Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mghh.. Mbona Majina ya ushidi wa wabunge wetu wa Chadema na CUF hamuwatangazi? NEC vipi mmeshindwa kazi, CCM Kubalini bana mtaiba mpaka lini??? NF...Mbeya City Stand Up
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kasulu Mjini NCCR Machale Moses kura 15,296 Udiwani: CCM viti 3, Chadema viti 3, NCCR viti 2. Kasulu Vijijini NCCR Zaituni Agripina kura 26,130
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Source: IPPMEDIA, 2010 Source: Mwananchi 2/11/10
0 Reactions
0 Replies
987 Views
kwann majimbo ambayo ccm ina hali ngumu matokeo hayatangazwi mapema hata kama yapo tayari? nayanapotangazwa yanakuwa na mashaka?
0 Reactions
0 Replies
873 Views
Kila mtanzania wenye dhamira ya kweli na nchi yake ataamini kabisa kuwa, ucheleweshaji wa matokeo unaofanywa na Wasimamizi ni hila za wao kuibeba CCM baada ya kuona imeshindwa vibaya. Wazo la...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ITV hamuwatendei wananchi haki kwa kuzuia matokeo ya Urais ambayo yanatangazwa pamona na yale ya wabunge. Tangazeni matokeo hayo yanavyokuja kutoka majimboni. Kwanza ni kwa sababu mtawasaidia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
• Slaa ang'ara, wabunge CHADEMA wapeta MATOKEO ya awali ya kura za urais, ubunge na udiwani yaliyoanza kutolewa jana kwenye vituo mbalimbali nchini, yameonyesha kuwa nyota ya mgombea urais kwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani weka list ya Mawaziri waliodondoka hapa!!! only list no posting long sentences.
0 Reactions
51 Replies
10K Views
Wana jf hivi kwa nini majimbo ambayo ccm imepigwa chini matokeo yamecheleweshwa? Kuna nini hapo? Tujadili
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naombeni tuchanganue tujue ni kiasi gani wanawake nao wamefanikiwa -bila kujali vyama: List ni kama hii so far: 1. Dr Lucy Nkya - Morogoro..... 2. Halima Mdee - Kawe 3. Jenister Mhagama...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jana nilikuwa katika shinikizo kuu baada ya kusikia kuwa kunataka kufanyika usanii katika majimbo ya Arusha Mjini na Nyamagana, na hasa niliposikia mafisadi JK na EL wapo kwenye majimbo husika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF, Kuna tetesi kuwa CCM wana mpango usiofaa wa kuchakachua idadi ya kura katika majimbo ya Kawe na Ubungo na wanachelewesha kutangaza matokeo ili wapate akili ya namna ya kufanya ubadhirifu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Nipe kalamu na wino, niseme ya king'amuzi, Umeshaleta maneno, un'gmue king'amuzi, Twakushangaa Chamwino, Tushafanya uamuzi, King'amuzi chayo tume, tupe matokeo yetu. 2. Haingii akilini, hiki...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sugu kapata kura 46,411 na ndio mshindi..hongera sana
0 Reactions
85 Replies
9K Views
Vipi matokeo ya Mnyika wapenda maendeleo wenzangu....:israel:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna kila dalili kwa mba ucheleweshaji huu wa matokeo ya uchaguzi ni namna ya kumwokoa JK. Ukiangalia reporting ya NEC so far iko zaidi yale maeneo amabayo JK ilikuwa ni obvious atasweep kwa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Tanzania Police Battle Protesters Over Delayed Poll Results DOW JONES NEWSWIRES Tanzanian anti-riot police battled protesters in major cities across the country late Monday, after results...
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Unaweza kufuatilia matokeo ya uchaguzi hapa live kupitia ITV HABARICOM - live streaming video powered by Livestream
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Kutoka mitaa ya sinza kuna habari kuwa mgombea udiwani kwa tiketi ya sisi em, mzee Mwaking'inda yuko hoi hospitali kwa presha baada ya kushindwa uchaguzi huu na kijana wa chadema. Chanzo hicho...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Amepata kura zaidi ya 40,000 wakati mgombea wa Chadema kapata kama kura 2000 hivi.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom