Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Shimbo aliviasa vyama kukubali matokeo. Sehemu nyingi sasa CCM wanayakataa matokeo na hata kuyachakachua. Amekaa kimya kana kwamba amesahau kuwa alitoa kauli kali, tena akiwa amekunja uso na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimetokezwa kuwa wakati wananchi wakiwa na kiu ya matokea ya uchaguzi hasa jimbo la MBEYA MJINI, Mh. Lowasa na Makamba wako hapo mjini na polisi wanazidi kupiga mabomu kutawanya watu wenye KIU ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mbeya yachafuka mabomu na risasi zarindima kutawanya watu. Mitaa ya Mafyati, Mwanjelwa , Airport hadi soweto vurugu tupu. Vijana wasubir Mr.2 (sugu) kutangazwa mshind wa Ubunge mbeya mjin
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Surprisingly the world has come across the first world ever democratic revolution whereby corrupt leaders are shreaded into the dust bin. International correspondents and observers fail to get a...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
  • Closed
1) Kituo Cha Bwawani-Unguja Maalaim seif CUF 593 Dr Shein CCM 141 Jimbo la Chake Chake-Pemba Kituo cha Michakaini Maalim Seif CUF 956 Dr. Shein CCM 246. Kituo cha Ngwachani...
0 Reactions
112 Replies
15K Views
Taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba kulikuwa na recount kabla ya hapo mbunge alikuwa Ally(Chadema), kwa ushindi wa kura 450 baada ya recount Mbungev wakachakachua matokeo ikawa CCM kwa...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Jamani hebu tulijadili hili, mbona katika majimbo ambayo ccm inaelekea kushindwa ndio kunakuwa na urasimu wa kutoa matokeo na hivyo ku7ababisha fujo
0 Reactions
0 Replies
991 Views
  • Closed
Wana JF nimepata habari kwa ndugu yangu aliyeko Mwanza kuwa watu wenye hasira wamechoma moto ofisi ya ccm na shule moja wapo, kisa kucheleweshwa kwa matokeo, ama kuchakachuliwa. Watu wa Mwanza...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jana Taifa letu lilipitia hatua muhimu kabisa ambapo wananchi walifanya maamuzi ya kuchagua viongozi wao. Kuna mambo kadhaa yaliyonikera na yote yanatokana na utendaji mbovu wa Tume ya uchaguzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KATIKA historia ya chaguzi zote, mikoa yenye idadi kubwa ya watu ya Kanda ya ziwa, kanda ya Nyanda za Juu kusini na mkoa wa Dar es Salaam ndipo ambako chama tawala kimekua kikipata ushindi wa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nadhani huyu Kiravu analeta mchezo.Hivi inawezekana vipi tupate matokeo kutoka interior regions kama Tarime,Njombe Kusini,Singida Mjini tushindwe kupata matokeo ya majimbo ya Dar?Huu ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wana JF vip kuhusu Bagamoyo? Mwenye data tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani Kawe Halima alishinda na akasign ila kwa sasa tume inatoa matokeo kuwa CCM ameshinda. Hii ndo nini jamani?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Lema tayari mbunge, ndo tunashangilia ushindi hapa. Kura: CHADEMA: 56,000+ CCM: 36,000+ Peopleeeeeeeeeeeeee's Power.
0 Reactions
133 Replies
13K Views
ITV sasa hivi waonyesha Prof. kapuya kidedea urambo Magharibi na watu wawili wamekufa wakisherhekea ushindi huko..................
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika hali isiyo ya kawaida maelfu ya watu wa mbeya wamejaa nje ya ukuta unao zunguka chuo cha uhasibu ambamo ndimo matokeo ya Jimbo la mbeya yana hesabiwa Katika hali isiyo yakawaida watu hao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hatimaye Zitto kabwe kaja kuhakikisha mbunge wa Kigoma mjini anapata haki yake. Chadema imeshinda viti 13 vya udiwani kati ya viti 19. Inasemekana kua unataka kufanyika mchezo wa kuchakachua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Chadema 17075 CCM 17014 Kama kawa wamebana wameachia!! Matokeo Rasmi Channel ten
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika vituo tunavyopita hapa Ubungo tunawakuta FFU, POLISI NA ULTIMATE SECURITY. Hivi hawa ultimate lini wamekuwa rasmi sehemu ya dola?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi sasa jiji la Mwanza maeneo ya Isamilo zilipo ofisi za Msimamizi wa uchaguzi ni milio ya mabomu na kelele za watu. CCM kwa nini wananganganiza ushidi kiasi cha kuhatarisha maisha ya watu? JK...
0 Reactions
65 Replies
8K Views
Back
Top Bottom