Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Napenda kufahamu matokeo ya Rungwe na Kyela mtu mwenye taarifa tujulishe jamani.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Samahanini sana sana sana kwa kulipua hili mada mbele yenu, lakini lengo langu si kuchafua mioyo yenu na ubongo wenu, lengo kujua kitakachotokea huko mbele nchini juu ya Dr. W. Slaa(PhD)...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani mimi haya matokeo ya Kikwete mbona yananifanya nijisikie hivi? Hivi ni kweli anashinda kwa wingi wa kura kiasi hiki kama vile hatukupiga kura watu wa upinzani? aitaki kusema zaidi but am...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi jamani kwa nini Watz tunakosa ustaarabu, mzee wetu huyu pamoja na kulitumikia taifa letu karibu maisha yake yote, anaachwa na kunyanyasika kwa kusimama katika foleni???.... hii imekaaje?
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Jumla ya mawaziri 14 hivi hadi sasa yasadikiwa wamepoteza viti vyao lakini kila mahali wakubwa hao wanakataa matokeo na kutaka kura zihesabiwe upya!!!!!!!!!!!!!!...... Katika sheria ya uchaguzi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kwa matokeo ya mwka huu percent watayopata ccm dio exactly idadi ya wajinga wa tz, wasiojua kusoma, kuandika, na kuchambua mambo. ukitaka kuniprove sahihi just angalia maeneo ccm walioshinda uone...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiburi na majigambo havijawasaidia,wadau waliwaonya sana masikio pamba waliyatia wakawatuhumu wapinzani sasa wao na jeshi lao ndio wanapalilia vita.wana jf tujadili hili je ccm inafia mikononi mwa...
0 Reactions
0 Replies
988 Views
Wakuu, This' so serious. Inasikitisha kuona kuwa NEC wameamua kuibaka demokrasia kwa kumtangaza bwana huyu kabla hata masanduku ya kura hayajamaliza kuhesabiwa. Hii ni haki? Observers mnafanya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwani si tayari mwanza kuna nini kinaendelea? Tunaomba mtupe habari zaidi,na ikiwezekana waliopo mwanza lindeni kura kwa nguvu zozote zile kwani hata kama kikwete yupo mwanza hatuwezi kuvumulia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna watu wanataka kuleta uchochezi hapa JF. Wasiokuwa na data za kutosha acheni mchezo wa kutupandishia mori bure!! Mtu anaandika kichwa cha post/thread ukizama ndani longolongo tupu!! Blaablaa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Mbunge mteule wa jimbo la Hai, mheshimiwa kaka yetu wa ukweli Freeman Aikaeli Mbowe ametangazwa rasmi kushinda ubunge kwa tiketi ya CHADEMA. Hapa Hai mjini ni shamrashamra za hali ya juu na...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Ccm - 20730 chadema - 4719 cuf - 142
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekuwa nikipitia blog mbalimbali kutafuta takwimu ya wabunge wa CHADEMA waioshinda katika majimbo yao, lakini bado sijafanikiwa kupata habari za uhakika, zaidi ya Zitto Kabwe ambaye ameshinda...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Rafiki yangu wa karibu Mhandisi Tuni Abraham Humphrey kanipigia simu sasa hivi kuwa mpinzani wake wa CCM ambaye ni Naibu Waziri wa Serikali za Mitaa katangazwa na Msimamizi wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jerome wa CCM ameshinda kwa kishindo kwa kura 24000+
0 Reactions
0 Replies
1K Views
matokeo rasmi ni kuwa CCM -34839 hivyo Dickson ndo mbunge Chadema-16090
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Najiuliza hivi vichwa vikifanikiwa kuingia bungeni (vingine tayari) Bunge litakuaje Kichwa kama Tindu Lisu Freman Mbowe Halma Mdee Myika Thomas Nyimbo Lema na babu mrema na vingine kibao.... Huyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mbona tbc hamsomi upepo?naona mnatangaza tu sehemu ambazo mabosi wenu wameshinda.mnaogelea kinyume na mkondo wa maji shauri yako tido mhando soma wakati ukutani
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Matokeo yanasomwa kitaifa na Lewis Makame
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Naomba katika post hii tutaje tu wagombea waliokwisha dhibitishwa na TUME(Wakurugenzi)tuachane na masuala ya matokeo ya awali tutaje waliotanagzwa tu ili tujue tunao wabunge wangapi mkononi at the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom