Zilizoharibika 166 %1.8 DK SHEIN CCM 6351 %69.0 Maalim Seif CUF 2777 %30.2 Kasim Bakr Ali wa jaahazi asilia ni 9 % 0.1...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Napata taarifa hapa kupitia BBC, Biharamulo CHADEMA imepeta na funny enough mgombea wa CCM, Mukassa ndiye aliyetoa taarifa hii!!!!!!!!
0 Reactions
25 Replies
5K Views
hembu wanajamii niambie nini kinaendelea huko Arusha??? nasikia Buriani naye kagoma kusaini tabu la matokeoooo?? TUPASHANE
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Vipi hapo ZNZ hali ikoje na tusubirie nini?. CUF watachukua Kisiwa chao?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wilaya ya mbulu ambako ndio yuko waziri marmo mpaka sasa kati ya kata 32 tayari chadema wana kata 19 mfukoni na ndio tunasubiri huko kwingine! Upande wa hanang ambako ndio yuko waziri nagu...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Hali inayoeendelea hivi sasa kwa kuchelewesha kwa matokeo ya uchaguzi inaonyesha wazi ya kua ccm haikujiaandaa kushindwa.Kampeni zao zilikua usanii nalizikua zikienda kwa mazoea.Hawakuweza kusoma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanachelewesha buuuure.... Wanaota ndoto za mchana kuwa uchakachuaji wao utaweza kuokoa janga walilolipata... Nchi imeshakombolewa na rais wetu ni Dr Slaa....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kupitia matangazo ya moja kwa moja toka BBC inaonesha sehemu nyingi kuna ugumu wa kutoa au kutangaza matokeo rasmi achilia mbali yale ya awali. Hivyo watu wamekusanyika wakifikiri kuna njama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani eeeh matokeo ya uraisi vipi? Mbona hakuna anayeyazungumzia? Maana kila mtu kajikita kwenye ubunge...kwa nini ya uraisi hayazungumziwi wala kutolewa?
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Jana usiku nilisikis channel ten ikionyesha ushindi wa dewj singida mjini,ila nimefurahishwa kwa chadema kupata asilimia karibu 30!% huu ni mwamko mkubwa kwa wanasingida kuacha ushamba wa kutafuta...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wazanzibari anzeni kusherehekea ushindi wa M.Seif: M.Seif apata 50.06% Dr.Shein:47.30 Asalamu alaykum haya ndio matokeo tulioyapata kutoka kwa tume ya uchaguzi: JIMBO KUTOKA PEMBA JIMBO LA OLE...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
  • Closed
wanaenda zanzibar kufanya nini kama si kuleta vurumai. jamani amani inataka kutoweka. Uwiiiii Uwiiiii. Tupige mayowe mpaka mafisadi tuwatoe.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau wenye data za Morogoro vijijini tujuzeni plz, vp Prof. Mlambiti anaendeleaje huko?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa jinsi NEC wanavyozidi kuchelewesha matokeo naanza kupata picha ya uchakachauaji wa matokeo. As a result tunaweza shuhudia uchaguzi ambao utaibua kesi nyingi sana za kupinga matokeo. Nahisi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chondechonde viongozi wa ccm tumieni busara kupokea matokeo ya uchaguzi ili kuepusha vurugu zisizo za lazima. kwa nini hamuamini kwamba wananchi wamewachoka. kubalini matokeo nchi ipite kipindi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi...
0 Reactions
50 Replies
6K Views
naona kimya... huko!!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jamani wadau wa jf,naitaji kujuwa hatima ya mwanasheria wetu chadema mwana dada halima mdehe kawe mambo yamekwendajee? mapinduziii daimaaaa
0 Reactions
15 Replies
3K Views
wasimamizi wa jimbo la ubungo walalamika kwenye ITV hawajalipwa posho mtafaruku mkubwa walibebwa kwenye Gari la Taka WaMENGOME MATOKEO MAMBO SI SHWARI.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom