Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Taarifa nilizozipata muda huu kutoka kwa mmoja wa viongozi wa CCM (W) - Meatu (Jina limehifadhiwa) ni kwamba mgombea ubunge kupitia CCM Ndugu Khamis Salum Mbuzi ameshindwa kutetea kiti chake cha...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Ile imani kwamba CHADEMA ingezoa viti vya kumwaga vya ubunge DSM imeanza kupotea baada ya habari kuzagaa kwamba, wilayani temeke(majimbo ya kigamboni na temeke) yamerudi mikononi mwa CCM! Ama...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Kawe hadi sasa kuna mvutano wa kutangaza matokeo........update zaidi please
0 Reactions
11 Replies
2K Views
KUNA TETESI KWAMBA MZEE SUMARI, ALIKUWA ANAKUBALIKA SANA KABLA YA MWANAYE KUHAMA CHADEMA KUTOKANA NA KUDANGANYWA KWAMBA ATAPEWA KITI MAALUM SISIEM, HII IMEPELEKEA VIJANA WENGI WANAOPINGA ROHO YA...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Inasikitisha sana kwamba mpaka sasa NEC na wasimamizi wa Uchaguzi hawataki kutangaza matokeo RASMI YA KURA ilhali matokeo ya vituo vyote vya KATA wameshayapokea. NEC na wasimamizi hawataki...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
huko mbagala hali si swari........
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekuwa nikijiuliza swali moja ambalo imekuwa ngumu kupata jibu. Hivi wakuu mmekuwa mkijiuliza ni nani atawakilisha CCM kwenye urais 2015? Kwa harakaharaka sijamuona maana naona kama wote...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa kweli wazungu watatucheka, CCM hawa ni mashetani ya Tanzania, kwa sababu wanafanya kila hila kupata ushindi ilhali wakijua fika ahadi na sera zao hazitekelezeki. Sasa wanataka kupanga...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa BBC radio kupitia Richard katunka, mabomu yanalindima huko kigoma mjini. kigoma kaskazini Zito kapeta na vilevile Kafulila ameshinda.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari nilizopata hata tanga ni kuwa CUF wamevuna viti 9 kutoka 0 vilivyokuwepo mwaka 2005. Kwa maana hiyo halmashauri nayo imeshikika na wapinzani. ila Ubunge CCM ndo kapita. Tanga hakukuwa na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
naombeni updates
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wadau mniambie huko jimbo la kawe vipi?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni jambo la kushangaza sana Tume ya uchaguzi inabadili sheria za mchezo katikati ya mechi. Hivi sasa matokeo ya ubunge na urais hayatangazwi tena katika kata .. Wapinzani wapo kimya!! Kura...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tume ya uchaguzi inaendelea kutangaza matokeo ya majimbo mbalimbali nchini. Matokeo haya yanarushwa live katika television mbalimbali ikiwemo ITV. hadi sasa inaonyesha ktk majimbo mengi chama cha...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Huko jimboni mchinga vipi jamani walioko ktk groud please tujuzeni
0 Reactions
1 Replies
971 Views
Chama cha mapinduzi kimezoa karibu majimbo yote ila moja katika mkoa wa Kagera, pia jimbo la mafia ccm imeibuka kidedea, Lindi mjini CUF wamechukua jimbo ilo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba matokeo ya kabwe zitto
0 Reactions
1 Replies
2K Views
NEC imetangaza majimbo tisa na mwelekeo ni kujaribu kuonyesha JK atashinda ushindi wa kishindo kutokana na uchaguzi wa majimbo wanayoyatangaza.katika ya majimbo tisa waliyoyatangaza Dr. SLaa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
  • Closed
Nimepigiwa simu sasa hivi na mtu aliyepo Manispaa Arusha mjini anasema Batilda anakataa katakata kusaini fomu ya matokeo...Wakazi wa Arusha kwa ujumla wao wamezunguka ofisi hizo na wamejaa sana na...
0 Reactions
195 Replies
22K Views
Monday, 01 November 2010 Mamia ya wafuasi Chadema wamaekusanyika katika ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya ya Maswa wakidai kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa wabunge katika majimbo ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom