Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Naomba sana tujue ya kuwa mapinduzi haya makubwa yanayoendele kutokea sehemu malimbali kwa wabunge wa CHEDEMA kupta ktk majimbo mbalimbali ni kwasababu ya SHUJAA mmoja ambaye alikubali kwenda...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wapendwa wanajamii wenzangu naomba nielimishwe kama kuna uwezekano wowote wa mheshimiwa Dr. Slaa( PhD YA DARASANI) kupata ubunge wa viti maalumu ikitokea kwa bahati mbaya ccm wakafanikiwa...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Hii ni habari ya uhakika, Kamanda J.J. Mnyika amelitwaa jimbo la ubungo baada ya NEC kushindwa kuchakachua kura.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dk Shein akizungumza na wananchi wa Zanzibar mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya Urais Fidelis Butahe CCM jana ilifanikiwa kunyakua tena kiti cha urais baada ya mgombea wake, Dk...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunaomba mwenye hali ya Mzee Sumari kule Arumeru East atuhabarishe.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wanajamii mbona matokeo ya urais yanatangazwa kwa kusuasua natena kwa upendeleo"naimanisha yanatangazwa kule mgombea wa urais wa CCM anakubalika!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu nasikiliza BBC hapa, tume inadai haijatoa matokeo mpaka sasa kwa sababu software mpya ya kuload data za uchaguzi inawafanya wawe too slow. Kwa hiyo wamekubaliana na vyama husika kutumia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
KIJANA aliyejulikana kwa jina la Matekele Mbayi mwenye umri kati ya miaka 18 hadi 20, mkazi wa Manispaa ya Musoma, Mkoani Mara amefariki dunia baada ya kupigwa na wafuasi wa Chadema wakati...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna mtu yoyote anafahamu tumekamata majimbo mangapi tayari tujulishane JAMANI
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Inasikitisha kuona kuwa vyombo vya habari vinashindwa wanashindwa kutangaza matokeo ya kura za urais katika majimbo ambapo kura zimekwishatangazwa kwa kisingizio kuwa wanasubiri matokeo hayo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama wabunge wa CHADEMA walikuwa 5 tu, na sasa wameshafika 16! Hiyo picha pale bingeni itakuwaje?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwanzoni NEC ilituahidi matokeo ya Uraisi yangelitangazwa Majimboni lakini baadaye NEC ikageuza utaratibu huo na kuamua yatumwe Dar-Es-Salaam ili wao wenyewe pale Dar ndiyo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamaa waliona maji yameshazidi unga! Hapo inakuwaje
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Ndugu zangu watanzania, kama mnavyofahamu, NEC ilipoona mwelekeo wa matokeo ya Urais, mara moja walibadilisha kibao na kuanza kutangaza wenyewe toka makao makuu na siyo jimboni tena. Hii...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
ukishinda sherekea kwa amani siyo kuanza vurugu kwawale uliowashinda polisi wakigeuka mtapata tabu badala ya raha, au ndo ulimbukkeni wa madaraka ? nawashauri walioshinda wawe watulivu waende...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WanajF naombeni website ya chama chetu tafadhali Kwa nia njema wakuuu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF, Taarifa nilizonazo ni kuwa CCM imetwaa Majimbo mawili ambayo CHADEMA ilikuwa ikitegemea kuyatwaa. La kwanza ni lile la Mbeya Vijijini ambalo lilikuwa linagombwa na Shitambala (CHADEMA)...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nina hamu ya kujua kama fisadi Chenge na mwenzie MEMBE wamenusurika katika kimbunga hiki.
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Angalia Majimbo yafuatayo na Umuhimu wake kimkakati; Ilemela na Nyamagana - Mji wa Mwanza ndo capital of western Tanzania ukitegemewa sana na wakazi wa Shinyanga, Kagera, Mara, Kigoma na Tabora...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mufindi Kaskazini JK 28,500 Slaa 5004 Ubunge CCM bila kupingwa Mufindi Kusini JK 30,700 Slaa 3,841 Ubunge CCM bila kupingwa
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom