Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kama mtaikumbuka vizuri historia katika chaguzi mbalimbali zilizoihusisha CCM, ndani na nje ya chama chao hawa jamaa hawajawahi kufanya uchaguzi wowote ulioisha salama bila tuhuma zozote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama. Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini? 1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Lissu na Mnyika wayalipue...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu muda si mrefu Kinana ametangaza kuwa Wapinzani watapata viti vya ubunge 51 tu Bara 29 na Zanzibar 22 wakati bado kura zinahesabiwa au ndo njia sawa na ile wanaotumia kutangaza matokeo ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimependezwa na Majina ya wapiganaji walioingia BUNGENI kupitia chama cha chadema.....tunatangaza kusimamia utawala wa haki ,sheria na uhuru wa wazawa. Kikosi kinajitosheleza sana kuleta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ccm - 35974 cuf - 11321
0 Reactions
25 Replies
3K Views
wana ccm wahaha kumuomba aliyekuwa mgombea kijana kabisa na machachari wa chadema Mh. Habib Mchange asitishe wazo lake la kupinga matokeo. yadaiwa mawasiliano yafanywa kutoka uongozi wa juu wa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hivi kweli wadau katika vuguvugu hili la mageuzi kuna mwananchi atapigia kura Mbunge wa CHADEMA halafu kura ya Urais apigie CCM? ndiyo inawezekana lakini siyo kwa idadi kubwa kama ambayo NEC...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ukiacha kufanya vibaya kwa CCM ukilinganisha na chaguzi zilizopita, kuna picha mpya ya upigaji kura inajitokeza. Kuna kila dalili kwamba huko tuendako watu watakuwa wanachagua mtu kutokana na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wadau mwenye taarifa ya matokeo jimbo la Ukonga tunaomba rusheni hapa. Mbona kimya sana kule? Chadema ilikuwa na nguvu sana kule wakati wa kampeni. Hebu kieleweke wadau!! Mnyika mambo sawa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Muda mfupi uliopita katangazwa kuwa mshindi na kuweza kukitetea kiti chake. Idadi ya kura itafuata
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Ahsante wananchi wa kawe kwa kuchuja pumba na mchele,huyu m/kiti wa nccr hakuwa mwanamageuzi ni mpiga debe wa chama tawala.....peopleeeeeeess p....r!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Huenda wafuatao wakawa wakuu wapya wa baadhi ya wilaya baada ya CCM kumaliza kuchakachua Nakaaya Sumari Efraim Kibonde Flora Mbasha Dr. Batilda Buriani Philp Sanka Marmo Sekioni David Khadija...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wananchi wa Tanzania naomba niseme hivi,Yote yamekuwa Tunamshukuru mungu nachotaka kuwashukuru watanzania wenzangu nikuhusu usikivu,Busara,Hekima,Unyenyekevu, yote nikuonyesha watanzania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Matokeo niliyopata kutoka kwa watu wa karibu CCM huko Ukerewe Gerturde Mongela ameangushwa na Salvatory Machemli wa Chadema
0 Reactions
68 Replies
11K Views
Dakika kama 10 zijazo matokeo yatatangazwa, nipo hewani na nitawafahamisha kinachoendelea hapa KURA: CHADEMA - 66,743 CCM - 50,544 CUF -12,964
0 Reactions
347 Replies
29K Views
Mbunge wa Lindi mjini mheshimiwa mkuu wa Mkoa ameshindwa vibaya na mgombea wa CUF hivi sasa watu wapo mitaani
0 Reactions
58 Replies
8K Views
Ukisikia jina hilo la heahima hapa nchini Tanzania ...Muasisi wa CCM ...Lakini descendants wake wanajua hii sio CCM ile aliyoiasisi baba yao......Intelligent people thinks in this way ..hongera...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hongera mdee. Nami nimesikia redio one. Chadema wabunge zaidi 20...good.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
unajua bw, ka swali la kizushi vile, ila ni kwamba vyama vingine vya upinzaini vimepoa sana, kama wanasapot ccccccm vile, kwa mfano jana, Mr. ssseeef kule zenji was so happy shein alvoshinda and...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom