Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

So far as it Stands, CCM = Viti 49 Chadema = Viti 14 :israel::israel::israel: CUF = Viti 11 Seats Wengineo( TLP, UDP NCCR n.k) = Viti 3
0 Reactions
15 Replies
2K Views
kuwalazimisha wananchi waongozwe na mtu wasiemtaka haipendezi.wapenihaki yao walioshinda miaka bado ipo ukishindwa leo utajipanga next election utagombea tena.mbona watu wanarisiti mitihani hata...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hebu sikia baadhi ya maneno aliyosema Lema wakati ametangazwa kuwa mshindi wa jimbo la Arusha. "Wao wana pesa sisi tuna Mungu". Kwa kweli sikumuelewa alikuiwa anamananisha nini hapo. Wana JF...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani hakuna mwenye habari yoyote kutoka Kawe? Mama anahitaji support,
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kumekuwa na uvumi kuwa wapinzani ambao wameshinda wamekuwa wakiahidiwa pesa kabla ya kutangaza matokeo ili wauze kura zao.....hili jamani linanipa shida sana....je ni kweli wanahongwa hizo pesa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
- Asalam aleykum ndugu zangu Jamiiforums, habari za matokeo ya uchaguzi wa jana yana tia moyo kwa maana ya kwamba sio siri sasa kwamba wananchi wa Tanzania, wameanza kuamka usingizini na sio kama...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
nipo royola, Jamaa bado wanalalia matokeo, niko hapa hapa saa nne usiku, inaeelekea ccm wako hooooooi. mnyika yuko na detailed result kutoka kila kituo, sidhani kama wataweza kuchakua, utakua...
0 Reactions
102 Replies
11K Views
Tunaomba walio na mamlaka wawanyang"anye pasi za kusafiria kwani tuna mashtaka nao, tunataka kumfilisi na kumlisha nyasi mr mramba, chenge tumfilisi vijisenti na kumcharaza bakora kwa kutuaibisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kituo cha televisheni cha ITV kimeripoti fomu ya Uraisi iliyokuwa itumwe makao makuu haipiti kwenye fax machine na baadaye imegundulika siyo ile ambayo ni rasmi na hivyo imebadilishwa na juhudi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waha JF kwa habari za uhakika nilizo nazo toka Royola Mh Munyika ametangazwa rasmi kuwa mbuge wa jimbo la Ubungo kwa kura 56000 dhidi ya mpinzani wa CCM aliyepata kura 50,000. Mungu ibariki Tanzania.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nashanga kwanini matoikeo ya majimbo mengi ya mkoa wa Shinyanga yamechelewa kutangazwa.Na majimbo yenye nguvu kubwa ya upinzani-CHADEMA hayatangazwi kwa muda mpaka watu wachome moto majengo au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mbulu CUF: 530 (Deus) CCM: 27,210 (Marmo) CHADEMA: 48,428 (Akoonay Mustapha) Hanang CHADEMA: 21,986 (Kamili) CCM 34, 338 (Nagu) source tbc 10:03 hrs
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Ubunge Manyoni Mashariki - Lwanji/CCM Ubunge Masasi - CUF Ubunge Ukerewe - Salvatory Naluyege/CHADEMA Ubunge Mkinga - CCM Ubunge Kilosa - Mustapha Mkullo/CCM Ubunge Namtumbo - Vita Kawawa/CCM...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
JK may be on a treacherous path to retain his grip on national politics but the question remains through whose legitimacy...............his self-appointed NEC and the security forces or voters'...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Matokeo ya uchaguzi yaliyowapa ushindi Wabunge wa ccm mkoani Kagera na hasa kagasheki yamenihuzunisha sana ikizingatiwa huko ndo nyumbani. Wale wa kwetu, kuendelea na ccm bila wapinzani si ni sawa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nimeskia wakazi wa Mbeya vijijini wameandamana hadi Mbeya mjini kudai kuwa Mgombea ubunge wa CCM ambaye ametangazwa kuwa ni mshindi Hajashinda kihalali na FFU wanawatawanya kwa mabomu ya machozi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tume ya uchaguzi imepatwa kigugumizi wamekimbia katika kituo cha kuhesabia oysterbay na hawataki kutoa majibu mpaka hivi sasa ni saa 5 usiku nec wameingia mitini kinachoonekana wanataka...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Ukurasa Mkuu Habari za Kitaifa Habari za Mataifa Mbalimbali Habari za Burudani na Michezo Jiliwaze Gazeti la Burudani Gazeti la Mzalendo Gazeti la Uhuru Zilizojiri hivi Punde Makala Uchumi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nchi ,hii matokeo wanatangaza saa 7 usiku wakati kwenye vituo Peoples pawa wanaongoza!!! Aibu hiyo .ila ipo siku watanzania watataka haki zao wasichakachuliwe kura zao!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa kweli mpaka sasa mawakala wa Chadema wameonesha moyo wa kizalendo wa hali ya juu sana kwa Tanzania. Kwani ni wakala mmoja wa Chadema kule Maswa aliyetoa taarifa ya mtu aliyepiga kura mara...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom