Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Closed
Sijasikia lolote juu ya matokeo jimbo la Urambo kwa Mzee Samweli Sitta. Kulikoni? Au maji yako shingoni??
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau kama kuna mwenye updates pls
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna tofauti yoyote kwa walioshindwa urais aliyepata jumla ya kura laki moja na aliyepata milioni mbili in terms of women additional seats and ruzuku au ni kwenye jumla ya kura za ubunge?
0 Reactions
0 Replies
831 Views
Wana jf mnaonaje tukitengeneza grouops kutembelea vijijini ili kutoa elimu ya uraia, na kuwa wezesha wananchi walio kosa elimu hiyo kuwa nayo, nadhani ndio yatakuwa mapinduzi ya kweli, ili raia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
muda mfupi msimamizi wa uchaguzi jimboni humo Bw Zuber Mbyana amemtangaza Dk Antony Mbasa wa CHADEMA kuwa mshindi kwa kupata kura 20828 dhidi ya 19843 za Oskar Mkasa wa CCM. Pia habari kutoka...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Jamani, hivi hawa mashabiki wa vyama (vyote tawala na upinzani) wanaoshinda kwenye ofisi za halmashauri au viwanja vya mpira ati kusingizia kulinda kura au kusubiria matokeo... Hivi hawa hawana...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
:thinking::thinking: Kwa habari zisizokuwa rasmi yule kijana mwenzetu, aliyezushiwa ni Mrundi anazidi kuchanja mbuga kuelekea Bungeni, inaonekana ameendelea kuwaacha wapinzani wake ki-aina! Jamaa...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Yale mabango yaliomwaga kila kona ya mji na kukera kila anaepita si mtoto waa mkubwa yakiwa na mapicha ya ukubwani /utototni/ ya rais kikwete sasa yameanza kuondolewa rasmi...mabango haya yalianza...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Jamani anaejua matokeo ya same mashariki tafadhali tujuzeni
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ndesamburo wa CHADEMA kapeta kwa kura 28,997 anayefuatia Chadema inatisha Mkubwa!!
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Chadema wataka matokeo ya ubungo yatangazwe haraka kabla yajachakachuliwa kuna vuruguzimetokea hapa naona mabomu ya machozi naskali kibao wametandazwa kila konaa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nccr-53 cuf-28 updp-76 chadema-17132 ccm-17328
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hapa Sugu, Lema,akija Zito, Mdee na Mnyika we acha wakisaidiwa na Ndesa pesa mzee wa CUF Hamadi Rashid na wengineo! Tuombe uhai hapo mjengoni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa waliowahi kufuatilia historia ya Seif na uchaguzi zanzibar nadhani watanisaidia kwa hili. Maalim seif ana historia ndefu sana na siasa za ZANZIBAR yaani toka enzi za mwalimu yeye ni mpinzai...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ubunge Kigoma Mjini CCM 20,594 CHADEMA 19,414 So sad mpiganaji kaachwa kwa kura chache.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
visiga yadaiwa kuongeza idadi ya wapiga kura zaid ya waliopiga kura idadi iliyopelekwa jimbon
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mambo ya Tanga hayo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
It is time Jakaya Mrisho Kikwet's government realize that, the country is soon going to explode if they continue holding their votes. People have spoken, their votes have been counted but the NEC...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ameshinda kwa kura 46,411 kwa 24327 za Mpesya ambae ndio alikuwa mbunge
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom