Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mramba kashindwa, period, nasikia NEC wamethibitisha i am serious
0 Reactions
176 Replies
23K Views
Ndugu, mwenye taarifa yoyote na matokeo ya Ulanga Magharibi atujulishe.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mwaka huu ni noma mafisadi wamechujwa naturally, kumbe wananchi wameamka wakiwekewa koroma hawalichukui
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani fuatilieni inasemekana katika majimbo 47 yaliyotangazwa inaonekana Kikwete wa kwanza, Lipumba wa pili na Slaa wa tatu!! I doubt I really doubt, I was one among the wakala's na Slaa na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Chenge kabanwa koo na hataki kusign matokeo ya ubunge:sad:
0 Reactions
32 Replies
4K Views
wadau Ubungo vipi, any updates???
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF nisaidie kwa hili; Inasemekana idadi ya viti maalum hutolewa na NEC kwa chama cha siasi, kulingana na uwiano wa jumla ya kura za urais na wabunge walizopigiwa wagombea wa chama husika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
yadaiwa mgombea wa chadema alitakiwa kupewa mil. 270 alikataa. baadaye inasemekana ujumbe kutoka kwa jk ulikutana na mgombea wa chadema na kumuahidi kumpa bil. 1.2 aachie jimbo akakataa
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwanza napenda Kuwashukuru watu wote waliokuja na Wazo la Kuanzisha Chama cha CHADEMA. Nasema hivyo kwa sababu katika Historia ya siasa za Tanzania,Ni Chadema pekee iliyoleta Mapinduzi Makubwa ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Taarifa kutoka karatu ni kwamba pastor israel ameshinda jimbo la karatu mjini chadema - 46 000+ ccm - 20 000 +
0 Reactions
59 Replies
7K Views
Wapendwa, nimekuwa napata kichefuchefu naposikiliza watangazaji wanavyojikomba kwa ccm na wagombea wake na wanafikia hata kuwanyanyapaa wagombea wa vyama pinzani kiwazi wazi. Yaani ni aibu, mpaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
inadaiwa masanduku kadhaa ya kura yaliingizwa katika ofisi ya msimamizi wa jimbo na form fake za kutangazia matokeo. hali iliyosababisha wasimamizi wanne wa vituo fulan fulani kuitwa kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau tunaomba mtupe details za mzee wa vijisenti, ana hali gani jimboni kwake??
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Any update kuhusu ubunge kule kwa Mary Nagu?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
People some of us are on and of we depend on this forum for updates. Any one with the current status of the presida...countings?
0 Reactions
0 Replies
943 Views
Kwa mara ya kwanza serikali ya chama tawala imetikiswa na vyama vya upinza, hasa hasa Dr Slaa. Katika hali ya kutatanisha kumekuwepo na ucheleweshwaji wa hali ya juu katika majimbo ambayo CCM...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu mtabiri bado hajasema neno......
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hongera Chadema kushinda Kawe 43 kwa 33 Sasa hivi anahojiwa na Clasic fm ya BBC Ameshinda na Chadema Vema.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Agustine Lyatonga Mrema amefanya "booking" kwa Rais yeyote ajaye ya Uwaziri wa Mambo ya Ndani ambayo anaamini aliimudu sana. Anasema hajazeeka kwani hata akina Papa Benedict wa 16 bado yuko kazini...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Katika yote yakiyotokea kiteto n aibu. Msimamizi wa uchaguzi hakuutangazia umma matokeo badala yake alitoka ofisini akawapatia wagombea matokeo na kumpatia mshindi cheti bila kuwatangazia wananchi...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom