Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

CCM watetea jimbo la Dodoma mjini.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
kwa mujibu wa mlimani tv mbowe ameshinda tumeishatangaza. pipozzz power
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kwa hasira ya sintofahamu inayoendelea,wananchi wameamua kufunga barabara ya Moshi Arusha. Hakuna kwenda wala kutoka Moshi. Pikipiki zimelazwa barabarani. Na wabaki na matokeo yao.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
CCM wamejikongoja wamemaintain jimbo la babati mjini CCM: 13506 CHADEMA: 9899
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JK Yuko ndani ya MWanza kumuokoa Masha amienigiea leo asubuhi na Masha sasa sijui imekaaje hiyo
0 Reactions
122 Replies
13K Views
Kamanda Ngongo leo umefanya kitu ambacho kama kwa Bahati Mbaya Batilda angetangazwa Mshindi basi Roho ya Mh Lema (Mb) ingekuwa kwenye Hatari sana Fitna Uliyomzushia Ng Lema kwamba Ameuza Ubunge...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wana JF vip kuhusu Bagamoyo? Mwenye data tafadhali
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kweli mumekubaliana kuwa na maridhiano... tunatamakani kwenye sherehe za Kitaifa tusione sara za CCM au vyama vyenu bali nembo za Kitaifa.
0 Reactions
0 Replies
849 Views
Tume ya Uchaguzi ya Taifa imemtangaza sasa hivi Dk. Mohamed Shein wa CCM kuwa Rais wa Zanzibar baada ya kupata jumla ya kura 179,809 sawa na 50.1% dhidi ya maalim Seif wa Cuf. Maalim Seif...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wale vibaraka waliotumwa na sisiemu kuja kuchafua hali ya hewa hapa JF muda wao wa kazi umeisha na sasa wanarudi rasmi kwenye shughuli zao nyingine. Ninaamini JF itarudui kwenye status yake ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimezungumza na jamaa mmoja ambae yupo kisiwani unguja ameniambia kuwa tume ya uchaguzi ZEC imeahidi kutoa matokeo ifikapo saa kumi alasiri leo. Amenieleza kuwa kwa majumuisho ya kura kwenye vituo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani mbona hatupati matokeo ya Dar hasa Ilala kimyaaa wenzetu Zenj wameshamaliza. Au wanataka kuvuruga amani:A S cry::A S cry:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale mlio mbali na nyumbani unaweza kupata free live General Election Streaming TV at this link: www.livestream.com/vizatv enjoy.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jela miaka mitatu kwa kupiga kura mara mbili Send to a friend Monday, 01 November 2010 17:41 0diggsdigg Suzy Butondo, Shinyanga MAHAKAMA ya wilaya ya Maswa imemuhukumu kifungo cha miaka mitatu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna Taarifa kuwa Magu Mjini mabomu yameanza kupigwa huko Magu baada ya kucheleweshwa kwa matokeo, vulugu zilizuka kutokana na watu kuhisi walikuwa wakipanga namna na kuchakachua matokeo kwa vile...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MASWA MAGHARIBI na MASHARIKI,Shibuda na Mkoja wameshinda kwa kura 17456 na 17075 respectively.OPULUKWA Meatu 13850 ameshinda,Chadema ipo juu hapo
0 Reactions
0 Replies
821 Views
jamani mwenye update juu ya wagombea hao atupe plz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Taarifa zilizopatikana hapa tabata (Kimanga mwisho) zimesema kuwa Makongolo amenaswa na polisi hapa Tabata na anashikiliwa na polisi kwa uchunguzi. Tuendelee kufuatilia zaidi.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tension mounts in Tanzania over delayed poll result By Fumbuka Ng'wanakilala Mon Nov 1, 2010 5:41pm GMT DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzanian police used teargas to disperse opposition...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom