Ni hatari sana kumnyima mpiga kura haki yake. Kama tume ya uchaguzi ingeamua kuwapa wapiga kura haki yao kwa kutangaza matokeo kwa muda muafaka bila kuchelewesha kungesaidia kupunguza hasara...
hali ya taifa ni tete ole kwa wote wanaotaka kuufisadi uchaguzi na kuwagawa watanzania aidha kwa ukabila au dini hata kutangaza mshindi aliyeshindwa (the hague inaita) mtajulikana kwa majina...
mabomu ya machozi,maji ya kuwasha,askari watawala katika mitaa ya mji wa vwawa jimbo la mbozi magharibi.watu hawaonekani mitaani na maduka yamefungwa,askari wanalipua mabomu mtaa kwa mtaa kwa...
Jengo la CCM Nera lapigwa moto hizi ni habari zilizo nifikia sasa watu wamesha amua sasa fujo mtindo mmoja hili nalo CCM wamelitaka wenyewe kwa kweli hali ni mbaya sana.
Hujuma kali inafanyika hapa Hai dhidi ya Mbunge wa Hai Mheshimiwa Freeman Mbowe. Hadi sasa Mbowe ameshinda ila kuna kila njama za kujaribu kumkwamisha.
Wananchi ni wengi toka asubuhi sana na...
Wananchi wa Kawe wapo barabarani wakiimba "TUNAKA MABADILIKO" kwa Mujibu wa mmoja wa waliohojiwa anasema masanduku yalikua kwenye ofisi ya Mtendaji na wanataka wamwage Kura zote kutoka masanduku...
Huu si uchochezi. Atakayeona hivyo, basi na aone hivyo.
Ni ukweli.
Wananchi wanaamua hivi, kikundi kidogo kabisa cha mabepari/mafirauni wanaamua vinginevyo wanavyotaka kwa maslahi binafsi...
Tunawasihi CCM, NEC, na serikali waheshimu maamuzi ya wananchi. Majimbo yote ambayo upinzani umeshinda kihalali matokeo yatangazwe pasipo kuyachelewesha. Msiwalazimishe watu watumie hulka ya...
Shija Felician, Kahama (Gazeti la Mwananchi)
WAKATI zoezi la kuhesabu kura za ubunge na urais likiendelea katika kata ya Bulige jimbo la Msalala Wilayani hapa,Wilayani Kahama, jumla ya Masanduku...
Kwanza niwe muungana kwani taarifa ya awali nilikoipata nilipaamini basi tena ikawa ndivyo sivyo.
Source STAR TV. Magufuli ameshinda 37,000 na CHADEMA 14,000
Source STAR TV. Wenje (CHADEMA)...
Habari zilizothibitishwa jeshini na kusambaa kwa kasi ni kuwa;
Tume ya uchaguzi haina nguvu tena kwa sasa hivi, UWT na jeshi ndiyo wanahangaika hapa na pale na kufuata wazee waone nini kifanyike...
huku musoma mambo yamekwenda mrama baada ya mtu mmoja anaye sadikika kuwa mwanachama wa CCM kuingilia maandamano ya CHADEMA na kumjeruhi mtu 1....Na matokeo yake kupigwa nusu ya kuuwawa na...
Matokeo ya kiti cha ubunge jimbo la kigoma mjini yametoka lakini katika mazingira ya kutatanisha. Mpaka saa 2 asubuhi leo mgombea wa CHADEMA Ali Khalfan Mlei alikuwa akiongoza kwa kura zaidi ya...
Nchi ya Brazil walifanya uchaguzi siku ya Jumapili kama Tanzania. Idadi ya watu (population) huko Brazil ni kiasi cha 190 milioni na eneo la nchi yao ni kilometa za mraba 8,514,877 (square...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.