Taarifa nilizozipata muda huu kutoka kwa mmoja wa viongozi wa CCM (W) - Meatu (Jina limehifadhiwa) ni kwamba mgombea ubunge kupitia CCM Ndugu Khamis Salum Mbuzi ameshindwa kutetea kiti chake cha...
Ile imani kwamba CHADEMA ingezoa viti vya kumwaga vya ubunge DSM imeanza kupotea baada ya habari kuzagaa kwamba, wilayani temeke(majimbo ya kigamboni na temeke) yamerudi mikononi mwa CCM! Ama...
KUNA TETESI KWAMBA MZEE SUMARI, ALIKUWA ANAKUBALIKA SANA KABLA YA MWANAYE KUHAMA CHADEMA KUTOKANA NA KUDANGANYWA KWAMBA ATAPEWA KITI MAALUM SISIEM, HII IMEPELEKEA VIJANA WENGI WANAOPINGA ROHO YA...
Inasikitisha sana kwamba mpaka sasa NEC na wasimamizi wa Uchaguzi hawataki kutangaza matokeo RASMI YA KURA ilhali matokeo ya vituo vyote vya KATA wameshayapokea.
NEC na wasimamizi hawataki...
Nimekuwa nikijiuliza swali moja ambalo imekuwa ngumu kupata jibu. Hivi wakuu mmekuwa mkijiuliza ni nani atawakilisha CCM kwenye urais 2015? Kwa harakaharaka sijamuona maana naona kama wote...
Kwa kweli wazungu watatucheka,
CCM hawa ni mashetani ya Tanzania, kwa sababu wanafanya kila hila kupata ushindi ilhali wakijua
fika ahadi na sera zao hazitekelezeki.
Sasa wanataka kupanga...
Habari nilizopata hata tanga ni kuwa CUF wamevuna viti 9 kutoka 0 vilivyokuwepo mwaka 2005.
Kwa maana hiyo halmashauri nayo imeshikika na wapinzani. ila Ubunge CCM ndo kapita. Tanga hakukuwa na...
Ni jambo la kushangaza sana Tume ya uchaguzi inabadili sheria za mchezo katikati ya mechi. Hivi sasa matokeo ya ubunge na urais hayatangazwi tena katika kata .. Wapinzani wapo kimya!!
Kura...
Tume ya uchaguzi inaendelea kutangaza matokeo ya majimbo mbalimbali nchini. Matokeo haya yanarushwa live katika television mbalimbali ikiwemo ITV. hadi sasa inaonyesha ktk majimbo mengi chama cha...
Chama cha mapinduzi kimezoa karibu majimbo yote ila moja katika mkoa wa Kagera, pia jimbo la mafia ccm imeibuka kidedea, Lindi mjini CUF wamechukua jimbo ilo
NEC imetangaza majimbo tisa na mwelekeo ni kujaribu kuonyesha JK atashinda ushindi wa kishindo kutokana na uchaguzi wa majimbo wanayoyatangaza.katika ya majimbo tisa waliyoyatangaza Dr. SLaa...
Nimepigiwa simu sasa hivi na mtu aliyepo Manispaa Arusha mjini anasema Batilda anakataa katakata kusaini fomu ya matokeo...Wakazi wa Arusha kwa ujumla wao wamezunguka ofisi hizo na wamejaa sana na...
Monday, 01 November 2010
Mamia ya wafuasi Chadema wamaekusanyika katika ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya ya Maswa wakidai kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa wabunge katika majimbo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.