Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wanajamii tupeni kinachoendelea kwa nyimbo thomas,
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ofisi ya ccm iliyopo Nera (airport road) jiji la mwanza ikiungua moto katika harakati za watu kudai haki zao tarehe 01.11.2010. Katika nyumba hii ndipo katibu wa CCM alichomwa kisu na meya wa jiji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya aliyekuwa mbunge wa Mby vijijini kwa tiketi ya CCM ndg. Mwanjali kukataa kusaini matokeo ya uchaguzi kwa zaidi ya masaa 24 sasa, wananchi waliamua kwenda nyumbani kwake eneo la Iwambi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa ushindi huu, natamani vikao vya Bunge vianze kesho!!!! Hili ndilo Bunge la mseto wa ukweli. … Vijana, Wakulima, Wachungaji, Wanawake, Wafanyibiashara, Wazee, Wanaume, Wanamuziki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Soma hii attacment utangundua mbinu za CCM za wizi wa kura ikishirikiana na wasimamizi wa uchaguzi!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamii, kunayeyote alie na talifa za Thomas Nyimbo! tupeni data
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika hali isiyo ya kawaida hapa UNGUJA wanachama wa CCM na CUF wameonekana mitaani wakishangilia ushindi kwa pamoja. Wanachama wa CUF wanathibitisha maneno ya Maalim Seif kwamba ushindi ni wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1. Musoma mjini - Vincent Nyerere- CHADEMA 2. Iringa mjini - Mch. Peter Msigwa- CHADEMA 3. Lindi mjini - Salum Halfani Barwani- CUF 4. Arusha mjini- Godbless Lema - CHADEMA 5. Mwanza...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Idadi ya kura za CCM katika uchaguzi huu ina represent jumla ya mafisadi na mambumbumbu wa Taifa hili. Endapo Chadema tutashinda kiti cha urais tutumie takwimu hizi kuwashugulikia mafisadi na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
..
Maneno ya Silaa kuhusu kila mpiga kura alinde kura yake yamesaidia sana kuliko kuwamini mawakala wetu,Phsycologically was a good idea,thats why we get a good number of wabunge despite of their...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunafuatilia zaidi matokeo ya ubunge na urais lakini kwenye viti vya udiwani vijana wamefanya kweli tofauti na ilivyokuwa chaguzi za nyuma ambapo wagombea walikuwa wazee waliostaafu. Mpaka vijana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani nani ana habari za matokeo ya majimbo haya mwali? naommeni naona Kinana amesha-:israel:conclude ni majimbo 29 tu yameenda upinzani bara:israel::peace:
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani, mwenye matokeo ya Mbeya Vijiji tujulisheni.:llama:
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Habari nilizopata usiku ni kwamba kuna nyumba takribani tano zimechomwa maeneo ya Nguruka baada ya matokeo ya awalu kuonyesha NCCR-Mageuzi inaongoza kwenye kiti cha ubunge. Eneo hilo ambalo limo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
NEC walisema leo kuanzia saa tano watatoa updates za matokeo ya uraisi. Naomba ambaye amekuwa karibu na TV yake atujuze...
0 Reactions
0 Replies
925 Views
hali ya uwanja wa utetezi bungen inaleta raha usipime, jaribu kuvuta picha, huku mnyika, huku silinde, huku g, lema, huku wennje,hukku mh. mrII, huku shibuda,kona hii mbowe, kona ile salakana...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Katika halimisiyo ya kawaida CCM & CUF wameonekana mitaani wakishangilia ushidi kwa pamoja, hii inaokekana ni katika kuthibitisha maneno ya Maalim Seif kwamba ushindi ni wa wazanzibari wote.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
KULIKO JIMBO KUONGOZWA NA CCM NI BORA MUWEKE JIWE... Hii mwaionaje ?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mdee 43,365 angela 34,412
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Selasini CHADEMA 29000+ Mramba CCM 27000+
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom