Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimependezwa sana na hotuba ya Mh. huyu mara baada ya kutangazwa kwamba ni mshindi wa kiti cha Urais, Z'bar. Hakuwa na lugha ya kejeri, Hakuna kuzomeana kama CCM walivyozoea, Bila unifomu ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kulikuwa na link ya results yenye fomart ya spreadsheet (like excel), imenipotea. Naomba aliyenayo aniwekee hapa jamvini.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Aden Rage ashinda ubunge tabora kwa ticket ya CCM na CCM imecshinda kata 24 kati ya 25 chadema wamshinda kata ya misha
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimefurahishwa sana na jinsi watanzania walivyoamka katika Uchaguzi huu. Hii inadhihirisha jinsi Watanzania walivyochoshwa na miaka 50 ya CCM ambayo haikuwa na manufaa kwa watanzania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
:israel:KWA MATOKEO NILIYOYAPATA SASA JOHN MNYIKA AMETANGAZWA NA TUME KUWA MBUNGE WA UBUNGO. HONGERA MNYIKA,HONGERA CHADEMA. PIPOOZZZZZZZ.....!!!:israel:
0 Reactions
41 Replies
5K Views
John Mnyika CHADEMA ametangazwa kuwa Mbunge wa jimbo la Ubungo kwa kura 96742 akifuatiwa na Hawa Mngulubi kwa kura 50544 wa CCM
0 Reactions
5 Replies
1K Views
ITV sasa wanaripoti Marmo kashindwaaaa habari ndo hiyo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbona hii technologia imekuwa tena kero kuliko manual system? Any one with news on Ubungo and Kawe please
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu mwenye habari za haya majimbo muhimu sana atupe habari zake, nina hamu kuona Kahama na Bukombe yakiwa kwetu, Viva Chadema. Peoplessssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss!!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Igunga 35674 ROSTAM Maona CUF 11321 CCM 24 KATA NA 2 CHADEMA
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wapiga kura 147 Urais CCM -72, CHADEMA - 71, CUF - 3, NRA, TLP & APPT - 0. Uubunge CCM - 60, CHADEMA - 72, CUF - 8, NCCR - 0, TLP - 1. Diwani CCM - 64, CHADEM - 64, CUF - 19
0 Reactions
225 Replies
36K Views
Malaria Sugu upo? Tumemaliza kazi kwa Mnyika. Sasa tunakwenda kwa dada yetu Halima James Mdee. Mwaka huu utaisoma
0 Reactions
0 Replies
998 Views
Mpambanaji Mnyika ashinda Ubungo---details baadae Source ITV
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Haya matokeo yamechukua muda mrefu sana...Nasikia Lwakatare kashindwa, ni kweli? Mwenye habari kamili jamani?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari toka very reliable and internal source ni kwamba, mgombea wa CCM ameshindwa kwa mgombea wa CUF lakini hataki ku-sign form za matokeo. Ilifika wakati akataka kumhonga mgombea huyo wa CUF...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Yanatangazwa live kupitia 98.0 wapo radio fm.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Tunajifunza nini kutoka NEC? Nchi jirani zinajifunza nini kutoka NEC? Dunia je?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nikiwa njiani kutoka nyumbani (Ukonga) kuja kazini (Ubungo) yalipita magari matano ya FFU yakielekea Ubungo. Bahati nzuri kiti nilichokaa alikuwepo mwanaharakati wa Chadema, akawa akapigiwa simu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Dr Slaa, Kwanza kabisa, Asante sana kwa kazi nzuri uliyotufanyia watanzania mwaka huu. Mafanikio ya vyama vya upinzani katika ngazi za udiwani na ubunge yamechangiwa kwa kiasi kikubwa sana na...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom