Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Michael lekule lizer ccm- 17687 paulina laizer-2300
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Brazil wako 201,103,330 people na jana tulianza nao kupiga kura lakini wenzetu washampata Raisi wao CCM naona wako bize na uchakachuaji. Ivi kusum up matokeo jamani to me you just use an excel...
0 Reactions
0 Replies
955 Views
Mwibara 12223 -CCM imeshinda Bunda Wasira kashinda-27502 CCM (12224 - Chadema) Serengeti 29026 -CCM imeshinda (11140-Chadema) Dah Mara sio kabisa safari hii.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ccm-19832 chadema-1154 nccr-1114 updp-60
0 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Closed
Matokeo rasmi ZIto kabwe amepata kura 23005 Mgombea wa ccm amepata 18161
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari kutoka jikoni kabisa jimboni Kasulu mjini ni hivi... NCCR Mageuzi: 15,299 (Machali Moses) CCM:10,849 (Neka Raphael) CHADEMA: 6,583 (Ismail Luyagaza) Kasulu VIJIJINI CCM chali pia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
PONGEZI ZANGU: NDG ZANGU WA-TZ, NAPENDA KUCHUKUA FURSA HII KUWAPONGEZA SUGU NA MNYIKA KWA KUFANIKIWA KWAO KUINGIA BUNGENI. HASA UKIZINGATIA SUGU WENGI WETU TUNAFAHAMU TOKA ENZI ZILE ANATOA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari zilizofika kwa source ya ITV huko mwanga Udiwani CCM wamechukua viti vyote vya udiwani 20 kati yao wanne wamepita bila kupingwa Kwenye Ubunge CCM 20730 Chadema 4716 CUF...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hakika inauma sana kuona damu ikimwagika, tena ikimwagika bila hatia kwa sababu ambazo zinaweza kabisa kuzuilika. Ninalazimika kusema havyo kwa sababu ya yale yaliyotokea Tandika, Tarime, Mbeya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naomba matokeo ya Mkoa wa Kigoma, mbali na Zitto Kabwe, wengine wamefanyaje? Leta raha wenye taarifa kamili, please:israel:
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Tume ya Uchaguzi znz (ZEC) imetangaza kuwa itatangaza mshindi wa Urais Zanzibar sasa hivi (8:30pm) usiku huu. Hadi hivi sasa, SHEIN wa CCM anaongoza kwa 61% ya kura. Yamebaki matokeo ya majimbo 6...
0 Reactions
139 Replies
12K Views
  • Closed
Matokeo ya ubunge vituo viwili vya block T - Mbeya Mjini ni Kituo A chadema 140, ccm 33, Kituo B chadema 115, ccm 15. Nita-update mara nipatapo matokeo mengine. Pia, vijana...
0 Reactions
99 Replies
13K Views
Jamani Mbeya bado hakijaeleweka, Wadau huko mbeya tupe habari vizuri!:sad:
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani wana jamii forums ninachukua nafasi hii kuwataarifu kwamba,mbeya maeneo ya mwanjelwa vurugu zimeanza mara baada ya wananchi kuchoka kusubiri matokeo. Maeneo ya mafiat magari hayatembei...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
shughuli haikuwa nyepesi wana JF kwani imetuchukua zaidi ya masaa 7 kuccomand matokeo yawe released na kuhakikisha kuwa hakichakachuliwi kitu.. mbunge wetu Msigwa ( CHADEMA -iringa mjini )...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jimbo la Ilemela nalo limeenda CHADEMA. Kura HALISI: CCM: 26,870 CHADEMA: 31,000+
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Niko usawa wa mita 200 kutoka office za manispaa ya arusha kwa mda wa masaa mawili sasa. Hali ya hapa si shwari kwani kuna tetesi kuwa lowasa amefika na kufanya kikao na mgombea wa chadema. Kwa...
0 Reactions
250 Replies
24K Views
rostam aziz amechakachua uchaguzi wetu wa 2010.. he is the listed man on earth.........
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
Katika hali ya kutatanisha, kuna tetesi kutoka makao makuu ya NEC yanayohashiria kwamba, Hawa jamaa wamepita, lakini bado hawajatangaza rasmi, hebu wenye taarifa kamili watumwagie. Hii itakuwa ni...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Mwanza wapigwa mabomu Temeke warushiwa mabomu Mabomu yarindima Kigoma Magu watawanywa kwa mabomu Kigoma mabomu yatawala Arusha warushiwa maji ya upupu Mbeya mabomu nje nje Shinyanga hakukaliki kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom