Shimbo aliviasa vyama kukubali matokeo. Sehemu nyingi sasa CCM wanayakataa matokeo na hata kuyachakachua. Amekaa kimya kana kwamba amesahau kuwa alitoa kauli kali, tena akiwa amekunja uso na...
Nimetokezwa kuwa wakati wananchi wakiwa na kiu ya matokea ya uchaguzi hasa jimbo la MBEYA MJINI, Mh. Lowasa na Makamba wako hapo mjini na polisi wanazidi kupiga mabomu kutawanya watu wenye KIU ya...
Surprisingly the world has come across the first world ever democratic revolution whereby corrupt leaders are shreaded into the dust bin. International correspondents and observers fail to get a...
1) Kituo Cha Bwawani-Unguja
Maalaim seif CUF 593
Dr Shein CCM 141
Jimbo la Chake Chake-Pemba
Kituo cha Michakaini
Maalim Seif CUF 956
Dr. Shein CCM 246.
Kituo cha Ngwachani...
Taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba kulikuwa na recount
kabla ya hapo mbunge alikuwa Ally(Chadema), kwa ushindi wa kura 450
baada ya recount Mbungev wakachakachua matokeo ikawa CCM kwa...
Wana JF nimepata habari kwa ndugu yangu aliyeko Mwanza kuwa watu wenye hasira wamechoma moto ofisi ya ccm na shule moja wapo, kisa kucheleweshwa kwa matokeo, ama kuchakachuliwa. Watu wa Mwanza...
Jana Taifa letu lilipitia hatua muhimu kabisa ambapo wananchi walifanya maamuzi ya kuchagua viongozi wao. Kuna mambo kadhaa yaliyonikera na yote yanatokana na utendaji mbovu wa Tume ya uchaguzi...
KATIKA historia ya chaguzi zote, mikoa yenye idadi kubwa ya watu ya Kanda ya ziwa, kanda ya Nyanda za Juu kusini na mkoa wa Dar es Salaam ndipo ambako chama tawala kimekua kikipata ushindi wa...
Nadhani huyu Kiravu analeta mchezo.Hivi inawezekana vipi tupate matokeo kutoka interior regions kama Tarime,Njombe Kusini,Singida Mjini tushindwe kupata matokeo ya majimbo ya Dar?Huu ni...
Katika hali isiyo ya kawaida maelfu ya watu wa mbeya wamejaa nje ya ukuta unao zunguka chuo cha uhasibu ambamo ndimo matokeo ya Jimbo la mbeya yana hesabiwa
Katika hali isiyo yakawaida watu hao...
Hatimaye Zitto kabwe kaja kuhakikisha mbunge wa Kigoma mjini anapata haki yake. Chadema imeshinda viti 13 vya udiwani kati ya viti 19. Inasemekana kua unataka kufanyika mchezo wa kuchakachua...
Hivi sasa jiji la Mwanza maeneo ya Isamilo zilipo ofisi za Msimamizi wa uchaguzi ni milio ya mabomu na kelele za watu. CCM kwa nini wananganganiza ushidi kiasi cha kuhatarisha maisha ya watu? JK...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.