Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ni hatari sana kumnyima mpiga kura haki yake. Kama tume ya uchaguzi ingeamua kuwapa wapiga kura haki yao kwa kutangaza matokeo kwa muda muafaka bila kuchelewesha kungesaidia kupunguza hasara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Alisema shibuda atakufa...alipobanwa mbona mtu hafi?? akasema atakufa kisiasa....atashindwa na kupotea kabsaaaa.....
0 Reactions
12 Replies
2K Views
hali ya taifa ni tete ole kwa wote wanaotaka kuufisadi uchaguzi na kuwagawa watanzania aidha kwa ukabila au dini hata kutangaza mshindi aliyeshindwa (the hague inaita) mtajulikana kwa majina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mabomu ya machozi,maji ya kuwasha,askari watawala katika mitaa ya mji wa vwawa jimbo la mbozi magharibi.watu hawaonekani mitaani na maduka yamefungwa,askari wanalipua mabomu mtaa kwa mtaa kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jengo la CCM Nera lapigwa moto hizi ni habari zilizo nifikia sasa watu wamesha amua sasa fujo mtindo mmoja hili nalo CCM wamelitaka wenyewe kwa kweli hali ni mbaya sana.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hujuma kali inafanyika hapa Hai dhidi ya Mbunge wa Hai Mheshimiwa Freeman Mbowe. Hadi sasa Mbowe ameshinda ila kuna kila njama za kujaribu kumkwamisha. Wananchi ni wengi toka asubuhi sana na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tayari matoleo nyamagana masha kapigwa chini
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wananchi wa Kawe wapo barabarani wakiimba "TUNAKA MABADILIKO" kwa Mujibu wa mmoja wa waliohojiwa anasema masanduku yalikua kwenye ofisi ya Mtendaji na wanataka wamwage Kura zote kutoka masanduku...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Matokeo ya Ubunge CCM 52,253 CHADEMA 15,806 CUF 1603 Kata 3 CHADEMA CCM kata 34, duh kazi ipo kwa kweli anyways upinzani tumetoa
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Huu si uchochezi. Atakayeona hivyo, basi na aone hivyo. Ni ukweli. Wananchi wanaamua hivi, kikundi kidogo kabisa cha mabepari/mafirauni wanaamua vinginevyo wanavyotaka kwa maslahi binafsi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunawasihi CCM, NEC, na serikali waheshimu maamuzi ya wananchi. Majimbo yote ambayo upinzani umeshinda kihalali matokeo yatangazwe pasipo kuyachelewesha. Msiwalazimishe watu watumie hulka ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naangalia tv mlimani: ripota wao anasema batilda amekubali kusaini kushindwa, lema atatangazwa soon.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Shija Felician, Kahama (Gazeti la Mwananchi) WAKATI zoezi la kuhesabu kura za ubunge na urais likiendelea katika kata ya Bulige jimbo la Msalala Wilayani hapa,Wilayani Kahama, jumla ya Masanduku...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwanza niwe muungana kwani taarifa ya awali nilikoipata nilipaamini basi tena ikawa ndivyo sivyo. Source STAR TV. Magufuli ameshinda 37,000 na CHADEMA 14,000 Source STAR TV. Wenje (CHADEMA)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zilizothibitishwa jeshini na kusambaa kwa kasi ni kuwa; Tume ya uchaguzi haina nguvu tena kwa sasa hivi, UWT na jeshi ndiyo wanahangaika hapa na pale na kufuata wazee waone nini kifanyike...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Polisi wasambaratisha watu wanaosubiri watokeo ya ubunge Nyamagana-Mwanza
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hatimae WENJE atangazwa mshindi jimbo la Nyamagana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
huku musoma mambo yamekwenda mrama baada ya mtu mmoja anaye sadikika kuwa mwanachama wa CCM kuingilia maandamano ya CHADEMA na kumjeruhi mtu 1....Na matokeo yake kupigwa nusu ya kuuwawa na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Matokeo ya kiti cha ubunge jimbo la kigoma mjini yametoka lakini katika mazingira ya kutatanisha. Mpaka saa 2 asubuhi leo mgombea wa CHADEMA Ali Khalfan Mlei alikuwa akiongoza kwa kura zaidi ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Nchi ya Brazil walifanya uchaguzi siku ya Jumapili kama Tanzania. Idadi ya watu (population) huko Brazil ni kiasi cha 190 milioni na eneo la nchi yao ni kilometa za mraba 8,514,877 (square...
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Back
Top Bottom