Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wandugu, Mhe. Shibuda ameilipua ccm huko Maswa. BBC Swahili wametangaza muda si mrefu. Bunge la mwaka huu litanoga. Askari wa chadema wanaendelea kuongezeka...
0 Reactions
1 Replies
897 Views
Laiti wapinzani wangekuwa serious kipindi hiki wangechukua nchi kiulaini, ila vyama vyao vinakasoro za wazi kubwa, mfano, chadema, ukabila. CUF udini. This was their time ila they need first...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
kama kweli jeykey yuko mwanza hii ndio mana yake
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa mujibu ya tume ya taifa ya uchaguzi JK amepata 65%[15570],SLAA amepata 30.49%[7226]:sad:
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wapinzani tutumie uchaguzi huu kujifunza!! Mcpo ungana ni dhair CCM wataendelea kuongoza nchi!! Kama wapinzani wangeungana am sure leo wangeshika nchi! Ila kwa sababu ya tamaa zao wamekosa!!
0 Reactions
0 Replies
949 Views
kwa taarifa zinazoendelea kusambaa shinyanga,, mgombea wa chadema bwana shelembi ameibiwa ushindi wake na kusababisha hali ya mchafuko kutokea sasa huko shinyanga.. Pia kwa habari zisizo rasmi...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nimekuwa nikisoma baadhi ya post za wadau, kuna baadhi ya watu wanadai hivi sasa JK yupo Mwanza pia kuna baadhi ya watu wanadai ati yupo Zanzibar, naomba usahihi juu ya hilo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mgombea wa CHADEMA wilaya ya Meatu Ndg.Opulukwa ameshinda.Na madiwani Chadema 1 CCM 11 UDP 2
0 Reactions
56 Replies
8K Views
Ndugu wana jf,, matokeo rasmi yametolewa kupitia star tv sasa saa12.36 na twangoja bukombe,same masharili,mbeya na mengine.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
anyway allready downloaded....in case ikinyofolewa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni muda huu baada ya Lema kutangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya ubunge. Hali bado ni tete
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naombeni matokeo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Kutoka source za kuaminika taarifa zaidi aliyenazo.
0 Reactions
72 Replies
11K Views
Jamani mwenye habari na hawa watu atujuze pls! Sijapata info yeyote juu ya hawa wakuu mambo yako shwari huko majimboni kwao?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naomba ambaye ana full data za pale mlimani naomba anijulishe, kwani ndo nimepiga kura yangu hapo. nataka kujua impact na Sacrifice ya wenzetu waliotoka mikoani kuja kupiga kura pale mlimani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nchi imetumia pesa nyingi sana kuhamasisha watanzania kwa kaulimbiu ya kupigakura ni hakiyako, Inashangaza kuona kuwa kupata matokeo ya kile kilichowaweka watu katika misululu inakuwa ni hisani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hatimaye tbc imetangaza meatu imekwenda chadema kwa kura 13,200
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zilizonifikia zinasema kwamba matokeo ya ubunge Sumbawanga mjini yameshakamilika ila CCM imemleta Mizengo Pinda na sasa hivi kuna kikao kinachoendelea cha kumbembeleza mgombea wa CHADEMA...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
M.Seif apata 50.06% Dr.Shein:47.30 Asalamu alaykum haya ndio matokeo tulioyapata kutoka kwa tume ya uchaguzi: JIMBO KUTOKA PEMBA JIMBO LA OLE: CUF- 5775, CCM -893 JIMBO LA WETE...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom