Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jimbo la uchaguzi la Tarime lililokuwa ngome ya Chadema ktk mkoa wa Mara limechukuliwa na mgombea ubunge wa CCM. Pia ktk kata 30 za Jimbo hili, CCM wamenyakua kata 17, Chadema 12 and CUF...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tumedhamiria kuing'oa ccm kama ckuitowesha ktk raman ya tanzania. Uchakachuwaji wamatokeo umeanza na kama hatutopata haki basi ni wito wangu kujaa ktk kila kona ya barabara kuishinikiza ccm...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MATOKEO YA UCHAGUZI WA RAIS KWA JIMBO : BUKOBA MJINI KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO 117 0.35% KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 15,410 46.56% DR. SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 16,604 50.16% LIPUMBA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Madiwani CCM wameshinda katz zote 20 Ubunge Prof. Maghembe ameshinda 20,730
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani nadhani Nia ya kuchelewesha matokeo ya ubunge, wanapata nafasi ya kuchakachua kura za urais. chadema jamani mjitahidi pomoja na kazi ngumu ambayo tayari mnafanya katika ngazi ya ubunge...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sheria inasema nini kuhusu Kujumlisha kura za wagombea Uraisi na Kutangaza matokeo. Wakuu, Nimetonywa na chanzo kinachoaminika kuwa M-Kiti wa Tume ya Uchaguzi akisha pata jumla ya kura...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nanuku kuwa Jaji Lewis Makame amesema ktk matangazo ya BBCswahili kupitia Ustream amesema matokeo ya Urais yatatoka siku ya Ijumaa tarehe 05/Nov/2010. Jaji Lewis aliyasema hayo ktk mahojiano na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
JK mkakati wake wa kurudi kazini yaelekea umefanikiwa kutokana na matokeo ya awali yanayosomwa na NEC ambayo yeye mwenyewe ndiye mteule wake lakini anaelewa fika siyo chaguo la wengi na ndiyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ITV wanatangaza, Hawa Ghasia ameshinda mtwara vijijini. Udiwani ccm 26 cuf 2
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani watanzania naomba mnitaarifu majibu ya majimbo hayo hapo juu.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari ndiyo hiyo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TBC wanatangaza kuwa NEC wanarusha rusha nadhani wanachakachua maana kuna close contest kati ya CCM na CHADEMA
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeendelea kufuatilia matokeo ya uchaguzi Tanzania. So far, kwa yale ambayo yameripotiwa, CHADEMA imefanya (kuongoza) katika mikoa ya ziwa, kaskazini na nyanda za juu kusini. Ukifuatilia sensa ya...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Jamani hebu angalieni Star TV live coverage, polisi warusha mabomu kutawanya watu pale ofisi za jiji. Kisa? matokeo kucheleweshwa, nyamagana na ilemela
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani huku bara nako ccm watataka serikali ya mseto.hawataki kukubali defeat!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hiki ni kipindi kigumu katika nchi yetu wakati tunapoendelea kusubiri matokeo ya kura. Inahitajika wenye hekima kuitumia hekima na busara yao katika kuepusha utata na hisia zisizo na lazima...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
There are currently 16687 users online. 1962 members and 14725 guests Most users ever online was 16,925, Today at 04:40 PM.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom