Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wanajf, Kama mkiangalia kwa undani CCM wako very strategic kuchakachua matokeo. Wameanzisha fujo Temeke, Kigoma Mwanza na Tarime makusudi. Lengo ni kuwafanya watu wakoncentrate sehemu zenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati matokeo yanaendelea NAWAOMBA WAPENZI WA CHADEMA KUWA WATULIVU. fUJO HAITABADILI MATOKEO. tAFADHALI, TAFADHALI UTULIVU NDIO NO 1.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hapa Arusha Mshindi ametangazwa kuwa Lema but the radios are claiming kwamba kuna jimbo la terat lilisahaulika thus Batilda wins. Any one with more on this please.......
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Nasikiliza redio one hapa ofisini wanarusha vurugu zinazotokea hopo temeke aliye karibu atuhabarishe
0 Reactions
28 Replies
4K Views
  • Closed
Hbari za uhakika kutoka maswa zinasema kuwa mpaka sasa Tume wameshindwa kutangaza matokeo kwani maswa magharibi na Mashariki yaani kwa SHIBUDA NA KASULUMBAYI - CCM wamepigwa sana, nahisi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi ni mmoja wa wale ambao tumechoshwa na ufisadi, hivyo napata faraja kubwa sana ninapoona haya matokeo yanayotolewa hapa kuwa mafisadi wanaelekea kupigwa chini. Lakini sasa napatwa na wasiwasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
vipi kuhusu majibu ya huku sumve-mwanza?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani inakuwaje shinyanga huko, nasiki kuna jimbo ambalo watu wasio julikana wamechoma masanduku 7 ya kura.MUNALICHUKULIAJE HILI WANGWANA?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tafadhalini wadau waleta habari leteni habari zilizothibitishwa sio uzushi. Hadi sasa hivi nishachanganyikiwa ipi ni habari ya ukweli na ipi ya uongo...tusikurupuke tuwe na subira.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
CHADEMA imemfanya kitu mbaya Batilda, Pole mama...........
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Jana nimeona matokeo ya vituo vya utawala nikajua kuwa ukitaa kumulika nyoka anzia miguuni kwako na nilikuwa najua kama REDET watakuwa vizuri kazi watakuwa waliianzia pale chuo kwa wanazuoni...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Jenister Mhagama wa CCM kamshinda mgombea wa CUF
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi kweli hawa ccm ndo wanatupeleka huko? wawape raia haki yao.Viongozi kama hawa hawatufai kabisa.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
BBC News - Why is there almost no tribalism during Tanzanian elections? hii ni video inaongelea mambo ya tribalism Tanzania na Uchaguzi. Nimeipenda kweli. Safi sana.... Can elections help...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari toka kwa independent observer huko Karatu zinasema CHADEMA imechukua jimbo
0 Reactions
8 Replies
2K Views
TBC wametangaza matokeo kama ifuatavyo; Ubunge Chambiri wa CCM - 13,506 Pauline CHADEMA - 6409 Udiwani CCM wamezoa viti vyote 8 vya jimboni humo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Kabla ya viti maalum. Bunge la Jamhuri (yes ukichanganya na Zanzibar) kutakuwa na wapinzani between 80-90. Ukiongeza na vitu maalum, lazima tukubali kwamba litakuwa bunge la ukweli. Jakaya is...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
utabiri umetimia au?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Inasikitisha kuona ya kwamba CCM na serikali ambayo ilikua inaimiza uchaguzi wa amani.Lakini ni CCM hiyo hiyo inayojenga mazingira ya vurugu kwa kuchelewa kutoa matokeo.Kuwaweka wananchi katika...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom