Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wawakilishi wa BBC wakihojiwa kutoka sehemu mbalimbali wamesema vijana wengi na wanaume ndio waliojitokeza ikilinganishwa na wanawake. Baadhi ya sababu zilizotolewa na wanawake ni kukatishwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za uhakika baada ya Dialo na Masha kumwagwa vibaya na CHADEMA JK ashukuka kisiri usiku hakuna ajuaye kafuata nini. Yuko Bugando kumuona swaiba wake Masha aliyelazwa baada ya mshtuko mkubwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
CCM yafanya kufuru Muheza Send to a friend Monday, 01 November 2010 11:20 0diggsdigg Steven William, Muheza CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefanya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuchelewesha kutangaza matokeo katika mikoa hiyo ni dalili za wazi kuwa CCM wanataka kuchakachua. Wananchi wamepata hasira sana mpaka sasa, wanaonekana wapo tayari kwa lolote, iwapo FFU...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Yule Baali wa pale magomeni inasemekana anasakwa na baadhi ya Wagombea udiwani na Ubunge wa CCM kwa kuwatapeli. Inasemekana aliwaahidi kuwa wangeshinda na kama kuna hali mbaya basi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
naangali itv mwandishi anaripoti polisi maswa mashariki wanamshikilia mtu mmoja aliyekutwa kapiga kura tatu za uraisi,3 ubunge,3udiwani ambazo amekamatwa nazo. Baada ya kuhojiwa amesema...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Sasa hivi nimetoka kuongea kwa simu na mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CHADEMA Mhandisi Humphrey Abraham Tuni juu ya mwenendo wa kura kaniamba "it is too close to call..." na bado wanakusanya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
:peep: Ni masikitiko makubwa kwamba bado watu wanafikiri mbinu za kuchelewesha matokeo zinaweza kusaidia katika zoezi la kuchakachua kuza 2010??? jamani watu wameamka uzingizini acheni umma uhamue...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimejaribu kupitia blog ya HAKINGOWI, amejaribu kuweka matokeo ya Urais kutoka katika majimbo kadhaa na inaonesha CCM wanaongoza kwa kishindo, lakini baadhi ya wanachama wa CUF inaonekana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Vitabu 12 vimepotea, chnzo cha vurugu ndio hizo. Jamani CCM wanataka nini kwa wananchi vitabu vinapotote vipi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari kutoka Mwanza kuwa Dialo kakubali kusign matokeo so Mwanza CHADEMA oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Hali ya usalama ni tata watu wanalinda kura zao
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani kuna mtu ana habari za jimbo la Mbowe?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Break News hali ya znz hivi sasa sio shuari Wafuasi wengi wa cuf wanazidi kuongezeka Bwawani wakiilalamikia Tume kuwa mshindi wa urais apewe haki yake sio zulma Kwa takuimu za majumuisho...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
mbona jamma wanataka kuchakachua jamani
0 Reactions
0 Replies
896 Views
naona kimya... vipi huko!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefanya kufuru katika jimbo la Muheza baada ya kuzoa viti vyote vya udiwani vya jimbo hilo, huku vyama vya upinzani vikiambulia patupu. Matokeo hayo yametangazwa jana...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani, UDIWANI, UBUNGE si dili sasa, DILI ni URAIS. Hebu wenye taarifa ya jumla yote toka kwenye vituo vyote hata kama haijathibitishwa na tume, WAIMAGE HAPA. TV wanaboa tu, story zao za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KWA TAARIFA TU NI KUWA LEMA AMESHINDA Lakini kinachoendelea ni kutaka kumpoka ushindi. Nawafahamisha Watanzania kuwa iwapo Batilda atatangazwa mshindi wa Ubunge Arusha mjini mjue kabisa kuwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
ASUBUHI YA LEO NIMEANGALIA MATOKEO YA KURA KATIKA TV PALE MANZESE NIKASHTUKA KWAMBA:- 1. KITUONI WALIJIANDIKISHA WATU 480 LAKINI WAMEPIGA 132. 2. KITUO KINGINE SIKIKUMBUKI JINA WAMEJIANDIKISHA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom