Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

JAMANI KWA IDADI HII KUBWA YA WABUNGE NAJARIBU KUVUTA PICHA SIJUI SPIKA ATABADILISHWA MAANA ATAKUWA ANAKAZI NGUMU YA KUZIMA HOJA ZA WAPINZANI:israel:
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nani anabeza mguvu ya umma?niwapongeze mmepiga kura kwa fujo,na mmedai matokeo yenu na walipochelewesha ili wachakachue mkawaonyesha jinsi nguvu ya umma ilivyo,next time hawatarudia.....vijana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ukweli lazima ni uweke bayana ya kuwa matokeo ya jimbo la Babati Mjini yalyompa JK kura zaidi ya 5, 000 dhidi ya Dr. Slaa, Jimbo la Siha yaliyompa JK takribani asilimia themanini na Dr. Slaa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mnyika atangazwa jimbo la ubungo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbinu inayotumiwa na CCM katika kuchakachua matokeo ya urais, haikabiliwi vilivyo na wagombea ubunge wa CHADEMA. Mathalani, kwa uwezo wangu wa kuona mambo, sehemu nyingi ambapo CHADEMA wameshinda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
ubunge ccm 34412 chadema 43365 cuf 9131 nccr 11970
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kupitia hotiba yake ya mdahalo pale anatoglo, mheshimiwa mkwere aliongelea juu ya uchakachuaji kupitia mtandao. alisema, nanukuu ' nivigumu kuchakachua matokeo, labda wakosee ktk kuingiza matokeo'...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
Kama Mbowe na Ndesamburo waliend Arusha mjini kuokoa jahazi, kwa nini Mbowe asije Dar kuokoa jahazi la Kawe kabla halijazamishwa?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi binafsi nampongeza sana Dr. Slaa na CHADEMA kwa uamuzi wao wa kuwania uraisi, maana kwa kufanya hivyo, wameweza kutangaza chama na kuwanadi wabunge na madiwani wetu kwa mafanikio makubwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Najaribu kuwaza Nakaaya Sumari atakuwa na hali gani kwa sasa, hasa baada ya kuanza kushuhudia kwa macho yake maana halisi ya Peoples Power, nakushuhudia mabesti zake almost wote aliowatelekeza...
0 Reactions
72 Replies
10K Views
Wana JF wa Arusha Fuatilieni eti Batilda amejifungua Mount Meru Hospital?:caked:
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kulingana na mwenendo wa matokeo ya kura za uachaguzi wa majimboni na ya uraisi,kuna kila namna ya sababu kulaumu juu ya ucheleweshwaji wa makusudi wa matokeo ya majumusiho majimboni.ukweli ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MWENYE DETAILS PLEASE KUHUSU mR.CHENGE
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huwa inaanza kama utani. Leo wanadhulumiwa kura zao tunasikia kuwa wanarusha chupa za maji. Lakini naamini kuwa hasira inavyoongezeka, kesho hizo chupa zitarushwa zikiwa zimejaa petroli, then...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani Vipi kuhusu Segerea? Kama kuna mwana JF ana data atujulishe
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kura zinapohesabiwa vituoni na mawakala kuweka saini za kukiri kuwa matokeo ni sawa ni ushahidi unaojitoshereza kwa CHADEMA kutumia katika kufanya malinganisho ya kura zilizo kwenye karatasi ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kutokana na hujuma zinazoonekana kufanywa na tume ya uchaguzi kwenye matokeo ya urais, mhe john john mnyika mbunge mteule wa jimbo la ubungo na naibu katibu mkuu wa chadema tunakuomba uhamishie...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wadao naomba kupata matokeo ya kawe.
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Mkuu wa MKoa wa Dar-Es-Salaam wa enzi zile aitwaye Chipungahelo au "Mama Chips" aliwahi kusema kwa kutamba.........."where Dar goes the nation goes......" Kwa majigambo hayo hayo ni dhahiri...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ushindi wa Mr. II unadhihirishia watanzania kuwa haki ya mtu haipotei na ikipotea ikatafutwa hupatikana. Hongera sana Sugu kwa kusaka haki yako hadi kimeeleweka. Walikupokonya kinjiwa sasa umepewa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom