Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Inasemekana kwamba Wangekuwepo wanachuo huenda Mnyika angeshindwa, hivyo Mnyika asijidanganye kwa huo ushindi maana hautoi picha kamili kwa jimbo la ubungo kwani halijashirikisha wapiga kura wote
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Hawa jamaa walikuwa watano tu, vipi vywa bunge viliwaka moto! mwelekeo wa sasa waonyesha upo uwezekano wakafika 100 (including viti maalum) Lakini hebu pata picha hawa jamaa wakiwa 50 tu, pale...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau CCM inaelekea ukingoni.Ushauri wangu mali zote ilizokua ikizimiliki si kihalali zitaifishwe na zirudi mikononi mwa serikali.Viwanja vya mip,majengo mbalimbali n.k.Hivi vitu vilijengwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nakumbuka sheikh yahaya alisema mgombea na rais angekufa, lakini akageuza usemi akasema shibuda angekwisha kisiasa sasa leo unaona imekuwaje, naona huyu mzee MAJINI yake yamezeeka PIA :A S-baby:
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Hivi kwa hii trend ya matokeo hasa upande wa uraisi, ccm na shingo yao (NEC) wanataka kututhibitishia nini: kwamba sisi watz ni mazuzu tunaochukua almasi feki na kuacha halisi au kwamba wao ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari nilizozipata hivi punde zinasema yule mpinzani wa Mpendazoe yamemkuta makubwa baada ya kubambwa live na maboksi ya kura feki.... Ameshasombwa na polisi na sasa yupo kituo cha polisi...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Taarifa kutoka Mbeya ni kwamba wananchi wameamua kuandamana kushinikiza kutolewa kwa matokeo ya jimbo la Mbeya vijijini. Wananchi wamekabiliana na askari katika eneo la Mbalizi, pia katika jengo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Clouds mnajiandaaje kupokea ushindi wa Mr. II (Sugu) ?
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari kutoka vyanzo vya kuaminika zinasema mgombea ubunge kwa jimbo la Arusha Mjini Dr. Batlida anajipanga kufungua kesi mahakani kupinga matokeo hayo ya uchaguzi huo ambao umempa uwakilishi...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Source channel ten sas hivi kwa taarifa zilizokamilika ni kuwa jimbo la biharamulo magharibi(chato)limechukuliwa na magufuli wa ccm,jimbo la biharamulo magharibi limechukuliwa na chadema,big up...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
jamani hizi computer za kuhesabia matokeo mbona ndo inaelekea ndo tayari zimeshachakachuliwa? huyo IT kishoka alitoka wapi na katika tetesi zangu hao wanaozitumia kuhesabia hawana ujuzi nazo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wana Jf nina mlaani kwa yeye kufanya jimbo hili lirudi mkononi mwa ccm. matokeo ya ubunge ni kama yafuatayo CCM 20,470 CHADEMA 8,056 CUF 5,833 Kwa mantiki hiyo ccm imeshinda kwa 58% na wana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kucheleweshwa kwa muda mrefu kutolewa kwa matokeo ya ubunge jimbo la Songea mjini,hatimaye Dk.Nchimbi atangazwa. Sina uhakika kama kura hazikuchakachuliwa kama sehemu nyingine.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Vijisenti vyetu na rushwa za mkewe vipi huko?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hodi humu mjengoni! Ukiangalia kwa haraka haraka na kujaribu kulinganisha, ni kama vile upinzani hasa (Chadema) umeweza kufanya vizuri katika maeneo mengi ya mijini na chama tawala kupata kura...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
Kama kazi imekwisha hapo Ubungo Huyo sasa ni ndege wetu na Picha ya maendeleo imenijia machoni kwangu, HOJA BINAFSI NI KWAMBA Ujumbe wetu ni hakuna kulala. sasa majeshi yote twende kule Segerea na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wao walikuwa wa kwanza kusema tukubali matokeo,sasa mbona wao wanakuwa wa kwanza kukataa kusaini.Je aibu yetu aibu yao?peoplesssssssssssssss!
0 Reactions
19 Replies
2K Views
TuJIULIZA Je: Tuipongeze serikali ya JK kuweka mazingira fiar kidogo na hivyo wapinzani kufanya vizuri mwaka 2010?. NB baadhi haya matokeo halali ya wapinzani kushinda yamekuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wananchi wenye Hasira Kali wameamua Kumruhusu Mheshimiwa Mramba kuhudhuria Mahakamani mara kwa mara bila kesi yake kuhairishwa tena kwa sababu za kisiasa. Wakitoa uamuzi huo Wananchi wameamua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom