Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Chonde chonde, wana wa mageuzi, japo dalili zinaonekana kuwa uraisi haujashinda, mimi naona umeshinda SANA. Halmashauri nyingi sana, zenye nguvu ya watu na rasilimali ziko mikononi mwenu. Fanyeni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtutula Abdallah Mtutula – CCM - Tunduru Kusini. Matale Ramo – CCM - Tunduru Kaskazini.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa jinsi mwenendo mzima unavyokwenda wa swala zima la kuhesabu kura kufuatia uchaguzi mkuu wa wabunge, madiwani na Urais, Tanzania itaongozwa na raisi aliyepatikana kwa nguvu ya dora na hujuma
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Opposition Leader Expects Kikwete Re-Election in Tanzania Peter Clottey, Voice of America, 01 November 2010 The leader of Tanzania’s parliamentary opposition told VOA indications on the ground...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Songea Majengo Urais CCM - 86 CHADEMA - 121 CUF - 7 APPT - 2 Ubunge CCM - 69 CHADEMA - 124 Udiwani CCM - 71 CHADEMA - 121 Songea Mfaranyaki Urais CCM -...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
  • Closed
Hivi kuna mtu yeyote aliye na data za jimbo la Muhambwe - Kibondo (Kigoma) manake CCM walimtosa mzee mwenzao Arcado Ntagazwa naye akaingia kambi ya jirani (wapinzani) CHADEMA, sasa sijui vipi huko
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Huyu fisadi wa mabasi ya Dar Moro Mhe. Aziz Abood ameweza kutumia utajiri wake kununua wapiga kura. Ameshinda kwa kishindo kuwa mbunge wa CCM 20010-2015
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Vipi Matokeo Mbinga Mashariki na Magharibi?,Kuna mwenye habari?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nakupongeza sana kwa ushindi uliyoupata, kaza buti, mapambano dhidi ya ufisadi ndo kwanza yanaanza.
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Hatimaye msimamizi wa uchaguzi majimbo mawili ya maswa amemtangaza John Magale Shibuda na Kasulumbayi kuwa wabunge wa maswa magharibi na mashariki kwa tiketi ya Chadema
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Msanii mkongwe wa Bongo Flava MR II aka "Sugu" amekuwa mbunge wa Mbeya Mjini Tuesday, November 02, 2010 2:47 AM...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
wote OUT MAJIMBO YAO YAMECHUKULIWA NA CCM
0 Reactions
227 Replies
65K Views
Uwezekano mkubwa wa ICC kuwa busy zaidi mwakani ni mkubwa kwani NEC iko jikoni kuzalisha watuhumiwa wakiwemo NEC wenyewe! Hivi kubandika matokeo ya Urais kila kituo baada ya kupitiwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napata tabu sana kuelewa hawa wagombea wa CCM ambao karibia wote wakishindwa wanataka kurudia kuhesabu au wanakataa matokeo tunajifunza nini kutoka CCM? kwamba wao huwa hawashindi kihalali? Au...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani mmeona leo malori ya jwtz mengi yakibeba masanduku ya kura hapa na pale?mimi nimeona leo asubuhi mpaka usiku huu!nafikiri ndio yametoka ngerengere na hakuna mtu wa kuingilia jeshi.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakuu, Naona watanzania tumeamua kutumbukiza akili yetu kwenye imani moja ya ajabu. Imani kwamba matokeo ya vituoni yatatangazwa na kubandikwa vituoni lakini matokeo ya jumla Tume ndiyo yenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tutangazie halima wetu kashinda ,ama sivyo yatatokea ya shy
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Akihojiwa na Bongo Radio msemaji wa Joseph Mbilinyi a.ka Mr. Sugu(MB elect) ndugu G. Solo amesema kuna baadhi ya wasanii waliokuwa wakimpiga vita Sugu kwenye majukwaa ya CCM wameanza...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Hivi Hawa Redio One Wametumwa Na JK? Manake Wanatangaza Matokeo Walioshinda CCM tu. Kuna Harufu Ya Ufisi Hapa.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kaonyesha uungwana na ukomavu wa hali ya juu tumuunge mkono, kweli muafaka ulikuwa muhimu sana huko Zenji kwani tofauti ya kura ni ndogo sana.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom