Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hatimaye Mnyika atangazwa kuwa mbunge wa ubungo officially.! na kujaribu kuepusha vurugu kutoka kwa wanachama wa CHADEMA waliofurika huko mabibo wakisubiri matokeo hayo.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sasa hivi kwa shinikizo kutoka kwa waangalizi ni kwamba Mnyika kashinda ubungo na pia mdee kashinda Kawe habari ndo hiyo
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Mimi napendelea mabadiliko hasa...na pia ninavyotafakari na kuona hali ya wananchi wa hali ya chini....nadhani Tanzania tunahitaji kuona kuwa tunakoelekea ni karibu... Ukaribu huo ni kwa kujiandaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WATU 88704 KURA 46906 CCM OBAMA 20954 CHADEMA SILASI 16826 NCCR SAMSON elfu 7
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kutokana na Vyanzo nilivyo vipitia hivi punde,, inaonesha Slaa mempiga magepu Kikwete majimbo ambayo Aslisimamisha wagombea wake wa Ubunge tu,, Lakini kwasasa kuna majimbo ambayo Kikwete wagombea...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wadau vp matokeo ya mbozi magharibi?nani kachukua?????
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mahanga agoma kusaini na kukamatwa na mabox ya kula faki yuko polisi akihojiwa:israel:
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Inasemekana Prof Mlambiti kashindwa katika kinyang'anyiro cha UBUNGE huko jimboni kwake ULANGA......
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ni taarifa ninazopata sasa kutoka kwa mwenyeji wa Ulanga kuwa Professor Mkongwe wa Uchumi, na Mhadhiri wa vyuo vya Makerere na Sua ameshinda kwa kishido huko Ulanga. Hii ni hazina kubwa sana kwa...
0 Reactions
55 Replies
44K Views
kwa mtazamo wa kawaida nadhani seif kakubali tu kwa sababu shein ni mpemba mwenziwe sijui wadau mnasemaje? maana naona mchakachuo wa kipindi hiki umefanyika kiintelijensia sana na katika chaguzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hesabu ndio somo linaloogopewa na wanafunzi wengi ndio maana wanalikwepa pamoja na umuhimun wake kila sekta, sipati picha cha kinachofanya matokeo yashindwe kutangazwa sehemu nyingi wakati hesabu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mgombea wa sisi em, Selukamba ametangazwa kuwa mshindi, bila kutajwa hidadi za kura alizoshinda. Hii ni baada ya kura kuchakachuliwa kwani mgombea wa chadema ndo alikuwa anaongoza kwa matokeo halali.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
NAJIULIZA JE: Tumpongeze serikali ya JK kuweka mazingira fiar kidogo na hivyo? wapinzani kufanya vizuri mwaka 2010?. NB baadhi haya matokeo halali ya wapinzani kushinda yamekuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Arusha ililipuka jana majira ya jioni, furaha isiyoweza kuzuilika mara baada ya msimamizi kumtangaza Lema kuwa ndiye Mbuge wa Arusha na kumbwaga Matilda wa ccm, yowe, Vifijo na nderemo ilisikika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watanzania lazima tujivunie uchaguzi wa amani 2010.
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Kwa idadi ya viti vilivyochukuliwa na CHADEMA mpaka sasa kwenye uchaguzi mkuu 2010 na kwa kura za uraisi atakazopata Dk.Slaa nina matumaini CHADEMA wataongeza wabunge wengi wa viti maalum na hivyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii system inayotumika , inaleta shida huyu mkuu wa IT hakufanya kazi yake vizuri Napendekeza afukuzwe kazi mara moja
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mtwara Ghasia amepata 37 elfu vs CUF16 Elfu Tandahimba CCM ELFU 34 VS CUF 33 elfu Masasi CCM ni elfu 28 vs 6,860 CUF Mengineyo MANYONI MASHARIKI 7338 Lwanji CCM vs 6028 za bwana Donald...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Nimekuwa nafuatilia Matokeo ya Uchaguzi kupitia TV na Radio lakini kinachonishangaza ni Kwamba Katika majimbo ambayo CCM inashinda Matokeo ya Urais Yanawekwa wazi ila Kule ambako Upinzani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Is it right time to say the future of Tanzania is on the hands of NEC? Uchaguzi Mkuu ni kila baada ya miaka mitano, hivyo NEC ilikuwa na muda wa kutosha kujiandaa kuendesha zoezi la uhesabuji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom