Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

inasemekana msimamizi wa matokeo amemtangaza mgombea wa CCM kuwa mshindi huko Tarime baada ya kurudia kuhesabu kura.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kulingana na ITV CCM wameikomboa Halmashauri ya Tarime kwa kupata viti 18 vya madiwani na kuna vurugu kubwa huko. Vipo viti 30 tu............Ubunge na uraisi bado kutangazwa.........
0 Reactions
8 Replies
3K Views
ccm - 28064 chadema - 27334 nssr - 7811 cuf - 7368 udp - 185 tlp - 145
0 Reactions
4 Replies
1K Views
JIMBO LA HAI Kituo cha Kata ya Machame Kusini URAIS 1. Slaa - CHADEMA - 77 2. Kikwete - CCM - 55 UBUNGE 1. Freeman Mbowe - CHADEMA 95 2. Godwin Fuya Kimbita - CCM 39 UDIWANI 1. Richard...
0 Reactions
57 Replies
9K Views
Habari zilizothibitishwa mpaka sasa hayo majimbo tayari CCM chali...
0 Reactions
38 Replies
7K Views
Waheshimiwa wa JF-matokeo ya kituo kidogo cha Sopa-Mwaswale,bariadi ya mashariki ni kama yafuatavyo: Urais:Chadema=59 CCM= 7 APP =1 Ubunge:UDP = 46 CUF = 10 CCM =11 Udiwani:CHADEMA=54 CCM=8 UDP 5...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani mi nahisi ishu ya kuchelewesha utangazaji wa matokeo kuna kitu behind it,hasa ikizingatiwa kuwa hilo linaonekana kujitokeza kwenye yale majimbo yenye utata mtupu.Hizo hesabu hata kama ni...
0 Reactions
0 Replies
974 Views
Kuna taarifa zinaendelea kuzagaa kuwa Mh JK amekwenda Mwanza leo hii, je hizi habari ni za kweli? Kama ni kweli, je amekwenda kufanya nini???
0 Reactions
26 Replies
4K Views
A clear, true lesson(s) to political leaders!!! Safi sana watanzania.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wizi unaonekana ni wa wazi jimbo la ubungo coz kuna jama ameonekana na makaratasi anataka kuondoka nayo tena akitumia gari binafsi
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Lt. Gen. Adulhaman Shimbo huku akiwa amekunja uso alituambiwa tukubali matokeo. Sasa namuomba atoke tena awakumbushe CCM waliokubaliana na kauli yake 100%. Shimbo where are you !!! CCM denies...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nani kashinda mbeya mjini?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Taarifa kutoka jimbo la Kawe inaonesha haya...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari nilizozipata sasa hivi CCM 89% CUF 8% Chadema 3% nitaendelea kuwaabalisha maana CCM inaongoza hata mikoa mingine
0 Reactions
27 Replies
6K Views
CHADEMA mpaka Sasa wanaongoza kwa Majimbo,, na sijui hayo yaliyo baki kwani CHADEMA ilisimamisha asilimia 45 tu ya majimbo yote Tanzania,, lakini ninaimani kuwa Watanzania now wamekubali...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Katibu ya kampeni Kinana alituahidi mdahalo wa JK baada ya uchaguzi Je utafanyika?Atazungumzia nini?Kutangaza matokeo ya uchaguziiii?Kuomba msamaha kwa Watanzania kwa alikotufikisha?Kubatilisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naelezwa hapa kuwa Kibaha Mjini Chadema kakamata kiti cha ubunge!
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Tume iliahidi kuwa matokeo ya kura za Urais nayo yatatangazwa majimboni kabla ya kujumlishwa rasmi na tume na kutangazwa rasmi. Kwamba sasa wanataka wasimamizi wa majimbo wasitangaze hadi wapeleke...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa kweli si jambo la kufurahisha, kazi imefanyika kwa AMANI harafu hawa jamaa wanataka kuanzisha fujo. Nina maswali machache hapa wana JF tujiulize. 1- Nini maana yake kila kituo kubandika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom