Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Atakayechakachua matokeo na kuharibu uchaguzi wa wananchi atakumbana na kichapo cha Yehova. kwa taarifa tu ni kwamba tangu mwaka wa jana Watanzania tumeendelea kuomba mbele za Mungu, tena kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Waku nimepigiwa simu na mdau wa karibu Mheshimiwa Mbowe na Ndesamburo wameingia Arusha kuweka sawa hali ya mambo baada Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Arusha kuwaambia Lema amewekwa sawa na Mzee wa...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Hali ni tete Sumbawanga Mjini. Waziri Mkubwa atia Timu Kunusuru Chama. Matokeo yanasuburiwa kwa hamu. Mabomu yaanza kutumika kuwasambaratisha wafuasi wa upinzani. Wenye data zaidi leteni.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wengine hatupati live ITV, tuhabarisheni kinachoendelea huko:sad:
0 Reactions
0 Replies
927 Views
  • Closed
Tetesinilizopata toka mwanza zinasema kwamba hata kule kwa shibuda mambo mswanu kwa chadema.... Nasikia shibuda anaendelea kuwapumulia watani wake wa jadi ccm kisogoni......... Helo helo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
tafadhali Makambo na viongozi wa CCM msituharibia amani yetu na uchumi wetu kwa uchu wa madaraka ya Dr. Batlilda Buriani na Lowasa kwani sasa leo nimeshuhudia Lowasa anaingia katika ofisi za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo mpaka sasa kimeshapata madiwani 9 kati ya 14. Viti 5 bado havijatangazwa lakini inategemewa kuchukua vingi zaidi kati ya hivyo vitano.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kwa hali inavyoonyesha, sasa ni dhahili kutakuwa na umwagaji damu kama matakwa ya wananchi hayatafuatwa. Je ni JK au ni Dr. Slaa ambaye yuko tayari kuingia ikulu kwa kumwaga Damu? Tafakari
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mdau wa Tabora amenipasha kuwa Sitta anaelekea kushinda kwa Kishindo Urambo mashariki, Prof. Kapuya hali yake mbaya huko Kaliua ana mchuano mkali na CHADEMA, Rage anaelekea kushinda kwa kishindo...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Yule hata kama akiwa upande wa pili bado ni mtu wetu, tusimtupe wadau CHADEMA ikishika dola lazima ataruka daraja tu. ANA ROHO YA KUPENDA NCHI YAKE.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Matokeo niaje huko?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamvi, Wananchi sehemu mbalimabli wamegundua dawa ya uchakachuaji!-KUCHOMA MOTO MASANDUKU YA KURA zilizokwisha-hesabiwa ili kuzuia kurudiwa kuhesabu kura na hatimaye kuchakachua! Kule...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa mujibu wa taarifa ya star tV sasa hivi, manispaa ya kigoma ujiji mabomu ya machozi yamepigwa, (na possibly risasi za moto) kuwatawanya wafuasi wa chadema waliokuwa wanashinikiza matokeo...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kuna tetesi kwamba wasimamizi wa uchaguzi majimboni wamepewa amri ya kutotangaza matokeo pale ambapo vyama vya upinzani vimeshinda mpaka kwa kibali cha serikali. Kama kuna anayejua iwapo tetesi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tume ya taifa ya uchaguzi sasa wamedhihirisha kabisa kuwa wamepania kunusuru wabunge wa CCM walioangukia pua. wanachofanya sasa hivi ni kutoa matokeo kidogokidogo kwenye ngazi za udiwani na kusema...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wananchi wa kata ya malinyi wamemchagua ndg said tira kuwa diwani wao, kura zilizo mpa ushindi diwani mteule tira zimetoa taswira na ishara kuwa mgombea ubunge wa chadema prof. Mlambiti anayo...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Kwa miaka tumeambiwa wao ndio waasisi wa demokrasia nchini na ya kuwa wao ndio walinzi wa demokrasia hiyo. Leo hii Taifa letu linaenda kupitia kipindi cha majaribu na tusipoangalia tunaweza kupita...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani wana JF kuna habari kuwa eti wale vigogo wawili Rostam Aziz na Basili Mramba wameshwindwa kufurukuta kwenye majimbo yao hizi habari jamani ni kweli??
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Kwa nini majimbo ambayo CCM wanashinda yanatangazwa mara moja na yale ambayo wameshindwa hayatangazwi? kuna nini? ina maana hadi muda huu hakuna hata jimbo moja limetangazwa kuwa wameshindwa baada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuanzia jana jioni tuliona faraja baada ya kuanza kutoka matokeo ya Urais, ubunge na udiwani toka vituo mbalimbali.Kulingana na sheria tuliyosoma ya uchaguzi uchaguzi inaeleza wazi kuwa" kura zote...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom