Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jamani wakuu kuna yoyote mwenye taarifa ya dada yetu huyu? I love this lady na hoja zake alizo kuwa akizitoa humu JF. Mara ya mwisho nili sikia ana nafasi nzuri tu ya kushinda ila tokea kura...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu.... Nimepiga kura kwa amani sana... sasa napata wasiwasi sana kusikia z'bar wanagoma kusaini, Arusha wanagoma ku-sign na pia nimesikia matokeo ya urais yasitangazwe hadi yajumulishwe...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
HONGERA SANA Mhe. V. K. Nyerere Takwimu za matokeo ya Musoma Mjini zimedhihirisha udhaifu wa kauli ya JK kuwa CCM haiibi kura...! Mwaka 2005 Mathayo alishinda ubunge kwa kura takribani 21elf...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wananchi wamechoka kusubiri matokeo na sasa wanaanza kutumia nguvu kuingia ndani ya chumba walikojifungia maafisa uchaguzi. Matokeo ya majimbo mawili yanasubiliwa toka jengo moja chini ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna habari nimezipata muda si mrefu kutoka Mwanza zikieleza kuwa matokeo ya Nyamagana yamegeuzwa na kwamba sasa msimamizi wa uchaguzi ana mpango wa kumtangaza Masha kama mshindi wa uchaguzi jimbo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mgombea wa ubunge wa CCM amegoma kusaini matokeo baada ya kubwagwa na mgombea ubunge wa CHADEMA, mwl. N. Yamsebo. CHADEMA tayari wanaimba nyimbo za shangwe na polisi wamesema hakuna hata mtu...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
wadau matokeo yametangazwa tarime chadema chali!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari za kuaminika kutoka kwa dada yake na Rau Masha ni kwamba yuko hoi Bugado Hospital, na wanachadema wanadai matokeo yatagazwe, hapotoshi ofisi za jiji Mwanza.
0 Reactions
136 Replies
15K Views
Jamani naomba matokeo ya Sikonge tabora!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Akijibu swali la muulizaji mmoja siku ya mdahalo,Dr Slaa alisema kamwe vyama vya upinzani haviwezi kusababisha vurugu katika nchi hii na badala yake ni CCM na vyombo vyake ndiyo inaweza kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jamii, This election is very emotional... people's hopes are pegged on this election. Hofu kubwa ni uchakachuaji wa matokeo. I know there is something we can do about that. Lakini sidhani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tusitoe matokeo mpaka yatangazwe. It is discouraging
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sunday, 31 October 2010 18:38 The Citizen Online Police in Same district are holding a Chama Cha Mapinduzi (CCM) cadre for reportedly campaigning at a polling station. The CCM member, Issa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
:israel:Habari zilizotufikia ni kwamba Joseph Mbilinyi aka Sugu hivi sasa ameshinda ubunge katika jimbo la mbeya mjini kupitia chama cha CHADEMA. Sugu ambaye ni mhasisi wa mziki wa Bongo Flava...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dah nimeona hii itakuwa ni record kwenye JF natumai server linarindimisha matukio yote haya lipo Gado kuhimili mahitaji ya wazalendo hawa Currently Active Users There are currently 15069 users...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
presha inapanda hapa jamani, nipeni data za Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.:israel:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati wana CHADEMA wanashangilia ushindi wa mbunge mpya Vincent Kiboko Nyerere kwenye viwanja vya wazi, mwananchi mwenye mavazi ya CCM alikatisha uwanjani na kujaribu kuharibu sherehe. Amepigwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Tarime jamani hali ni mbaya sana. Chadema imeshinda lakini kuna mikakati mikubwa ya kuchakachua matokee na kumeibuka vurugu kubwa sana.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
"wataalamu wa utafiti nchini tanzania" Synovet na REDET, fanyieni utafiti hili suala la wananchi waliojiandikisha kutojitokeza kupiga kura. Imeonekena kuwa karibia waliopiga kura nchi nzima ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wakuu vp pale mjin moshi vijijini ni komu au chami?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom